Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

maandamano

  • Ripoti: US imetumia $ bilioni 22 kuisaidia kijeshi Israel tangu Oktoba 7, kiwango halisi ni zaidi

    Ripoti: US imetumia $ bilioni 22 kuisaidia kijeshi Israel tangu Oktoba 7, kiwango halisi ni zaidi

    Oct 09, 2024 02:27

    Marekani imetumia zaidi ya dola bilioni 22 kwa ajili ya misaada ya kijeshi inayoupatia utawala wa Kizayuni wa Israel na kufadhili uvamizi na mashambulio yaliyofanywa na utawala huo haramu katika eneo hili kwa kipindi cha mwaka mmoja sasa.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza: Vita vya Ukraine vinaweza vikavuka mwaka 2026

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza: Vita vya Ukraine vinaweza vikavuka mwaka 2026

    Sep 24, 2024 11:02

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza, David Lammy ametabiri kuwa mapigano kati ya Russia na Ukraine huenda yakaendelea kwa angalau miaka miwili zaidi na kuvuka mwaka 2026.

  • Serikali ya Australia kupitisha sheria ya kupiga marufuku vijana wadogo kutumia mitandao ya kijamii

    Serikali ya Australia kupitisha sheria ya kupiga marufuku vijana wadogo kutumia mitandao ya kijamii

    Sep 11, 2024 02:20

    Waziri Mkuu wa Australia Anthony Albanese ametangaza kuwa serikali yake inapanga kupiga marufuku watoto kutumia mitandao ya kijamii.

  • US yaja na mpango mpya wa kusitisha vita Ghaza,

    US yaja na mpango mpya wa kusitisha vita Ghaza, "bila matumaini" ya kufikiwa mwafaka

    Sep 09, 2024 06:50

    Maafisa wa Marekani na wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamesema, Washington "haina matumaini" ya kufikiwa makubaliano ya kubadilishana mateka na makundi ya Palestina katika Ukanda wa Ghaza, lakini pamoja na hayo, karibuni hivi itawasilisha pendekezo lake jipya.

  • Maandamano ya kuwaunga mkono Wapalestina yafanyika Berlin Ujerumani

    Maandamano ya kuwaunga mkono Wapalestina yafanyika Berlin Ujerumani

    Sep 09, 2024 02:54

    Maelfu ya watu wameandamana katika mji mkuu wa Ujerumani, Berlin, na kutangaza himaya na uungaji mkono wao kwa wananchi wa Palestina hususan wa Ukanda wa Gaza.

  • Yemen wafanya maandamano ya mamilioni ya watu kuwaunga mkono Wapalestina

    Yemen wafanya maandamano ya mamilioni ya watu kuwaunga mkono Wapalestina

    Aug 31, 2024 04:15

    Kwa mara nyingine tena mamilioni ya wananchi wa Yemen wamemiminika barabarani kulaani jinai za utawala wa Kizayuni na kuwaunga mkono wananchi wa Palestina hasa wa Ukanda wa Ghaza.

  • Wananchi wa Uturuki wafanya maandamano Istanbul kuunga mkono Gaza

    Wananchi wa Uturuki wafanya maandamano Istanbul kuunga mkono Gaza

    Aug 26, 2024 11:26

    Kwa mara nyingine tena, wananchi wa Uturuki wamefanya maandamano ya kulalamikia siasa za kijeshi na mauaji yanayofanywa na utawala wa kibaguzi wa Israel dhidi ya wanawake na watoto wadogo katika eneo la Ukanda wa Gaza linalokaliwa kwa mabavu.

  • Waungaji mkono wa usitishaji vita wamkalia kooni Netanyahu kwa kuandamana dhidi yake Tel Aviv na Haifa

    Waungaji mkono wa usitishaji vita wamkalia kooni Netanyahu kwa kuandamana dhidi yake Tel Aviv na Haifa

    Aug 19, 2024 08:04

    Makumi ya maelfu ya watu wamefanya maandamano katika miji ya Tel Aviv na Haifa dhidi ya baraza la mawaziri la Netanyahu na kutaka yafikiwe makubaliano ya kusitisha vita na harakati ya HAMAS.

  • Maandamano ya kuiunga mkono Palestina yafanyika katika nchi 6 za Ulaya

    Maandamano ya kuiunga mkono Palestina yafanyika katika nchi 6 za Ulaya

    Aug 04, 2024 03:00

    Maandamano makubwa ya kuiunga mkono na kutangaza mshikamano na Palestina yameshuhudiwa katika miji mbalimbali ya nchi barani Ulaya.

  • Muendelezo wa maandamano dhidi ya Wazayuni katika maeneo mbalimbali ulimwenguni

    Muendelezo wa maandamano dhidi ya Wazayuni katika maeneo mbalimbali ulimwenguni

    Jul 04, 2024 07:10

    Maandamano bado yanaendelea katika nchi tofauti za dunia kupinga mauaji ya halaiki yanayofanywa na jeshi katili la utawala wa Kizayuni huko Ukanda wa Gaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS