Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

maandamano

  • Mamilioni ya watu washiriki maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds kote duniani

    Mamilioni ya watu washiriki maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds kote duniani

    Jul 01, 2016 03:23

    Mamilioni ya watu hapa Iran na katika nchi zingine kote duniani wanashiriki maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds, kuonyesha uungaji mkono wao kwa wananchi madhulumu wa Palestina sambamba na kulaani jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina katika ardhi zao unazozikalia kwa mabavu.

  • Wairaqi waandamana kumuunga mkono Sheikh Qassim wa Bahrain

    Wairaqi waandamana kumuunga mkono Sheikh Qassim wa Bahrain

    Jun 25, 2016 02:08

    Wananchi wa Iraq wamefanya maandamano ya kuonyesha uungaji mkono wao kwa mwanachuoni mkubwa wa Kiislamu Ayatullah Sheikh Isa Qassim ambaye hivi karibuni alivuliwa uraia na utawala wa Aal-Khalifa wa Bahrain.

  • HRW: Watu 400 wameuawa katika maandamano dhidi ya serikali Ethiopia

    HRW: Watu 400 wameuawa katika maandamano dhidi ya serikali Ethiopia

    Jun 16, 2016 11:01

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema mamia ya watu wameuawa katika maandamano ya wananchi dhidi ya serikali ya Ethiopia, kuanzia Novemba mwaka jana hadi sasa.

  • Watu saba wauawa na kujeruhiwa Kenya

    Watu saba wauawa na kujeruhiwa Kenya

    Jun 06, 2016 23:11

    Mapigano kati ya vikosi vya usalama na waandamanaji katika mji wa Kisumu Kenya yamesababisha kifo cha mtu mmoja na kujeruhi wengine sita.

  • Walowezi wa Kizayuni wafanya maandamano Quds, wavamia al-Aqsa

    Walowezi wa Kizayuni wafanya maandamano Quds, wavamia al-Aqsa

    Jun 06, 2016 02:59

    Maelfu ya walowezi wa Kizayuni wamefanya maandamano ya kutiliwa shaka mashariki mwa Quds inayokaliwa kwa mabavu na utawala ghasibu wa Israel na kuzusha hali ya taharuki katika eneo hilo.

  • Wafuasi wa upinzani DRC kuandaa maandamano Kinshasa leo

    Wafuasi wa upinzani DRC kuandaa maandamano Kinshasa leo

    May 25, 2016 22:55

    Vyombo vya usalama katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo vimeupa idhini muungano wa vyama vya upinzani nchini humo kuandaa maandamano katika mji mkuu Kinshasa hii leo.

  • Maelfu waandamana Zimbabwe kumuunga mkono Mugabe

    Maelfu waandamana Zimbabwe kumuunga mkono Mugabe

    May 25, 2016 10:02

    Maelfu ya wananchi wa Zimbabwe wamejitokeza barabarani katika mji mkuu Harare, kushiriki maandamano ya kuonyesha uungaji mkono wao kwa rais wa nchi hiyo, Robert Mugabe, mwenye umri wa miaka 92.

  • Watu watatu wafariki dunia nchini Kenya katika maandamano ya wapinzani wa serikali

    Watu watatu wafariki dunia nchini Kenya katika maandamano ya wapinzani wa serikali

    May 23, 2016 23:12

    Watu watatu wamepoteza maisha yao na wengine kadhaa kujeruhiwa nchini Kenya baada ya maandamano ya mrengo wa upinzani ya kutaka Tume ya Uchaguzi na Mipaka IEBC ijiuzulu kugeuka na kuwa uwanja wa fujo.

  • Wafungwa wa Misri wasusia chakula kukosoa 'kesi bandia'

    Wafungwa wa Misri wasusia chakula kukosoa 'kesi bandia'

    May 23, 2016 07:47

    Makumi ya wafungwa wa Misri walioshiriki maandamano ya kuikosoa serikali ya Cairo kwa kuipa Saudi Arabia visiwa viwili vinavyomilikiwa na nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika wanafanya mgomo wa kula, kulalamikia kile walichokitaja kuwa kesi bandia na za kidhulma dhidi yao.

  • Upinzani Kenya: Wabunge wa Jubilee wanapanga njama ya kuahirisha uchaguzi mkuu 2017

    Upinzani Kenya: Wabunge wa Jubilee wanapanga njama ya kuahirisha uchaguzi mkuu 2017

    May 22, 2016 23:03

    Viongozi wa upinzani nchini Kenya wamedai wabunge wa muungano tawala wa Jubilee wanapanga njama ya kuvuruga maandamano yao ya amani ambayo hufanyika kila Jumatatu kwa lengo la kushinikiza kujiuzulu makamishna wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka IEBC, ili itangaze hali ya hatari na hatimaye kuahirisha uchaguzi mkuu unaotazamiwa kufanyika mwaka ujao wa 2017.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS