-
Idadi ya vifo yaongezeka Kongo DR, risasi zarindima hapa na pale
Dec 21, 2016 23:36Milio ya risasi ya hapa na pale ilisikika Jumatano nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, siku moja baada ya watu 26 kuripotiwa kuuawa katika maandamano dhidi ya Rais Kabila baada ya muhula wake wa uongozi kumalizika.
-
Maandamano dhidi ya serikali ya Sudan yaongezeka
Dec 19, 2016 11:20Maandamano dhidi ya serikali ya Sudan yameshadidi sambamba na mgomo wa nchi nzima.
-
Wananchi wa Azerbaijan waandamana dhidi ya safari ya Netanyahu
Dec 13, 2016 04:51Wananchi wa Azerbaijan wamefanya maandamano katika mji mkuu wa nchi hiyo Baku, kulaani safari ya Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel, Benjamin Netanyahu ambaye anaanza ziara isiyo ya kawaida katika nchi mbili za Kiislamu za Asia ya Kati.
-
Wabahrain waandamana dhidi ya kesi ya Sh. Salman inayosikilizwa leo
Dec 12, 2016 04:20Wananchi wa Bahrain wamefanya maandamano katika barabara za nchi hiyo usiku wa kuamkia leo kuulani utawala wa Aal-Khalifa wa nchi hiyo, ambapo hii leo mahakama ya nchi hiyo inatazamiwa kusikiliza kesi ya Sheikh Ali Salman, Katibu Mkuu wa Harakati ya Kitaifa ya Kiislamu ya Al-Wifaq, iliyopigwa marufuku na utawala huo.
-
Msaidizi wa Rais wa Sudan: Nchi inakabiliwa na matatizo mengi ya ndani na nje
Dec 11, 2016 23:10Msaidizi wa ngazi ya juu wa Rais wa Sudan amekiri kuwa nchi hiyo inakabiliwa na matatizo ya ndani na nje.
-
Wabahrain waandamana dhidi ya Waziri Mkuu wa Uingereza
Dec 08, 2016 04:43Wananchi wa Bahrain wamefanya maandamano kueleza ghadhabu zao dhidi ya Waziri Mkuu wa Uingereza ambaye yuko nchini humo kushiriki mkutano wa kila mwaka wa Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi (P)GCC.
-
Kuongeza hujuma na jinai mbalimbali Marekani baada ya ushindi wa Trump
Nov 30, 2016 01:00Kundi moja la Kutetea Haki za Kiraia nchini Marekani limesema katika ripoti yake kuwa, hujuma na jinai mbalimbali ziliongezeka nchini humo humo siku kumi baada ya Donald Trump kutangazwa mshindi wa kiti cha urais.
-
Wananchi wa Bahrain waandamana kulalamikia ukandamizaji wa utawala wa Aal Khalifa
Nov 25, 2016 11:46Maelfu ya wananchi wa Bahrain wameandamana leo wakilalamikia ukandamizaji dhidi ya raia unaofanywa na utawala wa Aal khalifa.
-
Mamia waandamana London dhidi ya gazeti la Saudia la Sharq Ausat
Nov 24, 2016 01:55Mamia waandamana London dhidi ya gazeti la Saudia la Sharq Ausat Mamia ya watu walifanya maandamano jana mjini London huko Uingereza mbele ya jengo la ofisi za gazeti linalofadhiliwa na Saudi Arabia la al Sharq al Ausat kutokana na kuwavunjia heshima wananchi wa Iraq.
-
Maandamano makubwa zaidi dhidi ya serikali ya Uingereza
Nov 21, 2016 04:18Maelfu ya wanafunzi wa vyuo vikuu na wahadhiri nchini Uingereza wameshiriki katika maandamano makubwa zaidi kuwahi kushuhudiwa katika mitaa ya mji wa London.