Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Madagascar

  • Ukame waendelea kuizonga Madagascar

    Ukame waendelea kuizonga Madagascar

    Jul 23, 2016 22:22

    Serikali ya Madagascar imeendelea kukumbwa na mgogoro wa ukosefu wa chakula kutokana na hali ya ukame na ungezeko la jangwa ndani ya nchi hiyo.

  • Malumbano ya kisiasa Madagascar baada ya mripuko wa bomu

    Malumbano ya kisiasa Madagascar baada ya mripuko wa bomu

    Jun 28, 2016 02:14

    Katika siku ya sherehe za kitaifa, nchini Madagascar, kulijiri mripuko wa bomu mjini Antananarivo, mji mkuu wa nchi hiyo na kusababisha makumi ya watu kuuawa na wengine kujeruhiwa.

  • Serikali na wapinzani wakabana koo Madagascar

    Serikali na wapinzani wakabana koo Madagascar

    Jun 27, 2016 11:33

    Serikali ya Madagascar na wapinzani wake wanatuhumiana kuhusika na mlipuko uliotokea katika mji mkuu wa nchi hiyo.

  • Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kulihutubia Bunge la Madagascar leo

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kulihutubia Bunge la Madagascar leo

    May 11, 2016 03:04

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anatazamiwa kulihutubia Bunge la Madagascar hii leo, kabla ya kukutana na kufanya mazungumzo na rais wa nchi hiyo.

  • Watu wenye silaha washambulia magharibi mwa Madagascar, waua na kujeruhi

    Watu wenye silaha washambulia magharibi mwa Madagascar, waua na kujeruhi

    Apr 27, 2016 02:55

    Watu wenye silaha wamefanya shambulizi magharibi mwa Madagascar na kuua watu wawili na kujeruhi wengine kadhaa katika eneo hilo.

  • Waziri Mkuu wa Madagascar amejiuzulu pamoja na baraza lake la mawaziri.

    Waziri Mkuu wa Madagascar amejiuzulu pamoja na baraza lake la mawaziri.

    Apr 08, 2016 23:26

    Taarifa ya kujiuzulu Jean Ravelonarivo Waziri Mkuu wa Madagascar na baraza lake la mawaziri ilitolewa jana Ijumaa na afisa katika ofisi ya rais ambaye hakutoa maelezo yoyote.

  • Watu milioni mbili wanakabiliwa na njaa nchini Madagascar

    Watu milioni mbili wanakabiliwa na njaa nchini Madagascar

    Feb 13, 2016 04:24

    Serikali ya Madagascar imetangaza kuwa, watu milioni mbili katika maeneo ya vijijini wanakabiliwa na njaa. Kwa mujibu wa taarifa hiyo, watu milioni moja wanakabiliwa na njaa katika eneo la kusini mwa nchi hiyo kufuatia ukame mkali uliyolikumba eneo hilo.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS