Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Vikosi vya Haftar: Hatutaki mazungumzo, mapigano ndiyo njia bora ya suluhu

    Vikosi vya Haftar: Hatutaki mazungumzo, mapigano ndiyo njia bora ya suluhu

    Sep 08, 2019 07:40

    Wapiganaji wa jenerali mstaafu wa Libya, Khalifa Haftar wamepinga mwito wa Umoja wa Mataifa wa kurejea katika meza ya mazungumzo, wakisisitiza kuwa vita ndiyo njia pekee ya kuupatia ufumbuzi mgogoro unaoikabili nchi hiyo.

  • Baraza la Usalama UN lataka utatuzi wa kisiasa wa mgogoro wa Libya

    Baraza la Usalama UN lataka utatuzi wa kisiasa wa mgogoro wa Libya

    Sep 05, 2019 21:57

    Mkuu wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa amesema kuwa wanchama wa baraza hilo wanasisitiza udharura wa kupatikana ufumbuzi wa kisiasa wa mgogoro wa Libya.

  • UN yatahadharisha kuhusu hali mbaya ya wakimbizi nchini Libya

    UN yatahadharisha kuhusu hali mbaya ya wakimbizi nchini Libya

    Sep 04, 2019 03:26

    Shirika la Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limetahadharisha kuhusu hali mbaya ya wakimbizi nchini Libya.

  • UN yatahadharisha kuhusu hatari ya kutokea vita vikubwa vya ndani nchini Libya

    UN yatahadharisha kuhusu hatari ya kutokea vita vikubwa vya ndani nchini Libya

    Aug 30, 2019 08:52

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameelezea kusikitishwa sana na hali inavyoendelea hivi sasa nchini Libya na kutahadharisha kuhusu hatari ya kutokea vita vikubwa vya ndani katika nchi hiyo ya Kiarabu ya kaskazini mwa Afrika.

  • Vita vya Libya vimesababisha watu 268,000 kuwa wakimbizi

    Vita vya Libya vimesababisha watu 268,000 kuwa wakimbizi

    Aug 29, 2019 23:07

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Libya vimepelekea zaidi ya watu 268,000 kuwa wakimbizi.

  • Baada ya kudukuliwa mtandao wake, serikali ya Libya yakanusha kuvunjwa

    Baada ya kudukuliwa mtandao wake, serikali ya Libya yakanusha kuvunjwa

    Aug 29, 2019 07:43

    Duru moja ya Baraza la Uongozi la Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya inayotambulika kimataifa na ambayo inaongozwa na Fayez al Sarraj imekanusha madai kwamba imevunjwa na mawaziri wake wote kujiuzulu.

  • Mawaziri wa mambo ya nje wa Iran na Libya wakutana Japan pembizoni mwa kikao cha TICAD

    Mawaziri wa mambo ya nje wa Iran na Libya wakutana Japan pembizoni mwa kikao cha TICAD

    Aug 28, 2019 02:47

    Mawaziri wa mambo ya nje wa Iran na Libya wamekutana nchini Japan na kujadili matukio ya hivi karibuni nchini Libya na eneo zima la Afrika Kaskazini.

  • Serikali ya Libya yaituhumu UAE kuwa imeshambulia Tripoli kwa mabomu

    Serikali ya Libya yaituhumu UAE kuwa imeshambulia Tripoli kwa mabomu

    Aug 25, 2019 21:09

    Serikali ya Mapatano ya Kitaifa Libya (GNA) inayoongozwa na Waziri MKuu Fayez al-Sarraj imesema ndege za kivita za Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) zimehusika katika kudondosha mabomu katika mji mkuu, Tripoli.

  • Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa Libya yafichua: Kikosi cha jeshi la Ufaransa kinamsaidia Haftar

    Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa Libya yafichua: Kikosi cha jeshi la Ufaransa kinamsaidia Haftar

    Aug 22, 2019 22:01

    Maafisa wa Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya wamefichua kuwa kundi moja la jeshi la Ufaransa linalomsaidia jenerali mstaafu Khalifa Haftar limewajengea wapiganaji wa kiongozi huyo muasi kituo cha kurushia ndege zisizo na rubani katika bandari ya mafuta ya al Sidr huko kaskazini mwa Libya.

  • Gadi ya pwani ya Libya yaokoa wahajiri 37

    Gadi ya pwani ya Libya yaokoa wahajiri 37

    Aug 20, 2019 08:44

    Gadi ya Pwani ya Libya imetangaza kuwaokoa wahajiri haramu wapatao 37 katika pwani ya Khoms. Taarifa ya Jeshi la Majini la Libya imesema wahajiri hao walikuwa ni kutoka nchi 7 za Kiarabu na Kiafrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS