Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Madagascar

  • Madagascar: Ushirikiano wetu na BRICS utatupa fursa mpya

    Madagascar: Ushirikiano wetu na BRICS utatupa fursa mpya

    Feb 24, 2026 22:54

    Rais wa mpito wa Madagascar, Michael Randrianirina amesema kwamba, nchi hiyo inatazama ushirikiano na jumuya ya BRICS kama njia ya kuelekea kwenye fursa mpya za kiuchumi na ushirikiano wa kimataifa.

  • Idadi ya waliofariki dunia kutokana na kimbunga nchini Madagascar imefikia 59

    Idadi ya waliofariki dunia kutokana na kimbunga nchini Madagascar imefikia 59

    Feb 16, 2026 22:58

    Idara yaMaafa ya Majanga ya Kimaumbile ya Madagascar imetangaza kuwa hadi sasa watu 59 wamefariki dunia kutokana na kimbunga cha Gezani kilichoathiri maeneo ya pwani ya mashariki mwa nchi hiyo tarehe 10 mwezi huu huku watu 15 hawajulikani walipo. Wakati huo huo watu zaidi ya 16,000 wamepoteza makazi yao kufuatia kimbunga hicho.

  • Madagascar yatangaza kimbunga Gezani janga la kitaifa

    Madagascar yatangaza kimbunga Gezani janga la kitaifa

    Feb 15, 2026 04:27

    Serikali ya Madagascar jana ilitangaza kuwa kimbunga cha Gezani kilichoiathiri nchi hiyo ni janga la kitaifa. Kimbunga hicho cha kitropiki kmesasabisha vifo vya watu 43, majeruhi kadhaa, uharibifu wa miundombinu na makazi na hasara kubwa katika baadhi ya maeneo.

  • Machungu ya ukoloni; safari za kifo na jinai za kikatili za Ufaransa nchini Madagascar

    Machungu ya ukoloni; safari za kifo na jinai za kikatili za Ufaransa nchini Madagascar

    Feb 13, 2026 22:48

    Madagascar, kisiwa kikubwa zaidi barani Afrika na makao ya jamii ya Malagasy, iliingia katika moja ya vipindi vya giza zaidi katika historia yake mwishoni mwa karne ya 19.

  • Kimbunga Gezani chaikumba Madagascar, chaua 20 na kujeruhi 33

    Kimbunga Gezani chaikumba Madagascar, chaua 20 na kujeruhi 33

    Feb 11, 2026 22:59

    Kimbunga cha Tropiki cha Gezani kimepiga mji wa bandari wa Toamasina ulioko kwenye pwani ya mashariki mwa Madagascar, na kuua watu wasiopungua 20 na kujeruhi wengine 33 katika jiji hilo la pili kwa ukubwa kwenye kisiwa hicho cha Bahari ya Hindi, huku mvua kali na upepo vikisababisha uharibifu mkubwa. Hayo ni kwa mujibu wa mamlaka husika ya nchi hiyo.

  • Mvua, mafuriko yaua na kujeruhi makumi ya watu Madagascar

    Mvua, mafuriko yaua na kujeruhi makumi ya watu Madagascar

    Jan 07, 2026 06:46

    Wau wasiopungua 11 wameripotiwa kupoteza maisha kutokana na athari za mvua kubwa ambazo zimekuwa zikinyesha nchini Madagacar kwa wiki kadhaa sasa.

  • Madagascar yamvua uraia aliyekuwa rais wa nchi hiyo Rajoelina

    Madagascar yamvua uraia aliyekuwa rais wa nchi hiyo Rajoelina

    Oct 25, 2025 11:21

    Rais wa zamani wa Madagascar, Andry Rajoelina, amevuliwa uraia wake baada ya kuikimbia nchi hiyo mapema mwezi huu kufuatia maandamano makubwa yaliyoongozwa na vijana dhidi ya utawala wake.

  • Kiongozi wa mapinduzi ya kijeshi Madagascar amteua mfanyabiashara kuwa waziri mkuu mpya

    Kiongozi wa mapinduzi ya kijeshi Madagascar amteua mfanyabiashara kuwa waziri mkuu mpya

    Oct 21, 2025 03:31

    Rais wa mpito wa Madagascar Kanali Michael Randrianirina amemteua mfanyabiashara Herintsalama Rajaonarivelo kuwa waziri mkuu mpya wa nchi hiyo na kumuapisha katika hafla rasmi iliyofanyika kwenye Ikulu ya Jimbo la Iavoloha.

  • AU yaisimamishia uanachama Madagascar kufuatia mapinduzi ya kijeshi

    AU yaisimamishia uanachama Madagascar kufuatia mapinduzi ya kijeshi

    Oct 16, 2025 02:54

    Umoja wa Afrika umetengaza kuisimamishia unachama Madagascar "hadi utaratibu wa kikatiba utakaporejeshwa" baada ya mapinduzi yaliyomuondoa madarakani Rais Andry Rajoelina.

  • Mahakama ya Madagascar

    Mahakama ya Madagascar "yamwita" kanali wa jeshi akachukue uongozi na kuitisha uchaguzi

    Oct 15, 2025 02:32

    Mahakama ya Juu ya Katiba ya Madagascar jana Jumanne "ilimwita" kamanda wa Kituo cha Uendeshaji cha Wafanyakazi wa Jeshi (CAPSAT) Kanali Michael Randrianirina "akatekeleze kazi za mkuu wa nchi."

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS