-
Malalamiko ya wananchi yaongezeka nchini Sudan
Nov 06, 2016 09:56Malalamiko ya wananchi yameongezeka mjini Khartoum Sudan baada ya serikali ya nchi hiyo kupandisha bei ya nishati.
-
Polisi Kongo DR wazima maandamano ya wapinzani Kinshasa
Nov 06, 2016 04:04Maafisa wa polisi wa kupambana na ghasia wametumia mabomu ya kutoa machozi kuzima maandamano ya wapinzani katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Kinshasa.
-
Hali yazidi kuwa tete Benin, maandamano yamechachamaa
Nov 05, 2016 11:33Maandamano ya kumuunga mkono mgombea wa zamani wa urais wa Benin yamechachamaa katika nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.
-
Wanaharakati wa haki za binadamu waandamana Ubelgiji dhidi ya Aal Saud
Oct 31, 2016 00:55Wanaharakati wa kutetea haki za binadamu wameandamana mbelel ya ubalozi wa Saudi Arabia huko Brussels mji mkuu wa Ubelgiji kulalamikia na kupinga jinai za utawala wa Aal Saud.
-
Upinzani DRC: Tutaitisha mgomo wa kitaifa na maandamano mengine
Oct 16, 2016 10:25Vyama vya upinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo vimewataka wafanyakazi wote kushirikia mgomo wa kitaifa na maandamano ya nchi nzima siku ya Jumatano, kumshinikiza Rais Joseph Kabila wa nchi hiyo aachie ngazi mwishoni mwa muhula wake wa pili unaomalizika mwishoni mwa mwaka huu.
-
Maandamano yapigwa marufuku Harare mji mkuu wa Zimbabwe
Sep 13, 2016 09:17Duru za habari kutoka Zimbabwe zimearifu kuhusu kupigwa marufu kufanyika maandamano ya aina yoyote dhidi ya serikali katika mji mkuu wa nchi hiyo Harare.
-
Polisi yatumia mabomu kuzima maandamano Zimbabwe
Aug 17, 2016 09:43Maafisa wa polisi nchini Zimbabwe wametumia mabomu ya kutoa machozi na maji yenye kuwasha kuzima maandamano ya makumi ya watu wanaopinga azma ya Benki Kuu nchini humo ya kufufua matumizi ya noti za nchi hiyo.
-
Kupigwa marufuku maandamano dhidi ya serikali nchini Ethiopia
Aug 17, 2016 02:39Polisi nchini Ethiopia imepiga marufuku maandamano ya aina yoyote ile ya kuipinga serikali ya nchi hiyo.
-
Wananchi Bahrain waendeleza maandamano dhidi ya serikali
Aug 14, 2016 03:24Wananchi wa Bahrain kwa mara nyingine tena wamekusanyika mbele ya nyumba ya kiongozi wa Waislamu wa madhehebu ya Shia wa nchi hiyo Ayatullah Sheikh Issa Qassim mapema leo kuonyesha uungaji mkono wao kwa mwanachuoni huyo wa Kiislamu.
-
Watu saba wauawa Ethiopia katika maandamano ya kupinga serikali
Aug 06, 2016 23:50Duru za kuaminika zimeripoti kuwa watu saba wameuawa nchini Ethiopia katika maandamano ya kupinga serikali.