Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Zarif: Marekani haitafika popote kwa kupenda makuu

    Zarif: Marekani haitafika popote kwa kupenda makuu

    Jul 20, 2019 03:05

    Muhammad Javad Zarif, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Marekani haitafika popote kwa kupenda makuu na pia kutokana na tabia yake ya kuendelea kuiwekea mashinikizo Tehran.

  • IRGC: Hivi karibuni tutaonyesha picha za meli ya Marekani zilizochukuliwa na ndege zetu ili kufichua uongo wa Trump

    IRGC: Hivi karibuni tutaonyesha picha za meli ya Marekani zilizochukuliwa na ndege zetu ili kufichua uongo wa Trump

    Jul 19, 2019 10:10

    Ofisi Kuu ya Mahusiano ya Umma ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) imetoa radiamali kufuatia madai ya Rais Donald Trump wa Marekani aliyesema kuwa meli ya kivita ya nchi hiyo imetungua ndege isiyo na rubani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Marekani yaiwekea vikwazo harakati ya Hashd al Shaabi ya Iraq

    Marekani yaiwekea vikwazo harakati ya Hashd al Shaabi ya Iraq

    Jul 19, 2019 01:54

    Naibu Rais wa Marekani amesema kuwa nchi hiyo imeamua kuwawekea vikwazo makamanda wanne waandamizi wa harakati ya wananchi ya Hashd al Shaabi ya Iraq.

  • Hatua ya Marekani ya kuvunja rasmi mkataba wake na Uturuki

    Hatua ya Marekani ya kuvunja rasmi mkataba wake na Uturuki

    Jul 19, 2019 01:50

    Hatua ya Uturuki ya kununua mfumo wa ulinzi wa anga wa S-400 kutoka kwa Russia imezusha mgogoro mkubwa katika uhusiano wake na Marekani hasa kwa kuzingatia kuwa kabla ya hapo pia Ankara na Washington zilikuwa tayari zina mzozo baina yao.

  • Hamas yataka kususiwa sarafu dola ya Marekani

    Hamas yataka kususiwa sarafu dola ya Marekani

    Jul 18, 2019 22:03

    Musa Abu Marzouq mjumbe wa ngazi ya juu wa Idara ya Siasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) ametoa wito wa kususiwa sarafu ya dola ya Marekani.

  • Uturuki: Uamuzi wa Marekani unakinzana na moyo wa umoja na ushirikiano

    Uturuki: Uamuzi wa Marekani unakinzana na moyo wa umoja na ushirikiano

    Jul 18, 2019 08:44

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki ametoa radiamali kuhusiana na uamuzi wa Marekani wa kuiondoa serikali ya Ankara kwenye mpango wa kununua ndege za kivita za F 35 na kusema kuwa, uamuzi huo wa Washington unakinzana na moyo wa umoja na ushirikiano baina yao.

  • Bunge la Marekani lazuia mauzo ya silaha kwa Saudia, Trump kutumia veto

    Bunge la Marekani lazuia mauzo ya silaha kwa Saudia, Trump kutumia veto

    Jul 18, 2019 06:55

    Bunge la Wawakilishi la Marekani limepiga kura kuunga mkono maazimio ya kupinga mauzo ya silaha zenye thamani ya mabilioni ya dola kwa Saudi Arabia.

  • Ugaidi wa kiuchumi wa Marekani; Iran haitasalimu amri

    Ugaidi wa kiuchumi wa Marekani; Iran haitasalimu amri

    Jul 18, 2019 03:01

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema, sera za vikwazo za serikali ya Marekani dhidi ya wananchi wa Iran ni ugaidi; na akasisitiza kwamba: Iran haitafanya mazungumzo na magaidi.

  • Dakta Javad Zarif: Iran haitafanya mazungumzo na magaidi

    Dakta Javad Zarif: Iran haitafanya mazungumzo na magaidi

    Jul 18, 2019 02:48

    Dakta Muhammad Javad Zarif, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, sera za Marekani za kuliwekea vikwazo taifa la Iran ni ugaidi na kwamba, Iran haitafanya mazungumzo na magaidi.

  • Njama za Imarati na Marekani za kuibambikizia kesi Ikhwanul Muslimin zafichuliwa

    Njama za Imarati na Marekani za kuibambikizia kesi Ikhwanul Muslimin zafichuliwa

    Jul 17, 2019 08:27

    Naibu Mkuu wa harakati ya Ikhwanul Muslimin ya Misri amefichua kile kilichojadiliwa katika mazungumzo yake na maafisa kadhaa wa nchi za nje katika jela muda mfupi baada ya mapinduzi ya kijeshi ya mwezi Julai 2013 nchini Misri.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS