Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

maandamano

  • Maandamano ya kulaani jinai za Israel yafanyika Paris, Ufaransa

    Maandamano ya kulaani jinai za Israel yafanyika Paris, Ufaransa

    Oct 24, 2023 13:53

    Maelfu kwa maelfu ya watu wamejitokeza mabarabarani katika mji mkuu wa Ufaransa, Paris kushiriki maandamano ya kulaani jinai zinazoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya wananchi wa Palestina, huku idadi ya Wapalestina waliouawa shahidi hadi sasa ikipindukia 5,000.

  • Wananchi wa Kano Nigeria waandamana kulaani jinai za Israel huko Gaza

    Wananchi wa Kano Nigeria waandamana kulaani jinai za Israel huko Gaza

    Oct 21, 2023 13:45

    Waislamu na waungaji mkono wa Palestina katika mji wa Kano, Nigeria wameandamana na kutangaza himaya na uungaji mkono wao kwa wananchi madhulumu wa Palestina hasa wa Ukanda wa Gaza.

  • Maandamano dhidi ya Wazayuni yashtadi, Israel yafunga balozi zake Rabat, Cairo

    Maandamano dhidi ya Wazayuni yashtadi, Israel yafunga balozi zake Rabat, Cairo

    Oct 20, 2023 02:58

    Maandamano yanayoendelea kushuhudiwa katika nchi mbalimbali duniani kulaani jinai za Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza, yameilazimisha Tel Aviv kuwahimisha wafanyakazi wa balozi zake katika nchi za Misri na Morocco.

  • Wananchi wa Morocco waandamana kupinga uhusiano wa kawaida na Israel

    Wananchi wa Morocco waandamana kupinga uhusiano wa kawaida na Israel

    Oct 07, 2023 07:26

    Kwa mara nyingine tena, wananchi wa Morocco wamefanya maandamano ya kupinga hatua ya serikali ya nchi hiyo ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel; uhusiano ambao kwa sasa umefikisha mwaka mmoja.

  • Ufaransa yakumbwa na maandamano ya kupinga ubaguzi wa rangi

    Ufaransa yakumbwa na maandamano ya kupinga ubaguzi wa rangi

    Sep 25, 2023 04:59

    Maelfu ya wananchi wa Ufaransa jana Jumapili waliandamana katika mitaa mbalimbali ya mji mkuu Paris na katika miji mingine nchini humo wakilalamikia ubaguzi wa rangi wa kimfumo unaoendelea kushuhudiwa nchini humo.

  • Maandamano ya kutaka kufukuzwa askari wa Ufaransa yashtadi Niger

    Maandamano ya kutaka kufukuzwa askari wa Ufaransa yashtadi Niger

    Sep 02, 2023 11:09

    Maelfu ya wananchi wa Niger wamefanya maandamano katika mji mkuu Niamey, kuonyesha uungaji mkono wao kwa serikali ya kijeshi inayotawala hivi sasa, na kutaka kufukuzwa nchini humo wanajeshi na wanadiplomasia wa Ufaransa katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi.

  • Maelfu ya Wanigeria waandamana kupinga mashambulizi ya ECOWAS dhidi ya Niger

    Maelfu ya Wanigeria waandamana kupinga mashambulizi ya ECOWAS dhidi ya Niger

    Aug 13, 2023 08:21

    Maelfu ya watu nchini Nigeria wamefanya maandamano wakipinga uwezekano wa mashambulizi ya kijeshi ya Jumuiya ya Kiuchumi ya Kanda ya Afrika Magharibi, (ECOWAS) nchini Niger.

  • Maelfu waandamana Niger wakitaka kufukuzwa askari wa US, Ufaransa

    Maelfu waandamana Niger wakitaka kufukuzwa askari wa US, Ufaransa

    Aug 04, 2023 02:57

    Maelfu ya wananchi wa Niger wamefanya maandamano katika mji mkuu Niamey, wakitaka kufukuzwa nchini humo mara moja wanajeshi wa Marekani na Ufaransa.

  • Waislamu Nigeria waandamana kulaani kuchomwa moto Qurani

    Waislamu Nigeria waandamana kulaani kuchomwa moto Qurani

    Jul 27, 2023 10:21

    Waislamu nchini Nigeria wamefanya maandamano kulaani vitendo vya mara kwa mara vya kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu katika nchi za Ulaya.

  • Wairaqi walaani njama za Marekani za kutaka kuwaua viongozi wa muqawama

    Wairaqi walaani njama za Marekani za kutaka kuwaua viongozi wa muqawama

    Jul 15, 2023 06:48

    Wananchi wa Iraq wamefanya maandamano katika mji mkuu Baghdad, kupinga na kulaani uingiliaji wa Marekani katika masuala ya ndani ya nchi hiyo, na vile vile njama za Washington za kutaka kuwaua kigaidi viongozi wa kambi ya muqawama nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS