-
Umoja wa Afrika kuwarejesha wahajiri 20,000 kutoka Libya
Dec 07, 2017 11:45Umoja wa Afrika umetangaza kuwa, umepanga kuwarejesha makwao wahajiri elfu ishirini kutoka Libya.
-
Rais wa Mauritania asema nchi za Magharibi ndio chanzo cha mgogoro Libya
Dec 05, 2017 12:30Rais wa Mauritania amesema hujuma ya kijeshi ya nchi za Magharibi dhidi ya Libya ilikuwa ni kosa kubwa na hivyo nchi hizo zinapaswa kubeba dhima ya matatizo yaliyoko hivi sasa nchini humo.
-
AU yafanya kikao cha kuzungumzia hali ya wakimbizi nchini Libya
Dec 04, 2017 11:40Umoja wa Afrika AU umeitisha kikao cha kuchunguza hatua za kivitendo za kuwakomboa wahamiaji wa Kiafrika katika jela za Libya na kuwarejesha katika nchi zao.
-
'Watumwa' wananyofolewa viungo vya mwili Libya
Dec 03, 2017 23:41Imebainika kuwa, baadhi ya raia wa Kiafrika wanaopigwa mnada katika magendo ya binadamu nchini Libya wananyofolewa viungo vyao vya mwili na kuuzwa.
-
UN yasisitiza kufanyika uchaguzi mkuu nchini Libya mwaka ujao wa 2018
Dec 03, 2017 03:34Mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa nchini Libya amesema Walibya watafanya uchaguzi mwaka ujao wa 2018 kwa kutumia kipindi ambapo kiwango cha uingiliaji wa nchi jirani katika masuala ya nchi hiyo kitafikia kiwango cha chini zaidi.
-
Mwito wa Libya wa kuondolewa vikwazo vya silaha
Dec 02, 2017 00:42Waziri Mkuu wa serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya ametaka nchi yake iondolewe vikwazo vya silaha vilivyowekwa na Umoja wa Mataifa mwaka 2011.
-
Macron aitaka Saudia iache kuyafadhili kifedha makundi ya kigaidi
Nov 30, 2017 12:49Rais wa Ufaransa amesema kuwa Saudi Arabia inapasa kuacha kuyafadhili kifedha makundi ya kigaidi katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
Baraza la Usalama lataka kukomeshwa magendo ya binadamu Afrika
Nov 29, 2017 12:56Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limetoa mwito wa kuendeshwa vita dhidi ya magendo ya binadamu na biashara ya utumwa katika bara la Afrika.
-
Serikali ya Libya kufanya uchunguzi kuhusu biashara ya utumwa
Nov 24, 2017 03:33Serikali ya Libya yenye makao yake mjini Tripoli na ambayo inatambuliwa na jamii ya kimataifa imetangaza kuwa, itafanya uchunguzi kuhusiana na taarifa za kuweko biashara ya utumwa katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.
-
Rwanda kupokea maelfu ya wahamiaji waliokwama Libya + Sauti
Nov 24, 2017 02:36Serikali ya Rwanda imesema kuwa iko tayari kupokea wahamiaji zaidi ya 30,000 wa Kiafrika waliokwama nchini Libya na ambao wanapigwa mnada sokoni na kuuzwa kama bidhaa.