Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Kongamano la 'amani na uchaguzi' Libya laakhirishwa kutokana na mapigano

    Kongamano la 'amani na uchaguzi' Libya laakhirishwa kutokana na mapigano

    Apr 10, 2019 03:16

    Mkutano wa kujadili mgogoro wa Libya na maandalizi ya uchaguzi ujao nchini humo uliotazamiwa kufanyika kati ya Aprili 14 na 16 magharibi mwa nchi hiyo yenye utajiri wa mafuta umeakhirishwa kutokana na kushadidi mapigano kati ya vikosi vya Serikali ya Maafikiano ya Kitaifa na vile vinavyoongozwa na Jenerali Khalifa Haftar.

  • UNICEF: Maisha ya watoto 500,000 wa Kilibya yapo hatarini

    UNICEF: Maisha ya watoto 500,000 wa Kilibya yapo hatarini

    Apr 10, 2019 00:06

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF umetangaza kuwa, maisha ya watoto 500,000 nchini Libya yapo hatarini kutokana na kuibuka mapigano mapya katika mji mkuu wa nchi hiyo Tripoli.

  • Magaidi wa Daesh watumia mapigano mapya Libya kuendeleza ukatili

    Magaidi wa Daesh watumia mapigano mapya Libya kuendeleza ukatili

    Apr 09, 2019 21:56

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) limetumia ombwe lililosababishwa na mapigano kati ya vikosi vya Serikali ya Maafikiano ya Kitaifa na vile vinavyoongozwa na Jenerali Khalifa Haftar nchini Libya, kuanzisha wimbi jipya la mauaji nchini humo.

  • Naibu Waziri Mkuu wa Libya ajiuzulu ili kuonyesha uungaji mkono kwa Jenerali Haftar

    Naibu Waziri Mkuu wa Libya ajiuzulu ili kuonyesha uungaji mkono kwa Jenerali Haftar

    Apr 08, 2019 11:54

    Naibu Waziri Mkuu wa Libya Ali al-Qatraani, amejiuzulu wadhifa wake na kuunga mkono kusonga mbele kuelekea mji mkuu wa nchi hiyo Tripoli, vikosi vinavyojiita Jeshi la Taifa la Libya vinavyoongozwa na Jenerali Khalifa Haftar.

  • Idadi ya waliouawa katika mapigano Libya yafikia watu 32

    Idadi ya waliouawa katika mapigano Libya yafikia watu 32

    Apr 08, 2019 03:28

    Idadi ya watu waliouawa katika mapigano kati ya vikosi vya Serikali ya Maafikiano ya Kitaifa na vile vinavyoongozwa na Jenerali Khalifa Haftar nchini Libya imeongezeka na kufikia watu 32.

  • Watu 21 wauawa katika mapigano yanayoendelea nchini Libya

    Watu 21 wauawa katika mapigano yanayoendelea nchini Libya

    Apr 08, 2019 00:01

    Wizara ya Afya ya Serikali ya Maafikiano ya Kitaifa ya Libya imetangaza kuwa, watu wasiopungua 21 wameuawa na wengine 27 kujeruhiwa kufuatia mapigano makali yanayoendelea kando kando ya mji mkuu Tripoli.

  • Waziri Mkuu wa Libya: Haftar ametusaliti kwa kuhujumu Tripoli

    Waziri Mkuu wa Libya: Haftar ametusaliti kwa kuhujumu Tripoli

    Apr 07, 2019 10:30

    Waziri Mkuu wa Libya Fayez al-Sarraj, anayeungwa mkono na Umoja wa Mataifa, amemtuhumu hasimu wake, Jenerali Khalifa Haftar kuwa amemsaliti kwa kuanzisha hujuma dhidi ya mji mkuu, Tripoli, jambo ambalo yamkini likaibua vita vya ndani nchini humo.

  • Duru mpya ya mgogoro wa kisiasa na kijeshi nchini Libya

    Duru mpya ya mgogoro wa kisiasa na kijeshi nchini Libya

    Apr 06, 2019 21:47

    Katika hali ambayo, jamii ya kimataifa ilikuwa imeelekeza macho na masikio yake katika mkutano wa "mazungumzo ya kitaifa ya Libya" kwa ajili ya kufikia utatuzi wa kisiasa na kuvuka kipindi cha mgogoro wa sasa, mashambulio ya vikosi vinavyoongozwa na Jenerali Khalifa Haftar na kusonga mbele kuelekea mji mkuu Tripoli, yameitumbukiza nchi hiyo katika kipindi kipya cha mgogoro.

  • Umoja wa Mataifa wamtaka Khalifa Haftar akomeshe mashambulizi dhidi ya Tripoli, Libya

    Umoja wa Mataifa wamtaka Khalifa Haftar akomeshe mashambulizi dhidi ya Tripoli, Libya

    Apr 06, 2019 10:21

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa na kundi la G7 limtaka Jenerali Khalifa Haftar akomeshe mashambulizi yake dhidi ya mji mkuu wa Libya, Tripoli na kuelezea wasiwasi wao mkubwa kuhusu hali ya nchi hiyo ya Kiarabu ya kaskazini mwa Afrika.

  • Katibu Mkuu UN asikitishwa na hali ya mambo Libya

    Katibu Mkuu UN asikitishwa na hali ya mambo Libya

    Apr 05, 2019 23:38

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametembelea Libya na kusema anaondoka nchini humo akiwa na hofu na moyo mzito.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS