Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

maandamano

  • Idadi ya vifo yaongezeka Kongo DR, risasi zarindima hapa na pale

    Idadi ya vifo yaongezeka Kongo DR, risasi zarindima hapa na pale

    Dec 21, 2016 23:36

    Milio ya risasi ya hapa na pale ilisikika Jumatano nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, siku moja baada ya watu 26 kuripotiwa kuuawa katika maandamano dhidi ya Rais Kabila baada ya muhula wake wa uongozi kumalizika.

  • Maandamano dhidi ya serikali ya Sudan yaongezeka

    Maandamano dhidi ya serikali ya Sudan yaongezeka

    Dec 19, 2016 11:20

    Maandamano dhidi ya serikali ya Sudan yameshadidi sambamba na mgomo wa nchi nzima.

  • Wananchi wa Azerbaijan waandamana dhidi ya safari ya Netanyahu

    Wananchi wa Azerbaijan waandamana dhidi ya safari ya Netanyahu

    Dec 13, 2016 04:51

    Wananchi wa Azerbaijan wamefanya maandamano katika mji mkuu wa nchi hiyo Baku, kulaani safari ya Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel, Benjamin Netanyahu ambaye anaanza ziara isiyo ya kawaida katika nchi mbili za Kiislamu za Asia ya Kati.

  • Wabahrain waandamana dhidi ya kesi ya Sh. Salman inayosikilizwa leo

    Wabahrain waandamana dhidi ya kesi ya Sh. Salman inayosikilizwa leo

    Dec 12, 2016 04:20

    Wananchi wa Bahrain wamefanya maandamano katika barabara za nchi hiyo usiku wa kuamkia leo kuulani utawala wa Aal-Khalifa wa nchi hiyo, ambapo hii leo mahakama ya nchi hiyo inatazamiwa kusikiliza kesi ya Sheikh Ali Salman, Katibu Mkuu wa Harakati ya Kitaifa ya Kiislamu ya Al-Wifaq, iliyopigwa marufuku na utawala huo.

  • Msaidizi wa Rais wa Sudan: Nchi inakabiliwa na matatizo mengi ya ndani na nje

    Msaidizi wa Rais wa Sudan: Nchi inakabiliwa na matatizo mengi ya ndani na nje

    Dec 11, 2016 23:10

    Msaidizi wa ngazi ya juu wa Rais wa Sudan amekiri kuwa nchi hiyo inakabiliwa na matatizo ya ndani na nje.

  • Wabahrain waandamana dhidi ya Waziri Mkuu wa Uingereza

    Wabahrain waandamana dhidi ya Waziri Mkuu wa Uingereza

    Dec 08, 2016 04:43

    Wananchi wa Bahrain wamefanya maandamano kueleza ghadhabu zao dhidi ya Waziri Mkuu wa Uingereza ambaye yuko nchini humo kushiriki mkutano wa kila mwaka wa Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi (P)GCC.

  • Kuongeza hujuma na jinai mbalimbali Marekani baada ya ushindi wa Trump

    Kuongeza hujuma na jinai mbalimbali Marekani baada ya ushindi wa Trump

    Nov 30, 2016 01:00

    Kundi moja la Kutetea Haki za Kiraia nchini Marekani limesema katika ripoti yake kuwa, hujuma na jinai mbalimbali ziliongezeka nchini humo humo siku kumi baada ya Donald Trump kutangazwa mshindi wa kiti cha urais.

  • Wananchi wa Bahrain waandamana kulalamikia ukandamizaji wa utawala wa Aal Khalifa

    Wananchi wa Bahrain waandamana kulalamikia ukandamizaji wa utawala wa Aal Khalifa

    Nov 25, 2016 11:46

    Maelfu ya wananchi wa Bahrain wameandamana leo wakilalamikia ukandamizaji dhidi ya raia unaofanywa na utawala wa Aal khalifa.

  • Mamia waandamana London dhidi ya gazeti la Saudia la Sharq Ausat

    Mamia waandamana London dhidi ya gazeti la Saudia la Sharq Ausat

    Nov 24, 2016 01:55

    Mamia waandamana London dhidi ya gazeti la Saudia la Sharq Ausat Mamia ya watu walifanya maandamano jana mjini London huko Uingereza mbele ya jengo la ofisi za gazeti linalofadhiliwa na Saudi Arabia la al Sharq al Ausat kutokana na kuwavunjia heshima wananchi wa Iraq.

  • Maandamano makubwa  zaidi dhidi ya serikali ya Uingereza

    Maandamano makubwa zaidi dhidi ya serikali ya Uingereza

    Nov 21, 2016 04:18

    Maelfu ya wanafunzi wa vyuo vikuu na wahadhiri nchini Uingereza wameshiriki katika maandamano makubwa zaidi kuwahi kushuhudiwa katika mitaa ya mji wa London.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS