-
UN yatahadharisha kuhusu hali mbaya ya wakimbizi nchini Libya
Sep 04, 2019 03:26Shirika la Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limetahadharisha kuhusu hali mbaya ya wakimbizi nchini Libya.
-
UN yatahadharisha kuhusu hatari ya kutokea vita vikubwa vya ndani nchini Libya
Aug 30, 2019 08:52Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameelezea kusikitishwa sana na hali inavyoendelea hivi sasa nchini Libya na kutahadharisha kuhusu hatari ya kutokea vita vikubwa vya ndani katika nchi hiyo ya Kiarabu ya kaskazini mwa Afrika.
-
Vita vya Libya vimesababisha watu 268,000 kuwa wakimbizi
Aug 29, 2019 23:07Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Libya vimepelekea zaidi ya watu 268,000 kuwa wakimbizi.
-
Baada ya kudukuliwa mtandao wake, serikali ya Libya yakanusha kuvunjwa
Aug 29, 2019 07:43Duru moja ya Baraza la Uongozi la Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya inayotambulika kimataifa na ambayo inaongozwa na Fayez al Sarraj imekanusha madai kwamba imevunjwa na mawaziri wake wote kujiuzulu.
-
Mawaziri wa mambo ya nje wa Iran na Libya wakutana Japan pembizoni mwa kikao cha TICAD
Aug 28, 2019 02:47Mawaziri wa mambo ya nje wa Iran na Libya wamekutana nchini Japan na kujadili matukio ya hivi karibuni nchini Libya na eneo zima la Afrika Kaskazini.
-
Serikali ya Libya yaituhumu UAE kuwa imeshambulia Tripoli kwa mabomu
Aug 25, 2019 21:09Serikali ya Mapatano ya Kitaifa Libya (GNA) inayoongozwa na Waziri MKuu Fayez al-Sarraj imesema ndege za kivita za Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) zimehusika katika kudondosha mabomu katika mji mkuu, Tripoli.
-
Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa Libya yafichua: Kikosi cha jeshi la Ufaransa kinamsaidia Haftar
Aug 22, 2019 22:01Maafisa wa Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya wamefichua kuwa kundi moja la jeshi la Ufaransa linalomsaidia jenerali mstaafu Khalifa Haftar limewajengea wapiganaji wa kiongozi huyo muasi kituo cha kurushia ndege zisizo na rubani katika bandari ya mafuta ya al Sidr huko kaskazini mwa Libya.
-
Gadi ya pwani ya Libya yaokoa wahajiri 37
Aug 20, 2019 08:44Gadi ya Pwani ya Libya imetangaza kuwaokoa wahajiri haramu wapatao 37 katika pwani ya Khoms. Taarifa ya Jeshi la Majini la Libya imesema wahajiri hao walikuwa ni kutoka nchi 7 za Kiarabu na Kiafrika.
-
Mapigano yaendelea Libya; mji wa Misrata washambuliwa mara 13
Aug 18, 2019 22:31Ndege za kivita za kundi la wanamgambo kwa jina la Jeshi la Kitaifa la Libya linaloongozwa na Jenerali Khalifa Haftar zimeushambulia mji wa Misrara mara 13.
-
UN yalaani mashambulizi dhidi ya vifaa na wafanyakazi wa afya Tripoli
Aug 16, 2019 03:36Umoja wa Mataifa umelaani hujuma dhidi ya vifaa na wafanyakazi wa huduma za afya katika mji mkuu wa Libya, Tripoli.