Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

maandamano

  • Malalamiko ya wananchi yaongezeka nchini Sudan

    Malalamiko ya wananchi yaongezeka nchini Sudan

    Nov 06, 2016 09:56

    Malalamiko ya wananchi yameongezeka mjini Khartoum Sudan baada ya serikali ya nchi hiyo kupandisha bei ya nishati.

  • Polisi Kongo DR wazima maandamano ya wapinzani Kinshasa

    Polisi Kongo DR wazima maandamano ya wapinzani Kinshasa

    Nov 06, 2016 04:04

    Maafisa wa polisi wa kupambana na ghasia wametumia mabomu ya kutoa machozi kuzima maandamano ya wapinzani katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Kinshasa.

  • Hali yazidi kuwa tete Benin, maandamano yamechachamaa

    Hali yazidi kuwa tete Benin, maandamano yamechachamaa

    Nov 05, 2016 11:33

    Maandamano ya kumuunga mkono mgombea wa zamani wa urais wa Benin yamechachamaa katika nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.

  • Wanaharakati wa haki za binadamu waandamana Ubelgiji dhidi ya Aal Saud

    Wanaharakati wa haki za binadamu waandamana Ubelgiji dhidi ya Aal Saud

    Oct 31, 2016 00:55

    Wanaharakati wa kutetea haki za binadamu wameandamana mbelel ya ubalozi wa Saudi Arabia huko Brussels mji mkuu wa Ubelgiji kulalamikia na kupinga jinai za utawala wa Aal Saud.

  • Upinzani DRC: Tutaitisha mgomo wa kitaifa na maandamano mengine

    Upinzani DRC: Tutaitisha mgomo wa kitaifa na maandamano mengine

    Oct 16, 2016 10:25

    Vyama vya upinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo vimewataka wafanyakazi wote kushirikia mgomo wa kitaifa na maandamano ya nchi nzima siku ya Jumatano, kumshinikiza Rais Joseph Kabila wa nchi hiyo aachie ngazi mwishoni mwa muhula wake wa pili unaomalizika mwishoni mwa mwaka huu.

  • Maandamano yapigwa marufuku Harare mji mkuu wa Zimbabwe

    Maandamano yapigwa marufuku Harare mji mkuu wa Zimbabwe

    Sep 13, 2016 09:17

    Duru za habari kutoka Zimbabwe zimearifu kuhusu kupigwa marufu kufanyika maandamano ya aina yoyote dhidi ya serikali katika mji mkuu wa nchi hiyo Harare.

  • Polisi yatumia mabomu kuzima maandamano Zimbabwe

    Polisi yatumia mabomu kuzima maandamano Zimbabwe

    Aug 17, 2016 09:43

    Maafisa wa polisi nchini Zimbabwe wametumia mabomu ya kutoa machozi na maji yenye kuwasha kuzima maandamano ya makumi ya watu wanaopinga azma ya Benki Kuu nchini humo ya kufufua matumizi ya noti za nchi hiyo.

  • Kupigwa marufuku maandamano dhidi ya serikali nchini Ethiopia

    Kupigwa marufuku maandamano dhidi ya serikali nchini Ethiopia

    Aug 17, 2016 02:39

    Polisi nchini Ethiopia imepiga marufuku maandamano ya aina yoyote ile ya kuipinga serikali ya nchi hiyo.

  • Wananchi Bahrain waendeleza maandamano dhidi ya serikali

    Wananchi Bahrain waendeleza maandamano dhidi ya serikali

    Aug 14, 2016 03:24

    Wananchi wa Bahrain kwa mara nyingine tena wamekusanyika mbele ya nyumba ya kiongozi wa Waislamu wa madhehebu ya Shia wa nchi hiyo Ayatullah Sheikh Issa Qassim mapema leo kuonyesha uungaji mkono wao kwa mwanachuoni huyo wa Kiislamu.

  • Watu saba wauawa Ethiopia katika maandamano ya kupinga serikali

    Watu saba wauawa Ethiopia katika maandamano ya kupinga serikali

    Aug 06, 2016 23:50

    Duru za kuaminika zimeripoti kuwa watu saba wameuawa nchini Ethiopia katika maandamano ya kupinga serikali.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS