-
Waafghani waandamana dhidi ya Pakistan kwa kuhusika katika miripuko
Jan 14, 2017 12:29Mamia ya raia wa Afghanistan wamefanya maandamano mjini Kabul, mji mkuu wa nchi hiyo wakiilaumu Pakistan kwa kuingilia masuala ya ndani ya nchi yao.
-
Watunisia waandamana kuunga mkono mapinduzi
Jan 14, 2017 09:23Maelfu ya wananchi wa Tunisia wamefanya maandamano leo katika maeneo mbalimbali ya nchi hiyo kuadhimisha mwaka wa 6 tangu wafanye mapinduzi yaliyoindoa madarakani serikali ya dikteta wa zamani wa nchi hiyo, Zainul Abidin bin Ali.
-
Wapalestina waandamana kulaani ujenzi wa vitongoji wa Israel
Jan 14, 2017 00:27Wananchi wa Palestina walifanya maandamano Ijumaa ya jana kulalamikia siasa za utawala wa Kizayuni za kubomoa nyumba zao katika ardhi zilizoporwa na utawala huo mwaka 1948.
-
Wabahrain waandamana kumuunga mkono Sheikh Isa Qassim
Jan 06, 2017 04:44Maelfu ya wananchi wa Bahrain wameandamana kote katika ufalme huo kwa siku ya pili mfululizo wakipinga kukandamizwa mwanazuoni mashuhuri wa Kiislamu Ayatullah Sheikh Isa Qassim.
-
Wapinzani wapambana na polisi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Dec 29, 2016 11:22Maandamano ya nchi nzima huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) yamewalazimisha polisi kuingilia kati kukabiliana nayo.
-
Wamarekani waandamana dhidi ya msimamo wa Trump kuhusu silaha za nyuklia
Dec 27, 2016 11:13Wananchi wa Marekani wamefanya maandamano katika mji wa New York wakikosoa wito uliotolewa hivi karibuni na Rais mteule wa nchi hiyo, Donald Trump wa kutaka kuimarishwa uwezo wa silaha za nyuklia wa nchi hiyo.
-
Polisi Kongo yawatia mbaroni makumi ya raia
Dec 23, 2016 04:12Polisi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamewatia mbaroni makundi ya raia kwa kosa la kushiriki maandamano dhidi ya serikali.
-
Idadi ya vifo yaongezeka Kongo DR, risasi zarindima hapa na pale
Dec 21, 2016 23:36Milio ya risasi ya hapa na pale ilisikika Jumatano nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, siku moja baada ya watu 26 kuripotiwa kuuawa katika maandamano dhidi ya Rais Kabila baada ya muhula wake wa uongozi kumalizika.
-
Maandamano dhidi ya serikali ya Sudan yaongezeka
Dec 19, 2016 11:20Maandamano dhidi ya serikali ya Sudan yameshadidi sambamba na mgomo wa nchi nzima.
-
Wananchi wa Azerbaijan waandamana dhidi ya safari ya Netanyahu
Dec 13, 2016 04:51Wananchi wa Azerbaijan wamefanya maandamano katika mji mkuu wa nchi hiyo Baku, kulaani safari ya Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel, Benjamin Netanyahu ambaye anaanza ziara isiyo ya kawaida katika nchi mbili za Kiislamu za Asia ya Kati.