Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Marekani yazidi kufanya hali ya mambo Korea kuwa mbaya

    Marekani yazidi kufanya hali ya mambo Korea kuwa mbaya

    Oct 24, 2017 11:27

    Marekani imeendelea kufanya hali ya mambo katika eneo la Peninsula ya Korea kuwa mbaya na hivyo kuhatarisha usalama wa eneo hilo.

  • Dunford: Marekani imeazimia kujiimarisha zaidi kijeshi barani Afrika

    Dunford: Marekani imeazimia kujiimarisha zaidi kijeshi barani Afrika

    Oct 24, 2017 04:03

    Mkuu wa Jeshi la Marekani amesema kuwa, nchi yake ina nia ya kujiimarisha kabisa kijeshi barani Afrika.

  • Sudan: Mienendo ya Marekani inagongana na kupingana

    Sudan: Mienendo ya Marekani inagongana na kupingana

    Oct 21, 2017 13:30

    Serikali ya Sudan imeeleza masikitiko yake kwa hatua ya Marekani kuwataka raia wake kuchukua tahadhari kufanya safari ndani ya nchi hiyo ya Afrika na imesema kuwa, mienendo ya Washington ni yenye kupingana.

  • Zarif: Marekani inapasa kutekeleza makubaliano ya JCPOA

    Zarif: Marekani inapasa kutekeleza makubaliano ya JCPOA

    Oct 21, 2017 13:23

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa Marekani inapasa kufanya jitihada za kutekeleza majukumu yake kuhusu makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kama inavyofanya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Korea Kaskazini: Marekani ndio iliyoanzisha mchezo wa nyuklia, tutakabiliana nayo

    Korea Kaskazini: Marekani ndio iliyoanzisha mchezo wa nyuklia, tutakabiliana nayo

    Oct 21, 2017 12:57

    Afisa wa ngazi ya juu wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Korea Kaskazini amesema kuwa, Pyongyang itaendelea kujiimarisha zaidi kwa silaha za nyuklia kwa ajili ya kukabiliana na vitisho vya Marekani.

  • Kupanuka wigo wa uwepo wa wanajeshi wa Marekani barani Afrika na athari zake

    Kupanuka wigo wa uwepo wa wanajeshi wa Marekani barani Afrika na athari zake

    Oct 21, 2017 10:13

    Kuuliwa wanajeshi wanne wa Marekani nchini Niger kumezidi kutoa mguso juu ya suala la kuhalalishwa kuongezwa idadi ya wanajeshi wa Marekani barani humo.

  • Marekani yazidi kujikita kijeshi Afrika; idadi ya askari wake barani humo yaongezeka mara tatu

    Marekani yazidi kujikita kijeshi Afrika; idadi ya askari wake barani humo yaongezeka mara tatu

    Oct 21, 2017 04:18

    Gazeti la Kifaransa la Le Monde limeripoti kuwa Marekani imepanua wigo wa uingiliaji wake kijeshi katika nchi za Afrika kwa kuongeza idadi ya askari wake walioko kwenye nchi za bara hilo.

  • Marekani yakiri magaidi wanatumia silaha za kemikali Syria

    Marekani yakiri magaidi wanatumia silaha za kemikali Syria

    Oct 20, 2017 22:58

    Wizara ya Ulinzi ya Russia imetangaza kuwa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Marekani kwa mara ya kwanza imekiri kwamba, magaidi wanatumia silaha za kemikali huko Syria.

  • Bush akosoa siasa za kibaguzi za Donald Trump huko Marekani

    Bush akosoa siasa za kibaguzi za Donald Trump huko Marekani

    Oct 20, 2017 22:57

    Rais wa zamani wa Marekani George W. Bush amesema siasa za nchi hiyo hazipasi kujengeka kwenye msingi wa kujitenga, ubaguzi na urongo.

  • Marekani yakiri, Jabhatu Nusra imetumia silaha za kemikali nchini Syria

    Marekani yakiri, Jabhatu Nusra imetumia silaha za kemikali nchini Syria

    Oct 20, 2017 22:56

    Wizara ya Ulinzi ya Russia leo tarehe 20 Oktoba imetangaza kuwa, kwa mara ya kwanza kabisa Marekani imekiri kuwa kundi la kigaidi la Jabhatu Nusra limetumia silaha za kemikali dhidi ya raia wa Syria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS