Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Rais wa Syria: Tusi la 'hayawani' alilotumia Trump linamaanisha hakika ya yeye mwenyewe

    Rais wa Syria: Tusi la 'hayawani' alilotumia Trump linamaanisha hakika ya yeye mwenyewe

    May 31, 2018 03:02

    Rais Bashar Al-Assad wa Syria amesema kuhusu lugha ya matusi aliyotumia rais wa Marekani kuhusiana na yeye kwamba: Maneno hayo yanadhihirisha shakhsia ya Trump; na ni mtu wa aina yake yeye tu ndiye anayetarajiwa kutumia lugha ya aina hiyo.

  • Ubaguzi wa rangi lingali tatizo kubwa katika jamii ya Marekani

    Ubaguzi wa rangi lingali tatizo kubwa katika jamii ya Marekani

    May 30, 2018 23:10

    Matokeo ya uchunguzi mpya wa maoni uliofanywa nchini Marekani yanaonyesha kuwa Wamarekani wengi wanaamini kwamba ubaguzi wa rangi lingali ni tatizo kubwa na muhimu katika jamii yao.

  • Iran kuishtaki Marekani kwa kutumia ushahidi wa Trump

    Iran kuishtaki Marekani kwa kutumia ushahidi wa Trump

    May 30, 2018 03:40

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inajiandaa kuishtaki Marekani kwa kushiriki kwa njia isiyo ya moja kwa moja katika mashambulizi ya kigaidi ya mwaka jana hapa nchini, kwa kutumia ushahidi wa Rais Donald Trump.

  • Salami: Iran katu haitasitisha ustawi wa makombora

    Salami: Iran katu haitasitisha ustawi wa makombora

    May 29, 2018 22:05

    Naibu Kamanda wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu, IRGC, Brigedia Jenerali Hussein Salami amepuuzilia mbali uwezekano wa Iran kufanya mazungumzo kuhusu kupunguza uwezo wake wa makombora.

  • India: Hatutafuata agizo la Marekani la kuiwekea vikwazo Iran

    India: Hatutafuata agizo la Marekani la kuiwekea vikwazo Iran

    May 29, 2018 03:12

    Waziri wa Mambo ya Nje wa India amesema kuwa, nchi yake haitofuata maagizo ya Marekani ya kuiwekea vikwazo Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Iran: Kamwe hatutorudi nyuma katika kuyaunga mkono mataifa yanayodhulumiwa

    Iran: Kamwe hatutorudi nyuma katika kuyaunga mkono mataifa yanayodhulumiwa

    May 28, 2018 21:09

    Mkuu wa Chombo cha Mahakama cha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, Tehran kamwe haitolezegeza kamba katika kulinda malengo yake matukufu na thamani zake za kimsingi ikiwa ni pamoja na kuwaunga mkono wanyonge na kufanikisha malengo yake mengine ya Kiistratijia.

  • Wimpel: Marekani ndio mdhamini mkuu wa kifedha wa makundi ya kigaidi duniani

    Wimpel: Marekani ndio mdhamini mkuu wa kifedha wa makundi ya kigaidi duniani

    May 28, 2018 00:07

    Mkuu wa Kituo cha Utafiti wa masuala ya Usalama wa Taifa nchini Russia (Wimpel) ameitaja Marekani kuwa mdhamini mkuu wa kifedha na uwekezaji kwa ajili ya makundi ya kigaidi na ya ukufurishaji duniani.

  • Mashirika ya bima yapinga kupatiwa silaha za moto walimu nchini Marekani

    Mashirika ya bima yapinga kupatiwa silaha za moto walimu nchini Marekani

    May 27, 2018 23:46

    Gazeti la Washington Post limeandika kuwa, mashirika ya bima nchini Marekani yamepinga pendekezo la kupatiwa silaha za moto walimu.

  • Zarif: Stratejia mpya za Trump zitafanya Marekani itengwe zaidi

    Zarif: Stratejia mpya za Trump zitafanya Marekani itengwe zaidi

    May 27, 2018 09:39

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema stratejia mpya zilizotangazwa hivi karibuni na Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani eti dhidi ya Tehran zitaifanya Washington itengwe zaidi kimataifa.

  • Seneta McCain akiri kuwa vita vya Iraq vilikuwa

    Seneta McCain akiri kuwa vita vya Iraq vilikuwa "kosa kubwa" ambalo lilifanywa na Marekani

    May 27, 2018 02:44

    John McCain, seneta mwenye misimamo mikali amekiri japo kwa kuchelewa kuwa Marekani ilifanya makosa kuanzisha vita vya kuivamia kijeshi Iraq mwaka 2003.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS