-
Zarif azuru Uturuki kujadili masuala ya Syria na Libya
Apr 17, 2019 03:10Mohammad Javad Zarif Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameitembelea Uturuki kwa ajili ya kujadiliana na viongozi wa nchi hiyo masuala ya uhusiano wa nchi mbili, kurejeshwa amani Syria na vilevile matukio ya hivi karibuni katika eneo la kaskazini mwa Afrika.
-
Elfu 18 wakimbia mapigano Libya
Apr 17, 2019 02:53Umoja wa Mataifa umetangaza kwamba watu wasiopungua 18,000 wamekimbia mapigano makali yanayoendelea kati ya jeshi linalojiita kuwa la kitaifa na la serikali ya muungano wa kitaifa huko Tripoli nchini Libya
-
Qatar yataka Jenerali Haftar wa Libya awekewe vikwazo vya silaha
Apr 16, 2019 22:00Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar ametoa mwito wa kuwekewa vikwazo vya silaha Jenerali Khalifa Haftar na vikosi vyake vinavyofanya mashambulizi ya kudhibiti mji mkuu wa Libya, Tripoli.
-
Mjumbe wa UN Libya: Harakati za Khalifa Haftar ni za kimapinduzi
Apr 16, 2019 09:48Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa nchini Libya amesema mienendo na harakati zinazofanywa na Jenerali Khalifa Haftar na vikosi vyake ni za kimapinduzi na wala hazifanani na harakati za kupambana na ugaidi kama anavyodai yeye.
-
Misri yaunga mkono mashambulizi ya vikosi vya Haftar nchini Libya
Apr 15, 2019 03:32Rais wa Misri Abdel Fattah al-Sisi ametangaza kuwa anaunga mkono mashambulizi yanayofaywa na vikosi vya Jenerali Khalifa Haftar yenye lengo la kuudhibiti mji mkuu wa Libya, Tripoli.
-
Spika wa Bunge Tobrok Libya amuunga mkono Haftar, watu 121 wauawa, 516 wajeruhiwa
Apr 14, 2019 12:18Spika wa Bunge la Libya ametangaza kumuunga mkono Jenerali Khalifa Haftar huku mapigano yakiendelea katika mji mkuu wa nchi hiyo, Tripoli.
-
Saudia ilimpa Haftar mamilioni ya dola kabla ya kuanza hujuma Tripoli, Libya
Apr 13, 2019 22:04Siku kadhaa kabla ya jenerali muasi Libya, Khalifa Haftar kuanzisha hujuma dhidi ya mji, mkuu wa nchi hiyo, Tripoli, Saudi Arabia ilikuwa imekabidhi mamilioni ya dola ili kutekeleza oparesheni hiyo.
-
UN yasikitishwa na hali mbaya ya kibinadamu mjini Tripoli, Libya
Apr 13, 2019 08:34Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa, umoja huo unahuzunishwa mno na hali mbaya ya raia wa Libya katika mapigano yanayoendelea kwenye mji mkuu wa nchi hiyo, Tripoli.
-
UN: Watu 56 wameuawa katika mapigano yanayoendelea Libya
Apr 11, 2019 09:28Umoja wa Mataifa umesema mapigano kati ya vikosi vya Serikali ya Maafikiano ya Kitaifa na vile vinavyoongozwa na Jenerali Khalifa Haftar nchini Libya yamesababisha watu 56 kupoteza maisha kufikia sasa.
-
Maelfu ya watu wawa wakimbizi kutokana na mapigano nchini Libya
Apr 10, 2019 20:32Umoja wa Mataifa umetangaza kwamba mapigano ya hivi sasa ya nchini Libya yameshapelekea watu 4500 wa nchi hiyo kuwa wakimbizi.