Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Madagascar

  • Wanajeshi wa Madagascar waungana na waandamanaji wanaoipinga serikali katika mji mkuu

    Wanajeshi wa Madagascar waungana na waandamanaji wanaoipinga serikali katika mji mkuu

    Oct 12, 2025 05:25

    Baadhi ya makundi ya wanajeshi wa Madagascar yamekaidi amri na kuungana na maelfu ya waandamanaji wanaoipinga serikali, ambao wamekusanyika katika mji mkuu, Antananarivo, huku maandamano ya kupinga utawala wa Rais Andry Rajoelina yakizidi kupamba moto.

  • Rais wa Madagascar afanya mazungumzo licha ya waandamanaji kususia

    Rais wa Madagascar afanya mazungumzo licha ya waandamanaji kususia

    Oct 09, 2025 07:13

    Rais Andry Rajoelina wa Madagascar jana aliyaalika makundi na asasi kadhaa za kiraia kwa ajili ya mazungumzo katika ikuu ya Rais.

  • Rais wa Madagascar amteua jenerali wa jeshi kuwa Waziri Mkuu mpya

    Rais wa Madagascar amteua jenerali wa jeshi kuwa Waziri Mkuu mpya

    Oct 07, 2025 03:11

    Rais Andriy Rajoelina wa Madagascar amemteua Jenerali Ruphin Fortunat Zafisambo kuwa Waziri Mkuu mpya wa nchi hiyo wiki moja baada ya kulivunja baraza la mawaziri kufuatia maandamano ya wananchi ya siku kadhaa.

  • Maandamano yashtadi Madagascar huku Rais akishinikizwa kujiuzulu

    Maandamano yashtadi Madagascar huku Rais akishinikizwa kujiuzulu

    Oct 02, 2025 07:55

    Mitaa mbali ya Madagascar jana Jumatano ilishuhudia maandamano ya wananchi wanaoshinikiza kujiuzulu raia wa nchi hiyo. Polisi ya nchi hiyo kwa upande wake walichukua hatua za kuzuia kuibuka ghasia katika maandamano hayo.

  • Rais wa Madagascar avunja serikali sambamba na watu wasiopungua 22 kuuawa katika maandamano

    Rais wa Madagascar avunja serikali sambamba na watu wasiopungua 22 kuuawa katika maandamano

    Sep 30, 2025 07:05

    Rais wa Madagascar Andry Rajoelina ameivunja serikali yake siku ya Jumatatu kutokana na kupamba moto maandamano ya upinzani yanayoongozwa na vijana ya kulalamikia uhaba mkubwa wa maji na umeme, mgogoro ambao kwa mujibu wa Umoja wa Mataifa umesababisha vifo vya watu wasiopungua 22 na kujeruhiwa zaidi ya 100 katika kile kinachotajwa kama changamoto kubwa zaidi kuukabili utawala wake baada ya miaka kadhaa.

  • Rais Pezeshkian asisitizia haja ya kuimarisha uhusiano wa Iran na Madagascar

    Rais Pezeshkian asisitizia haja ya kuimarisha uhusiano wa Iran na Madagascar

    Aug 29, 2025 03:16

    Rais Masoud Pezeshkian amewataka mabalozi wapya walioteuliwa hivi karibuni kuiwakilisha Jamhuri ya Kiislamu katika nchi za Madagascar na Croatia kuimarisha uhusiano wa pande mbili baina ya Iran na nchi hizi mbili.

  • WHO: Mlipuko wa polio Madagascar umekwisha

    WHO: Mlipuko wa polio Madagascar umekwisha

    May 20, 2025 11:59

    Mlipuko wa ugonjwa wa polio aina ya kwanza au (Type 1) nchini Madagascar umetangazwa kuwa umemalizika. Hii ni kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Jumanne na Shirika la Afya Duniani (WHO).

  • Kimbunga cha Gamane chaipiga Madagascar, 11 waaga dunia

    Kimbunga cha Gamane chaipiga Madagascar, 11 waaga dunia

    Mar 29, 2024 02:38

    Watu wasiopungua 11 wameaga dunia baada ya kimbunga kikali cha tropiki cha Gamane kuipiga Madagascar.

  • Sheria inayoruhusu kuwahasi wabakaji Madagascar yalalamikiwa na makundi ya kutetea haki

    Sheria inayoruhusu kuwahasi wabakaji Madagascar yalalamikiwa na makundi ya kutetea haki

    Feb 13, 2024 07:32

    Bunge la Madagascar limepitisha sheria inayoruhusu kuwahasi kwa kemikali na katika baadhi ya kesi kwa njia ya upasuaji watu wanaopatikana na hatia ya kubaka watoto wadogo.

  • Rajoelina ashinda kiti cha urais Madagascar kwa muhula wa tatu

    Rajoelina ashinda kiti cha urais Madagascar kwa muhula wa tatu

    Nov 26, 2023 06:29

    Tume ya Uchaguzi ya Madagascar jana Jumamosi ilitangaza kuwa Andry Rajoelina ameshinda tena kuiongoza nchi hiyo kwa muhula wa tatu katika duru ya kwanza ya uchaguzi wa Rais uliosusiwa na karibu wagombea wote wa upinzani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS