Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Wajerumani waandamana kupinga chokochoko za Marekani dhidi ya Korea Kaskazini

    Wajerumani waandamana kupinga chokochoko za Marekani dhidi ya Korea Kaskazini

    Nov 19, 2017 04:05

    Raia wa Ujerumani wameandamana katika mji mkuu wa nchi Berlin hiyo kulalamikia kuongezeka mivutano kati ya Marekani na Korea Kaskazini.

  • Askari wa US 'wapewa kibali' cha kuwabaka watoto wadogo nchini Afghanistan

    Askari wa US 'wapewa kibali' cha kuwabaka watoto wadogo nchini Afghanistan

    Nov 18, 2017 04:40

    Wanajeshi wa Marekani waliotumwa nchini Afghnistan walifahamishwa kuwa suala la vijana kubakwa hususan wa kiume wa nchi hiyo ni utamaduni unaokubalika.

  • Marekani yazuia mchango wa wahanga wa tetemeko la ardhi lililoua mamia Iran

    Marekani yazuia mchango wa wahanga wa tetemeko la ardhi lililoua mamia Iran

    Nov 16, 2017 12:26

    Wizara ya Fedha ya Marekani imezuia kufanyika mchango kwa ajili ya wahanga wa tetemeko la ardhi lililotokea katika mpaka wa Iran na Iraq na kusababisha maafa makubwa.

  • Bin Salman amshinikiza Abbas akubali mpango wa Trump wa mapatano na Israel

    Bin Salman amshinikiza Abbas akubali mpango wa Trump wa mapatano na Israel

    Nov 14, 2017 12:22

    Gazeti la Times la Uingereza limefichua kuwa, katika jitihada mpya za kutaka kubadili ramani ya kisiasa ya Mashariki ya Kati kwa maslahi ya Marekani na Israel, Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudi Arabia, Muhammad bin Salman anamshinikiza Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, Mahmoud Abbas ili akubaliane na mpango mpya wa eti amani ya Mashariki ya Kati uliobuniwa na timu ya Rais Donald Trump wa Marekani.

  • Iran: Ripoti mpya ya IAEA inakinzana na madai hewa ya Marekani kuhusu JCPOA

    Iran: Ripoti mpya ya IAEA inakinzana na madai hewa ya Marekani kuhusu JCPOA

    Nov 14, 2017 01:09

    Balozi wa Iran katika Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia (IAEA) amesema ripoti ya hivi punde ya wakala huo sanjari na kuthibitisha kuwa Tehran imefungamana na makubaliano ya nyuklia ya Vienna, lakini pia imekinzana na tuhuma zisizo na msingi zilizotolewa na Washington kuhusu mapatano hayo ya kimataifa.

  • Uchezaji kamari hatari wa Riyadh kwa kutumia turufu iliyopikuliwa ya Israel

    Uchezaji kamari hatari wa Riyadh kwa kutumia turufu iliyopikuliwa ya Israel

    Nov 13, 2017 23:32

    Kitendawili cha matukio ya eneo la Mashariki ya Kati kimeanza kutatuliwa pole pole baada ya kukaribia kukamilika utegaji wa kitendawili hicho.

  • Marekani yaua raia 16 kwa niaba ya ISIS mashariki mwa Syria

    Marekani yaua raia 16 kwa niaba ya ISIS mashariki mwa Syria

    Nov 13, 2017 00:47

    Kwa akali raia 16 wameuawa katika mashambulizi mapya ya anga yaliyofanywa na ndege za kivita za Marekani mashariki mwa Syria, siku chache baada ya wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) kutimuliwa katika eneo hilo.

  • Karzai: Marekani inashirikiana na ISIS (Daesh) nchini Afghanistan

    Karzai: Marekani inashirikiana na ISIS (Daesh) nchini Afghanistan

    Nov 12, 2017 10:11

    Rais wa zamani wa Afghanistan, Hamid Karzai amesema Marekani inafanya kazi bega kwa bega na kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) katika nchi hiyo inayoshuhudia vita na ukosefu wa uthabiti kwa miaka mingi sasa.

  • Gallup: UKiwango cha maisha ya Wamarekani kimeshuka sana mwaka huu

    Gallup: UKiwango cha maisha ya Wamarekani kimeshuka sana mwaka huu

    Nov 12, 2017 04:42

    Uchunguzi mpya uliofanywa na Taasisi ya Kimarekani ya Gallup unaonyesha kwamba, kiwango cha maisha ya Wamarekani kimeendelea kushuka mwaka huu wa 2017 na hivyo kuwafanya raia wa taifa hilo kuishi maisha magumu.

  • Russia: Uchunguzi ufanyike kuhusu shambulizi la anga la Marekani Kunduz, Afghanistan

    Russia: Uchunguzi ufanyike kuhusu shambulizi la anga la Marekani Kunduz, Afghanistan

    Nov 12, 2017 01:04

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imewataka maafisa wa serikali ya Afghanistan na taasisi za kimaraifa za kutetea haki za binadamu wafanye uchunguzi kamili na usiopendelea upande wowote kuhusu shambulizi la anga la Marekani katika mji wa Kunduz nchini Afghanistan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS