Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Malawi

  • Wapinzani Malawi wamtaka Rais Mutharika ajiuzulu kutokana na madai ya ufisadi

    Wapinzani Malawi wamtaka Rais Mutharika ajiuzulu kutokana na madai ya ufisadi

    Jul 02, 2018 13:51

    Chama kikuu cha upinzani nchini Malawi leo kimemtaka Rais Peter Mutharika wa nchi hiyo ajiuzulu kufuatia madai kuwa alipokea fedha haramu katika mkataba wa serikali wa dola milioni nne.

  • Maalibino kuwania katika Uchaguzi Malawi mwaka 2019

    Maalibino kuwania katika Uchaguzi Malawi mwaka 2019

    Jun 29, 2018 03:44

    Maalbino sita wameazimia kuwania viti katika uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika mwaka ujao nchini Malawi. Wagombea wote sita ni wanachama wa Chama cha wenye ulemavu wa ngozi, Albino, (APAM).

  • Kipindupindu chaua watu tisa Malawi

    Kipindupindu chaua watu tisa Malawi

    Feb 20, 2018 15:19

    Mripuko wa kipindupindu Malawi umeua watu tisa huku watu wengine 541 wakiambukizwa ugonjwa huo kitaifa.

  • Rais wa Malawi awataka wananchi kuombea mvua

    Rais wa Malawi awataka wananchi kuombea mvua

    Jan 20, 2018 04:39

    Rais Peter Mutharika wa Malawi amewataka viongozi wa serikali kuliongoza taifa hilo katika maombi maalumu ya kuomba mvua, katika hali ambayo nchi hiyo inakabiliwa na ukame na uhaba wa chakula.

  • Malawi yatangaza maafa katika wilaya 20 za nchi hiyo

    Malawi yatangaza maafa katika wilaya 20 za nchi hiyo

    Dec 18, 2017 14:29

    Malawi ambayo tayari inayosumbuliwa na mafuriko kutokana na mvua nyingi, imetangaza maafa katika wilaya 20 baada ya uharibifu mkubwa wa mazao ya kilimo uliosababishwa na hujuma ya wadudu wanaoharibu mazao na kutishia usalama wa chakula.

  • Mahakama Malawi yaamuru kukamatwa rais wa zamani wa nchi hiyo kwa kuhusika na ufisadi

    Mahakama Malawi yaamuru kukamatwa rais wa zamani wa nchi hiyo kwa kuhusika na ufisadi

    Aug 01, 2017 07:51

    Mahakama ya Malawi imetoa kibali cha kukamatwa rais wa zamani wa nchi hiyo, Joyce Banda kwa tuhuma za kuhusika na ufisadi na utumiaji mbaya wa mamlaka yake wakati alipokuwa kiongozi wa nchi hiyo.

  • Mutharika: Mazungumzo mapya kuhusu mzozo wa mpaka wa Tanzania/Malawi kuanza

    Mutharika: Mazungumzo mapya kuhusu mzozo wa mpaka wa Tanzania/Malawi kuanza

    Feb 07, 2017 15:05

    Rais Peter Mutharika wa Malawi amesema duru mpya ya mazungumzo ya kujaribu kuupatia ufumbuzi mzozo wa mpaka wa nchi hiyo na jirani yake, Tanzania itaanza karibuni hivi.

  • Qur'ani tukufu yatarjumiwa kwa lugha ya Kiyao, Malawi

    Qur'ani tukufu yatarjumiwa kwa lugha ya Kiyao, Malawi

    Jan 02, 2017 06:46

    Qur'ani Tukufu iliyotarjumiwa kwa lugha ya Kiyao ilizinduliwa Jumamosi iliyopita nchini Malawi.

  • Tanzania kuchunguza madai ya kuifanyia ujasusi Malawi

    Tanzania kuchunguza madai ya kuifanyia ujasusi Malawi

    Dec 27, 2016 04:43

    Serikali ya Tanzania imesema, itafanya uchunguzi kuhusu habari zilizoripotiwa jana na vyombo vya habari vya Malawi vinavyodai kuwa majasusi wanane wa Tanzania wametiwa mbaroni wakifanya ujasusi katika mgodi mmoja wa urani katika nchi hiyo jirani.

  • Hukumu ya miaka 2 jela kwa aliyenajisi mabinti 100 Malawi yakosolewa

    Hukumu ya miaka 2 jela kwa aliyenajisi mabinti 100 Malawi yakosolewa

    Nov 23, 2016 08:08

    Mashirika ya kutetea haki za binadamu na asasi za kupambana na maambukizi ya virusi vya HIV nchini Malawi zimekosoa vikali hukumu ya kufungwa miaka miwili jela, iliyotolewa na mahakama moja nchini humo, dhidi ya mwathirika wa virusi vya HIV aliyewanajisi mabinti wadogo zaidi 100 kwa madai ya kuwasafisha na kuwafanyia tambiko la kimila na kiutamaduni.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS