Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Mvua kubwa yauwa watu 2 na kujeruhi 40 katika mji wa Sabha, Libya

    Mvua kubwa yauwa watu 2 na kujeruhi 40 katika mji wa Sabha, Libya

    Sep 16, 2024 02:33

    Takriban watu wawili wamepoteza maisha na wengine 40 kujeruhiwa kutokana na mvua kubwa iliyonyesha katika mji wa Sabha, kusini mwa Libya jana Jumapili.

  • Saddam Haftar ateuliwa kuwa mkuu wa jeshi la Libya

    Saddam Haftar ateuliwa kuwa mkuu wa jeshi la Libya

    Jun 17, 2024 03:22

    Saddam Haftar mtoto wa Khalifa Haftar mbabe wa kivita nchini Liibya ameteuliwa kuwa mkuu wa jeshi la nchi hiyo.

  • Ethiopia yapitisha muswada unaoruhusu harakati iliyopigwa marufuku ya TPLF kuwa chama cha siasa

    Ethiopia yapitisha muswada unaoruhusu harakati iliyopigwa marufuku ya TPLF kuwa chama cha siasa

    Jun 05, 2024 07:08

    Bunge la Ethiopia limefanya mabadiliko makubwa ya kisiasa kwa kupitisha muswada wa sheria unaoruhusu Harakati ya Ukombozi ya Watu wa Tigray (TPLF), ambayo hapo awali ilipigwa marufuku kwa kuendesha vita dhidi ya serikali ya shirikisho, kujiandikisha upya katika Bodi ya Taifa ya Uchaguzi ya Ethiopia (NEBE) ili kuwa chama cha siasa.

  • Umeme wazimwa, viwanja vya ndege vyafungwa Nigeria baada ya wafanyakazi kugoma

    Umeme wazimwa, viwanja vya ndege vyafungwa Nigeria baada ya wafanyakazi kugoma

    Jun 04, 2024 07:16

    Shughuli muhimu zimesita nchini Ngeria baada ya umeme kukatika na viwanja vya ndege vikubwa kufungwa, kufuatia hatua ya vyama vikubwa zaidi vya wafanyakazi kuanzisha mgomo wa kudai nyongeza ya mishahara kutokana na ughali mkubwa wa maisha kuwahi kushuhudiwa nchini humo kwa miongo kadhaa.

  • Libya yajiunga kwenye kesi ya nchi kadhaa dhidi ya utawala wa Kizayuni

    Libya yajiunga kwenye kesi ya nchi kadhaa dhidi ya utawala wa Kizayuni

    Jun 01, 2024 07:49

    Mwakilishi wa Libya katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) amesema kuwa; mahakama hiyo Umoja wa Mataifa (UN) imekubali ombi la Tripoli la kujiunga kwenye kesi ya Afrika Kusini dhidi ya utawala wa Kizayuni.

  • Maiti 65 za wahajiri zagunduliwa katika kaburi la umati Libya

    Maiti 65 za wahajiri zagunduliwa katika kaburi la umati Libya

    Mar 23, 2024 07:50

    Maafisa wa Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) wameripoti kuwa wamegundua miili ya watu 65 iliyokuwa imezikwa kwenye kaburi la umati nchini Libya.

  • Makubaliano ya viongozi wa Libya ya kuunda serikali moja mpya

    Makubaliano ya viongozi wa Libya ya kuunda serikali moja mpya

    Mar 13, 2024 07:38

    Kuendelea mgogoro nchini Libya na kuwa vigumu suala la kufanyika uchaguzi nchini humo hatimaye kumepelekea viongozi wa Libya kukubaliana kuunda serikali moja ambayo itakuwa na jukumu la kusimamia uchaguzi nchini humo.

  • Viongozi wa Libya waafikiana kuunda serikali ya umoja

    Viongozi wa Libya waafikiana kuunda serikali ya umoja

    Mar 11, 2024 11:23

    Viongozi watatu muhimu wa Libya wamesisitiza juu ya udharura wa kuunda serikali mpya ya umoja ambao utapewa jukumu la kusimamia uchaguzi ambao umeakhirishwa kwa muda mrefu sasa.

  • Serikali ya Libya: Wanamgambo kuondoka Tripoli baada ya kufikiwa makubaliano

    Serikali ya Libya: Wanamgambo kuondoka Tripoli baada ya kufikiwa makubaliano

    Feb 23, 2024 03:30

    Makundi ya wanamgambo waliojizatiti kwa silaha na ambayo yamekuwa yakidhibiti Tripoli yamekubali kuondoka katika mji mkuu huo wa Libya.

  • Libya yawafukuza mabalozi wa nchi kadhaa zinazounga mkono utawala wa Kizayuni

    Libya yawafukuza mabalozi wa nchi kadhaa zinazounga mkono utawala wa Kizayuni

    Oct 26, 2023 06:13

    Ikiwa ni katika hatua yake ya kupinga kuendelea jinai na mashambulizi ya kinyama ya utawala wa Kizayuni dhidi ya watu wa Ukanda wa Ghaza, Libya imewatimua mabalozi wa nchi kadhaa zinazounga mkono utawala wa Kizayuni nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS