• Polisi yatumia mabomu kuzima maandamano Zimbabwe

    Polisi yatumia mabomu kuzima maandamano Zimbabwe

    Aug 17, 2016 09:43

    Maafisa wa polisi nchini Zimbabwe wametumia mabomu ya kutoa machozi na maji yenye kuwasha kuzima maandamano ya makumi ya watu wanaopinga azma ya Benki Kuu nchini humo ya kufufua matumizi ya noti za nchi hiyo.

  • Kupigwa marufuku maandamano dhidi ya serikali nchini Ethiopia

    Kupigwa marufuku maandamano dhidi ya serikali nchini Ethiopia

    Aug 17, 2016 02:39

    Polisi nchini Ethiopia imepiga marufuku maandamano ya aina yoyote ile ya kuipinga serikali ya nchi hiyo.

  • Wananchi Bahrain waendeleza maandamano dhidi ya serikali

    Wananchi Bahrain waendeleza maandamano dhidi ya serikali

    Aug 14, 2016 03:24

    Wananchi wa Bahrain kwa mara nyingine tena wamekusanyika mbele ya nyumba ya kiongozi wa Waislamu wa madhehebu ya Shia wa nchi hiyo Ayatullah Sheikh Issa Qassim mapema leo kuonyesha uungaji mkono wao kwa mwanachuoni huyo wa Kiislamu.

  • Watu saba wauawa Ethiopia katika maandamano ya kupinga serikali

    Watu saba wauawa Ethiopia katika maandamano ya kupinga serikali

    Aug 06, 2016 23:50

    Duru za kuaminika zimeripoti kuwa watu saba wameuawa nchini Ethiopia katika maandamano ya kupinga serikali.

  • Wabahrain waandamana tena kukosoa ukandamizaji wa Aal-Khalifa

    Wabahrain waandamana tena kukosoa ukandamizaji wa Aal-Khalifa

    Aug 05, 2016 10:36

    Kwa mara nyingine tena wananchi wa Bahrain katika kitongoji cha Diraz wamefanya maandaamano baada ya Swala ya Ijumaa kulaani dhulma na ukandamizaji unaofanywa na utawala wa Aal-Khalifa dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini humo.

  • Makumi ya Maelfu waandamana dhidi ya Rais Joseph Kabila

    Makumi ya Maelfu waandamana dhidi ya Rais Joseph Kabila

    Jul 31, 2016 23:38

    Makumi ya maelfu ya watu jana Jumapili waliandamana Kinshasa mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wakipiga nara dhidi ya serikali na kuperurusha bendera za vyama vya upinzani. Wafanya maandamano wamemtaka Rais Joseph Kabila aondoke madarakani baada ya kumalizika muhula wake mwezi Novemba mwaka huu.

  • Maandamano ya kumuunga mkono Rais Kabila wa DRC

    Maandamano ya kumuunga mkono Rais Kabila wa DRC

    Jul 30, 2016 03:37

    Maelfu ya wafuasi wa Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo walijitokeza mabarabarani hapo jana Ijumaa na kufanya maandamano ya kumuunga mkono kiongozi huyo, siku mbili baada ya wafuasi wa Etienne Tshishekedi, kiongozi mkongwe wa upinzani kurejea nchini baada ya kuwa nje ya nchi kwa zaidi ya miaka miwili na kukaribishwa kwa maandamano makubwa ya kumuunga mkono.

  • Bahrain yazuia Swala ya Ijumaa na kukamata watu 50 Diraz

    Bahrain yazuia Swala ya Ijumaa na kukamata watu 50 Diraz

    Jul 22, 2016 23:37

    Katika muendelezo wa wimbi la ukandamizaji na dhulma za utawala wa kifalme wa Aal-Khalifa, maafisa usalama nchini Bahrain walizuia Swala ya Ijumaa hapo jana sambamba na kuwatia mbaroni watu 50 katika kijiji cha Diraz, kaskazini magharibi mwa nchi.

  • Wanawake Zimbabwe waandamana kumpinga Rais Mugabe

    Wanawake Zimbabwe waandamana kumpinga Rais Mugabe

    Jul 17, 2016 03:15

    Mamia ya wanawake nchini Zimbabwe jana walifanya maandamano dhidi ya serikali ya Rais Robert Mugabe wa nchi hiyo kwa kupiga masufuria; kitendo kinashoashiria namna nchi hiyo inavyokabiliwa na njaa na matatizo ya kiuchumi.