• Kujiondoa Mali, Niger na Burkina Faso kwenye Jumuia ya ECOWAS

    Kujiondoa Mali, Niger na Burkina Faso kwenye Jumuia ya ECOWAS

    Jan 30, 2024 07:22

    Nchi tatu za Niger, Burkina Faso na Mali zimetangaza kujiondoa kwenye Jumuia ya Kiuchumi ya Magharibi mwa Afrika ECOWAS kutokana na kutokuwa na imani na siasa na sera za jumuia hiyo.

  • ECOWAS yatambua rasmi Baraza la Kijeshi la Niger

    ECOWAS yatambua rasmi Baraza la Kijeshi la Niger

    Dec 11, 2023 11:55

    Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi (ECOWAS) imelitambua rasmi kwa njia isiyo ya moja kwa moja Baraza la Kijeshi linalotawala Niger.

  • Rais Raisi: Iran iko tayari kuzipatia nchi za Afrika teknolojia mpya

    Rais Raisi: Iran iko tayari kuzipatia nchi za Afrika teknolojia mpya

    Mar 07, 2023 11:22

    Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Iran iko tayari kuzipatia nchi za Afrika elimu na teknolojia mpya ili kurahisisha ushiriki wa sekta binafsi katika uhusiano wa pande mbili.

  • Iran kuwa mwenyeji wa nchi za Afrika Magharibi (ECOWAS)

    Iran kuwa mwenyeji wa nchi za Afrika Magharibi (ECOWAS)

    Jan 09, 2023 10:50

    Tehran karibuni hivi inatazamiwa kuwa mwenyeji wa mkutano wa kwanza baina ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Magharibi mwa Afrika (ECOWAS).

  • ECOWAS yaikosoa Mali kwa kurefusha kipindi cha mpito

    ECOWAS yaikosoa Mali kwa kurefusha kipindi cha mpito

    Jun 08, 2022 10:47

    Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Magharibi mwa Afrika (ECOWAS) imeeleza kusikitishwa kwake na hatua ya Mali ya kurefusha kipindi cha mpito kwa miezi 24.

  • Mapinduzi ya Burkina Faso na mustakbali usiojulikana wa nchi hiyo

    Mapinduzi ya Burkina Faso na mustakbali usiojulikana wa nchi hiyo

    Jan 26, 2022 11:25

    Kundi la askari wa jeshi la Burkina Faso linalojiita Patriotic Movement for Safeguarding and Restoration chini ya uongozi wa Luteni Kanali Paul-Henri Sandaogo Damiba Jumatatu wiki hii lilijitokeza katika tevisheni ya taifa ya nchi hiyo likitangaza kusitishwa Katiba, kuivunja Serikali na Bunge na kumuondoa madarakani Rais wa nchi hiyo, Roch Marc Christian Kabore. Wanajeshi hao walisema kuwa Burkina Faso sasa iko chini ya mamlaka yao.

  • Taasisi ya Jiolojia ya Iran kuanza kazi magharibi mwa Afrika

    Taasisi ya Jiolojia ya Iran kuanza kazi magharibi mwa Afrika

    Dec 01, 2021 11:43

    Kufuatia kutiwa saini mapatano ya ushirikiano baina ya Taasisi ya Jiolojia na Uchimbaji Madini ya Iran na Taasisi ya Madini ya Mali, Iran sasa inatarajiwa kuimarisha shuhuli zake za jiolojia na uchimbaji madini magharibi mwa Afrika.

  • Nchi za Magharibi mwa Afrika kuzindua sarafu moja mwaka 2027

    Nchi za Magharibi mwa Afrika kuzindua sarafu moja mwaka 2027

    Jun 21, 2021 02:53

    Jumuiya ya Uchumi ya Magharibi mwa Afrika ECOWAS imepasisha ramani mpya ya njia ya uzinduzi wa sarafu moja mwaka 2027, baada ya mpango wa awali wa kuzindua sarafu hiyo kuvurugwa na janga la Corona.

  • Ufaransa yasitisha Operesheni ya Barkhane eneo la Sahel, Afrika

    Ufaransa yasitisha Operesheni ya Barkhane eneo la Sahel, Afrika

    Jun 11, 2021 07:58

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ametangaza kuwa nchi hiyo karibuni hivi itasitisha Operesheni ya Barkhane ya eti kupambana na magenge ya kigaidi katika eneo la Sahel la Afrika.

  • Kushadidi harakati za ugaidi eneo la Afrika Magharibi

    Kushadidi harakati za ugaidi eneo la Afrika Magharibi

    Jun 08, 2021 15:53

    Katika wiki za hivi karibuni kumeshuhudiwa kushadidi Harakati za makundi ya kigaidi katika eneo la Afrika Magharibi hasa Nigeria na nchi jirani. Katika hatua ya hivi kairbuni kabisa magaidi walishambulia kijiji kaskazini mwa Burkina Faso na kuua raia zaidi ya 160 huku wakitetekteza nyumba na masoko. Umoja wa Mataifa umetoa taarifa na kulaani hujuma hiyo ambayo imepelekea idadi kubwa ya raia kuuawa kwa umati.