-
Mchuano mkali katika uchaguzi mkuu nchini Malawi
May 21, 2019 13:32Wananchi wa Malawi leo wamejitokeza kwa wingi kupiga kura katika uchaguzi mkuu ambapo rais Peter Mutharika anakabiliwa na ushindani mkali.
-
Rais wa Malawi anakabiliwa na uchaguzi mgumu; kuchuana na aliyekuwa makamu wake
May 17, 2019 12:57Rais Peter Mutharika wa Malawi anakabiliwa na mtihani mgumu katika uchaguzi wa wiki ijayo ambao utawakutanisha pamoja wagombea kadhaa akiwemo aliyekuwa makamu wake ambaye kwa wakati mmoja alikuwa muitifaki wake ; na sasa amegeuka na kuwa mpinzani.
-
UNICEF: Watoto milioni 1.5 wanahitaji msaada kusini mwa Afrika kufuatia Kimbunga Idai
Apr 15, 2019 07:48Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto, UNICEF, limetoa ombi la dola milioni 1.6 kusaidia watoto takribani milioni 1.5 ambao wameathiriwa vibaya na Kimbunga Idai katika nchi za kusini mwa Afrika ambazo ni Msumbiji, Malawi na Zimbabwe.
-
Waliofariki dunia katika Kimbunga Idai wafika 746, maelfu wapoteza makazi
Mar 30, 2019 16:00Mamia ya maelfu ya watu wanahitaji misaada ya dharura ya chakula, maji na makazi baada ya Kimbunga Idai kusababisha uharibifu mkubwa Msumbiji, Zimbabwe na Malawi.
-
Mafuriko yaendelea kuua katika nchi za kusini mwa Afrika
Mar 15, 2019 01:18Makumi ya watu wamepoteza maisha kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini Malawi.
-
Walioaga dunia kwa mafuriko Malawi wafika 28 huku maelfu wakiwa katika hali mbaya
Mar 11, 2019 02:38Idadi ya watu walioaga dunia baada ya mvua kubwa kunyesha na kusababisha mafuriko kusini mwa Malawi imefikia 28 huku idadi ya raia walioathiriwa na maafa hayo ya kimaumbile ikiripotiwa kuongezeka maradufu.
-
Wapinzani Malawi wamtaka Rais Mutharika ajiuzulu kutokana na madai ya ufisadi
Jul 02, 2018 13:51Chama kikuu cha upinzani nchini Malawi leo kimemtaka Rais Peter Mutharika wa nchi hiyo ajiuzulu kufuatia madai kuwa alipokea fedha haramu katika mkataba wa serikali wa dola milioni nne.
-
Maalibino kuwania katika Uchaguzi Malawi mwaka 2019
Jun 29, 2018 03:44Maalbino sita wameazimia kuwania viti katika uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika mwaka ujao nchini Malawi. Wagombea wote sita ni wanachama wa Chama cha wenye ulemavu wa ngozi, Albino, (APAM).
-
Kipindupindu chaua watu tisa Malawi
Feb 20, 2018 15:19Mripuko wa kipindupindu Malawi umeua watu tisa huku watu wengine 541 wakiambukizwa ugonjwa huo kitaifa.
-
Rais wa Malawi awataka wananchi kuombea mvua
Jan 20, 2018 04:39Rais Peter Mutharika wa Malawi amewataka viongozi wa serikali kuliongoza taifa hilo katika maombi maalumu ya kuomba mvua, katika hali ambayo nchi hiyo inakabiliwa na ukame na uhaba wa chakula.