Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

kufutwa vikwazo

  • Mazungumzo ya Doha yamalizika, pande husika zaahidi kudumisha mawasiliano

    Mazungumzo ya Doha yamalizika, pande husika zaahidi kudumisha mawasiliano

    Jun 30, 2022 03:45

    Mazungumzo yasiyo ya ana kwa ana kati ya Iran na Marekani kuhusu uondoaji vikwazo yaliyoanza juzi Jumanne katika mji mkuu wa Qatar, Doha yamemalizika; huku pande mbili zikisema kuwa zitaendelea kuwasiliana juu ya marhala zijazo za mazungumzo hayo.

  • Raisi: Vikwazo vipya vinaonesha Iran ina haki ya kutoiamini Marekani

    Raisi: Vikwazo vipya vinaonesha Iran ina haki ya kutoiamini Marekani

    Jun 17, 2022 07:25

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema hatua ya Marekani kwa upande mmoja kudai kuwa ina nia ya kweli ya kufanya mazungumzo na Iran na wakati huohuo inatangaza vikwazo vipya dhidi ya taifa hili kwa upande mwingine, inaonesha wazi kuwa Tehran ina haki kutoiamini Washington.

  • IMF: Vikwazo dhidi ya Russia yumkini vitadhoofisha dola ya US

    IMF: Vikwazo dhidi ya Russia yumkini vitadhoofisha dola ya US

    Mar 31, 2022 22:55

    Shirika la Fedha Duniani (IMF) limeonya kuwa, vikwazo dhidi ya Russia huenda vikadhoofisha na kuipotezea umashuhuri sarafu ya dola ya Kimarekani.

  • Ershadi: Vikwazo vinatishia haki ya tiba ya wananchi wa Iran

    Ershadi: Vikwazo vinatishia haki ya tiba ya wananchi wa Iran

    Mar 30, 2022 02:16

    Balozi na Naibu Mwakilishi wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema vikwazo vya upande mmoja vya Marekani ni tishio kubwa kwa haki ya kupata huduma za afya, matibabu na dawa wananchi wa Iran.

  • Shamkhani: Mashinikizo ya juu yamefelishwa na sera ya muqawama

    Shamkhani: Mashinikizo ya juu yamefelishwa na sera ya muqawama

    Mar 03, 2022 22:59

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema stratejia ya muqawama amilifu ndiyo iliyoishinda na kusambaratisha sera ya mashinikizo ya kiwango cha juu zaidi ya aliyekuwa rais wa Marekani, Donald Trump dhidi ya Iran.

  • Raisi: Makubaliano yoyote ya Vienna sharti yajumuishe kuondolewa vikwazo Iran

    Raisi: Makubaliano yoyote ya Vienna sharti yajumuishe kuondolewa vikwazo Iran

    Feb 20, 2022 00:18

    Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema mapatano yoyote yatakayofikiwa kwenye mazungumzo ya Vienna yenye lengo la kuhuisha makubaliano ya nyuklia ya JCPOA lazima yajumuishe suala la kuondolewa vikwazo taifa la Iran, sanjari na kupasishwa kwa kipengee kuhusu dhamana yenye itibari, na vile vile kujizuia na masuala ya kisiasa na kuibua tuhuma zisizo na msingi.

  • Shamkhani: Mienendo hasi ya US ndilo tishio kuu kwa mapatano yoyote yale

    Shamkhani: Mienendo hasi ya US ndilo tishio kuu kwa mapatano yoyote yale

    Feb 15, 2022 23:17

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesema siri ya kufikiwa mapatano mazuri kwenye mazungumzo ya kuiondolea vikwazo haramu Jamhuri ya Kiislamu ni Tehran kupewa dhamana ya kisheria ambayo itaifanya Marekani isiweze kujitoa kwa mara nyingine tena ndani ya mapatano ya JCPOA.

  • Iran: Kumalizika mazungumzo ya Vienna kunategemea kuondolewa vikwazo Tehran

    Iran: Kumalizika mazungumzo ya Vienna kunategemea kuondolewa vikwazo Tehran

    Feb 10, 2022 23:02

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema muda wa kumalizika mazungumzo ya Vienna ya kujaribu kuhuisha makubaliano ya nyuklia ya JCPOA unategemea irada ya Wamagharibi ambao ni upande wa pili wa mazungumzo hayo, kuiondolewa vikwazo haramu Tehran.

  • Marais wa Iran na Ufaransa wajadili suala la kuondolewa vikwazo Tehran

    Marais wa Iran na Ufaransa wajadili suala la kuondolewa vikwazo Tehran

    Jan 29, 2022 23:56

    Rais wa Iran amesisitiza juu ya udharura wa kuondolewa vikwazo wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu, katika mazungumzo yake ya simu na mwenzake wa Ufaransa.

  • Amir Abdollahian: Maslahi kamili ya Iran yanapasa kupatikana katika suala la kuondoa vikwazo

    Amir Abdollahian: Maslahi kamili ya Iran yanapasa kupatikana katika suala la kuondoa vikwazo

    Jan 27, 2022 22:10

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa maslahi kamili ya Iran yanapasa kupatikana katika suala la kundolea vikwazo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS