-
Kupigwa marufuku maandamano dhidi ya serikali nchini Ethiopia
Aug 17, 2016 02:39Polisi nchini Ethiopia imepiga marufuku maandamano ya aina yoyote ile ya kuipinga serikali ya nchi hiyo.
-
Wananchi Bahrain waendeleza maandamano dhidi ya serikali
Aug 14, 2016 03:24Wananchi wa Bahrain kwa mara nyingine tena wamekusanyika mbele ya nyumba ya kiongozi wa Waislamu wa madhehebu ya Shia wa nchi hiyo Ayatullah Sheikh Issa Qassim mapema leo kuonyesha uungaji mkono wao kwa mwanachuoni huyo wa Kiislamu.
-
Watu saba wauawa Ethiopia katika maandamano ya kupinga serikali
Aug 06, 2016 23:50Duru za kuaminika zimeripoti kuwa watu saba wameuawa nchini Ethiopia katika maandamano ya kupinga serikali.
-
Wabahrain waandamana tena kukosoa ukandamizaji wa Aal-Khalifa
Aug 05, 2016 10:36Kwa mara nyingine tena wananchi wa Bahrain katika kitongoji cha Diraz wamefanya maandaamano baada ya Swala ya Ijumaa kulaani dhulma na ukandamizaji unaofanywa na utawala wa Aal-Khalifa dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini humo.
-
Makumi ya Maelfu waandamana dhidi ya Rais Joseph Kabila
Jul 31, 2016 23:38Makumi ya maelfu ya watu jana Jumapili waliandamana Kinshasa mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wakipiga nara dhidi ya serikali na kuperurusha bendera za vyama vya upinzani. Wafanya maandamano wamemtaka Rais Joseph Kabila aondoke madarakani baada ya kumalizika muhula wake mwezi Novemba mwaka huu.
-
Maandamano ya kumuunga mkono Rais Kabila wa DRC
Jul 30, 2016 03:37Maelfu ya wafuasi wa Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo walijitokeza mabarabarani hapo jana Ijumaa na kufanya maandamano ya kumuunga mkono kiongozi huyo, siku mbili baada ya wafuasi wa Etienne Tshishekedi, kiongozi mkongwe wa upinzani kurejea nchini baada ya kuwa nje ya nchi kwa zaidi ya miaka miwili na kukaribishwa kwa maandamano makubwa ya kumuunga mkono.
-
Maandamano ya Waislamu nchini Pakistan
Jul 23, 2016 09:17Maelfu ya wananchi wa Pakistan wameandamana katika miji mbalimbali ya nchi hiyo kupinga mauaji ya Waislamu wenzao wa madhehebu ya Shia na serikali ya nchi hiyo kushindwa kuwachukulia hatua wahusika wa mauaji hayo.
-
Bahrain yazuia Swala ya Ijumaa na kukamata watu 50 Diraz
Jul 22, 2016 23:37Katika muendelezo wa wimbi la ukandamizaji na dhulma za utawala wa kifalme wa Aal-Khalifa, maafisa usalama nchini Bahrain walizuia Swala ya Ijumaa hapo jana sambamba na kuwatia mbaroni watu 50 katika kijiji cha Diraz, kaskazini magharibi mwa nchi.
-
Wanawake Zimbabwe waandamana kumpinga Rais Mugabe
Jul 17, 2016 03:15Mamia ya wanawake nchini Zimbabwe jana walifanya maandamano dhidi ya serikali ya Rais Robert Mugabe wa nchi hiyo kwa kupiga masufuria; kitendo kinashoashiria namna nchi hiyo inavyokabiliwa na njaa na matatizo ya kiuchumi.
-
Wamarekani waandamana kulaani ugaidi wa Saudia
Jul 14, 2016 23:41Mamia ya Wamarekani wenye asili ya nchi za Mashariki ya Kati wamefanya maandamano mjini Washington kulaani uungaji mkono wa Saudi Arabia kwa makundi ya kigaidi.