Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Wanamgambo washambulia taasisi za mafuta mashariki mwa Libya

    Wanamgambo washambulia taasisi za mafuta mashariki mwa Libya

    Jun 14, 2018 10:26

    Afisa mmoja wa jeshi la Libya amesema, wanamgambo wenye silaha wameshambulia taasisi za mafuta zilizoko chini ya Jenerali Khalifa Haftar mashariki mwa nchi hiyo na kuchoma moto kwa uchache tangi moja la mafuta.

  • Serikali ya Libya yapendekeza mpango wa kuharakisha utatuzi wa mgogoro wa nchi hiyo

    Serikali ya Libya yapendekeza mpango wa kuharakisha utatuzi wa mgogoro wa nchi hiyo

    Jun 10, 2018 22:11

    Mjumbe wa Baraza Kuu la serikali ya Libya ametangaza kuwa serikali hiyo imewasilisha mpango maalumu kwenye Baraza la Wawakilishi la Tobruk kwa ajili ya kutatua mgogoro wa nchi hiyo.

  • Misri na Imarati zapinga kufanyika uchaguzi wa Rais na Bunge nchini Libya

    Misri na Imarati zapinga kufanyika uchaguzi wa Rais na Bunge nchini Libya

    Jun 09, 2018 22:19

    Misri na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) zimeelezea kutofurahishwa kwao na maamuzi wa mkutano wa mjini Paris Ufaransa kuhusiana na Libya na kusema kuwa zinapinga uchaguzi wa Rais na Bunge uliopangwa kufanyika nchini humo tarehe 10 Disemba mwaka huu.

  • Jeshi la Taifa la Libya ladhibiti asilimia 80 ya mji wa Derna

    Jeshi la Taifa la Libya ladhibiti asilimia 80 ya mji wa Derna

    Jun 09, 2018 12:29

    Msemaji wa Jeshi la Taifa la Libya amesema kuwa jeshi hilo linadhibiti asilimia 80 ya mji wa Derna.

  • UN yawawekea vikwazo vigogo 6 kwa kuhusika na magendo ya binadamu Libya

    UN yawawekea vikwazo vigogo 6 kwa kuhusika na magendo ya binadamu Libya

    Jun 08, 2018 02:23

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limetangaza kuwawekea vikwazo vigogo sita wanaotuhumiwa kuhusika na biashara haramu ya magendo ya binadamu nchini Libya.

  • Jeshi la Taifa la Libya ladhibiti asilimia 75 ya mji wa Derna

    Jeshi la Taifa la Libya ladhibiti asilimia 75 ya mji wa Derna

    Jun 05, 2018 09:34

    Vikosi vinavyojiita Jeshi la Taifa la Libya vinavyoongozwa na Jenerali Khalifa Haftar vimetangaza kuwa vimeshafanikiwa kukomboa asilimia 75 ya mji wa Derna wa mashariki mwa nchi hiyo.

  • UN: Wafanya magendo ya binadamu waua wahajiri 12 Libya

    UN: Wafanya magendo ya binadamu waua wahajiri 12 Libya

    Jun 01, 2018 09:23

    Umoja wa Mataifa umesema wahajiri 12 wameuawa kwa kupigwa risasi na wafanya magendo ya binadamu, walipokuwa wakijirabu kukimbia kambini nchini Libya.

  • Wahajiri haramu 221 waondolewa nchini Libya

    Wahajiri haramu 221 waondolewa nchini Libya

    May 31, 2018 20:25

    Idara ya wahajiri na wahamiaji nchini Libya imetangaza habari ya kuondolewa wahajiri haramu 221 nchini humo.

  • Wanane wauawa na kujeruhiwa katika mripuko wa bomu mjini Derna, Libya

    Wanane wauawa na kujeruhiwa katika mripuko wa bomu mjini Derna, Libya

    May 28, 2018 10:02

    Watu wanane wameuawa na kujeruhiwa kwenye mripuko wa bomu uliotokea katika mji wa Derna wa mashariki mwa Libya.

  • Pande hasimu katika mgogoro wa Libya kukutana Paris ili kuondoa mkwamo wa kisiasa

    Pande hasimu katika mgogoro wa Libya kukutana Paris ili kuondoa mkwamo wa kisiasa

    May 27, 2018 03:11

    Pande hasimu nchini Libya zitakutana siku ya Jumanne mjini Paris, Ufaransa kwa madhumuni ya kufikia makubaliano juu ya ramani ya njia ya kisiasa inayolenga kutatua masuala yanayozozaniwa na pande hizo ili kuandaa mazingira ya kufanyika uchaguzi baadaye mwaka huu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS