-
ZANU-PF: Mugabe hatojiuzulu licha ya maandamano
Jul 08, 2016 00:18Chama tawala nchini Zimbabwe cha ZANU-PF kimesema Rais Robert Mugabe wa nchi hiyo hatajiuzulu licha ya mgomo wa wafanyakazi na maandamano ya wananchi kulalamikia uongozi wake na hali mbaya ya uchumi.
-
Maandamano Zimbabwe kulalamikia hali mbaya ya uchumi
Jul 04, 2016 23:21Polisi nchini Zimbabwe wametumia gesi ya kutoa machozi kuwatawanya maelfu ya madereva waliokuwa wakiandamana kulalamikia hali inayozidi kuwa mbaya ya uchumi wa nchi hiyo.
-
Wabahrain waandamana kumuunga mkono Sheikh Qassim
Jul 03, 2016 03:05Kwa mara nyingine tena wananchi wa Bahrain wamefanya maandamano ya kuonyesha uungaji mkono wao kwa mwanachuoni mkubwa wa Kiislamu, Ayatullah Sheikh Isa Qassim ambaye hivi karibuni alivuliwa uraia na utawala wa Aal-Khalifa wa Bahrain.
-
Mamilioni ya watu washiriki maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds kote duniani
Jul 01, 2016 03:23Mamilioni ya watu hapa Iran na katika nchi zingine kote duniani wanashiriki maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds, kuonyesha uungaji mkono wao kwa wananchi madhulumu wa Palestina sambamba na kulaani jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina katika ardhi zao unazozikalia kwa mabavu.
-
Wairaqi waandamana kumuunga mkono Sheikh Qassim wa Bahrain
Jun 25, 2016 02:08Wananchi wa Iraq wamefanya maandamano ya kuonyesha uungaji mkono wao kwa mwanachuoni mkubwa wa Kiislamu Ayatullah Sheikh Isa Qassim ambaye hivi karibuni alivuliwa uraia na utawala wa Aal-Khalifa wa Bahrain.
-
HRW: Watu 400 wameuawa katika maandamano dhidi ya serikali Ethiopia
Jun 16, 2016 11:01Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema mamia ya watu wameuawa katika maandamano ya wananchi dhidi ya serikali ya Ethiopia, kuanzia Novemba mwaka jana hadi sasa.
-
Watu saba wauawa na kujeruhiwa Kenya
Jun 06, 2016 23:11Mapigano kati ya vikosi vya usalama na waandamanaji katika mji wa Kisumu Kenya yamesababisha kifo cha mtu mmoja na kujeruhi wengine sita.
-
Walowezi wa Kizayuni wafanya maandamano Quds, wavamia al-Aqsa
Jun 06, 2016 02:59Maelfu ya walowezi wa Kizayuni wamefanya maandamano ya kutiliwa shaka mashariki mwa Quds inayokaliwa kwa mabavu na utawala ghasibu wa Israel na kuzusha hali ya taharuki katika eneo hilo.
-
Wafuasi wa upinzani DRC kuandaa maandamano Kinshasa leo
May 25, 2016 22:55Vyombo vya usalama katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo vimeupa idhini muungano wa vyama vya upinzani nchini humo kuandaa maandamano katika mji mkuu Kinshasa hii leo.
-
Maelfu waandamana Zimbabwe kumuunga mkono Mugabe
May 25, 2016 10:02Maelfu ya wananchi wa Zimbabwe wamejitokeza barabarani katika mji mkuu Harare, kushiriki maandamano ya kuonyesha uungaji mkono wao kwa rais wa nchi hiyo, Robert Mugabe, mwenye umri wa miaka 92.