-
Wamarekani waandamana kupinga dikrii iliyozusha makelele ya ujenzi wa mabomba ya mafuta
Jan 25, 2017 11:49Wananchi wa Marekani wameandama kupinga agizo la Rais Donald Trump wa nchi hiyo la kutaka kuendelezwa ujenzi wa mabomba ya mafuta uliozusha upinzani na mvutano.
-
11 wauawa Nigeria kwa kushiriki maandamano ya kumuunga mkono Trump
Jan 21, 2017 04:33Wanachama 11 wa harakati ya Biafra nchini Nigeria wanaripotiwa kuuawa na maafisa usalama katika maandamano yaliyofanyika kusini mashariki mwa nchi.
-
Benjamin Netanyahu azidi kuandamwa
Jan 15, 2017 03:47Mamia ya wakazi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamefanya maandamano ya kulaani ufisadi wa kifedha wa viongozi wa utawala huo hususan Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa Israel, mjini Tel Aviv.
-
Waafghani waandamana dhidi ya Pakistan kwa kuhusika katika miripuko
Jan 14, 2017 12:29Mamia ya raia wa Afghanistan wamefanya maandamano mjini Kabul, mji mkuu wa nchi hiyo wakiilaumu Pakistan kwa kuingilia masuala ya ndani ya nchi yao.
-
Watunisia waandamana kuunga mkono mapinduzi
Jan 14, 2017 09:23Maelfu ya wananchi wa Tunisia wamefanya maandamano leo katika maeneo mbalimbali ya nchi hiyo kuadhimisha mwaka wa 6 tangu wafanye mapinduzi yaliyoindoa madarakani serikali ya dikteta wa zamani wa nchi hiyo, Zainul Abidin bin Ali.
-
Wapalestina waandamana kulaani ujenzi wa vitongoji wa Israel
Jan 14, 2017 00:27Wananchi wa Palestina walifanya maandamano Ijumaa ya jana kulalamikia siasa za utawala wa Kizayuni za kubomoa nyumba zao katika ardhi zilizoporwa na utawala huo mwaka 1948.
-
Wabahrain waandamana kumuunga mkono Sheikh Isa Qassim
Jan 06, 2017 04:44Maelfu ya wananchi wa Bahrain wameandamana kote katika ufalme huo kwa siku ya pili mfululizo wakipinga kukandamizwa mwanazuoni mashuhuri wa Kiislamu Ayatullah Sheikh Isa Qassim.
-
Wapinzani wapambana na polisi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Dec 29, 2016 11:22Maandamano ya nchi nzima huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) yamewalazimisha polisi kuingilia kati kukabiliana nayo.
-
Wamarekani waandamana dhidi ya msimamo wa Trump kuhusu silaha za nyuklia
Dec 27, 2016 11:13Wananchi wa Marekani wamefanya maandamano katika mji wa New York wakikosoa wito uliotolewa hivi karibuni na Rais mteule wa nchi hiyo, Donald Trump wa kutaka kuimarishwa uwezo wa silaha za nyuklia wa nchi hiyo.
-
Polisi Kongo yawatia mbaroni makumi ya raia
Dec 23, 2016 04:12Polisi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamewatia mbaroni makundi ya raia kwa kosa la kushiriki maandamano dhidi ya serikali.