Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Jenerali Haftar apinga kuongezwa muda wa usitishaji mapigano Tripoli

    Jenerali Haftar apinga kuongezwa muda wa usitishaji mapigano Tripoli

    Aug 15, 2019 02:54

    Kamanda wa kundi la wanamgambo wanaojiita jeshi la kitaifa la Libya amepinga kuongezwa muda wa kusimamisha mapigano nchini humo na kutangaza kuanza tena mashambulizi.

  • Rais wa Afrika Kusini kuwasili nchini Tanzania kesho Jumatano

    Rais wa Afrika Kusini kuwasili nchini Tanzania kesho Jumatano

    Aug 12, 2019 22:01

    Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini kesho Jumatano anatarajiwa kuwasili nchini Tanzania kwa ziara ya kikazi ya siku mbili pamoja na kuhudhuria Mkutano Mkuu wa 39 wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika SADC.

  • Mapigano yaendelea Tripoli licha ya tangazo la usitishaji vita

    Mapigano yaendelea Tripoli licha ya tangazo la usitishaji vita

    Aug 11, 2019 11:17

    Mapigano makali yameripotiwa leo huko Tripoli mji mkuu wa LIbya licha ya mapatano ya kusimamisha mapigano katika kusherehekea Sikukuu ya Idhul Adh'ha.

  • Usitishwaji vita Libya katika Siku Kuu ya Idul Adha

    Usitishwaji vita Libya katika Siku Kuu ya Idul Adha

    Aug 11, 2019 02:28

    Serikali ya Mapatano ya Kitaifa Libya (GNA) na ambayo inatambuliwa kimataifa imekubali pendekezo la Umoja wa Mataifa la usitishwaji vita kwa muda wakati wa sherehe za Idul Adha.

  • Umoja wa Mataifa wataka kusitishwa mapigano huko Libya

    Umoja wa Mataifa wataka kusitishwa mapigano huko Libya

    Aug 09, 2019 07:39

    Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Libya umetoa wito wa kusitishwa mapigano kwa sababu za kibinadamu huko Tripoli mji mkuu wa Libya.

  • Wanajeshi wa jenerali Haftar wafanya mashambulio ya anga dhidi ya mji wa Misrata

    Wanajeshi wa jenerali Haftar wafanya mashambulio ya anga dhidi ya mji wa Misrata

    Aug 06, 2019 08:17

    Vikosi vitiifu kwa jenerali Khalifa Haftar vimefanya mashambulio ya anga dhidi ya mji wa Misrata ulioko magharibi mwa mji mkuu wa Libya Tripoli.

  • Ghassan Salamé: Libya imekuwa uwanja wa vita wa nchi nyingine

    Ghassan Salamé: Libya imekuwa uwanja wa vita wa nchi nyingine

    Jul 29, 2019 22:33

    Mjumbe maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Libya ametahadharisha kuhusu athari mbaya za vita katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika na kusema kuwa, Libya imekuwa uwanja wa vita wa nchi nyingine.

  • Al-Sarraj na UN wasisitiza udharura wa kuanza tena mchakato wa kisiasa Libya

    Al-Sarraj na UN wasisitiza udharura wa kuanza tena mchakato wa kisiasa Libya

    Jul 28, 2019 23:48

    Waziri Mkuu wa Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya na mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa nchini Libya wametilia mkazo udharura wa kuanzishwa tena mchakato wa kisiasa nchini humo.

  • Guterres aeleza wasiwasi wake kuhusu hali ya wahamiaji haramu huko Libya

    Guterres aeleza wasiwasi wake kuhusu hali ya wahamiaji haramu huko Libya

    Jul 27, 2019 02:43

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema kuwa amehuzunishwa sana kusikia taarifa ya kuaga dunia wahamiaji na wakimbizi wapatao 150 baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kuzama katika pwani ya Libya juzi Alhamisi.

  • Mapigano yashtadi kusini mwa Tripoli mji mkuu wa Libya

    Mapigano yashtadi kusini mwa Tripoli mji mkuu wa Libya

    Jul 25, 2019 06:46

    Mapigano kati ya wanamgambo kwa jina la jeshi la kitaifa la Libya na vikosi vya serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya yamepamba moto katika eneo la al Ramla kusini mwa Tripoli mji mkuu wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS