Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Kulaaniwa siasa za Marekani na Israel katika marasimu ya kujibari na washirikina

    Kulaaniwa siasa za Marekani na Israel katika marasimu ya kujibari na washirikina

    Aug 31, 2017 09:15

    Mahujaji wa Kiirani wamelaani siasa za kupenda kujitanua za Marekani na utawala haramu wa Israel kupitia azimio lao walilolitoa mwishoni mwa marasimu ya kujibari na washirikina katika jangwa la Arafa.

  • Marekani yaendeleza ukatili wake, yaua raia 30 Afghanistan

    Marekani yaendeleza ukatili wake, yaua raia 30 Afghanistan

    Aug 30, 2017 22:22

    Makumi ya raia wameuawa katika shambulizi la anga lililofanywa na ndege ya kivita ya Marekani katika mkoa wa Logar, mashariki mwa Afghanistan.

  • Taasisi ya Gallup: Ubaguzi wa rangi Marekani umeongezeka sana, hasa kuwalenga weusi

    Taasisi ya Gallup: Ubaguzi wa rangi Marekani umeongezeka sana, hasa kuwalenga weusi

    Aug 29, 2017 22:42

    Uchunguzi wa maoni uliofanyika hivi karibuni nchini Marekani unaonyesha kwamba, uelewa wa wazungu walio wengi na watu wa matabaka ya walio wachache kuhusu suala la ubaguzi wa rangi, unatafuatiana sana.

  • 14 wauawa, kujeruhiwa katika shambulizi karibu na ubalozi wa US, Kabul

    14 wauawa, kujeruhiwa katika shambulizi karibu na ubalozi wa US, Kabul

    Aug 29, 2017 03:12

    Habari kutoka Afghanistan zinasema, kwa akali watu watano wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa kufuatia shambulizi la bomu lililotokea karibu na ubalozi wa Marekani mjini Kabul hii leo.

  • Trump; mchochezi wa ubaguzi wa rangi nchini Marekani

    Trump; mchochezi wa ubaguzi wa rangi nchini Marekani

    Aug 28, 2017 23:54

    Msimamo uliochukuliwa na rais wa Marekani, Donald Trump kuhusu machafuko ya hivi karibuni ya mjini Charlottesville huko Virginia na hatua yake ya kuwaunga mkono wabaguzi wa rangi walioshadidisha machafuko hayo unaendelea kulaaniwa na kulalamikiwa vikali ndani na hata nje ya Marekani.

  • Trump, rais anayechukiwa zaidi katika historia ya Marekani

    Trump, rais anayechukiwa zaidi katika historia ya Marekani

    Aug 26, 2017 10:56

    Rais Donald Trump wa Marekani ameshinda tuzo ya kuwa rais anayechukiwa zaidi katika historia ya nchi hiyo.

  • Radiamali kali ya Russia juu ya ongezeko la kuwepo kijeshi Marekani nchini Ukraine

    Radiamali kali ya Russia juu ya ongezeko la kuwepo kijeshi Marekani nchini Ukraine

    Aug 26, 2017 06:37

    Igor Morozev, afisa wa ngazi ya juu katika bunge la Russia ameonya kwamba, nchi yake itachukua hatua maalumu ikiwemo kuimarisha mipaka yake, ikiwa Marekani itapanua uwepo wake kijeshi nchini Ukraine.

  • Wanajeshi wa Marekani waua watoto 3 katika hujuma Somalia

    Wanajeshi wa Marekani waua watoto 3 katika hujuma Somalia

    Aug 26, 2017 03:21

    Raia wasiopungua 10, wakiwemo watoto watatu, wameuawa katika hujuma ya pamoja na Jeshi la Marekani na Jeshi la Somalia kusini mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Korea Kaskazini yavurumisha makombora ya balistiki

    Korea Kaskazini yavurumisha makombora ya balistiki

    Aug 26, 2017 02:31

    Korea Kaskazini imevurumisha makombora matatu ya masafa mafupi ya balistiki kuelekea pwani yake ya kaskazini.

  • Iran yaitaka Marekani iache kuingilia masuala ya magharibi mwa Asia

    Iran yaitaka Marekani iache kuingilia masuala ya magharibi mwa Asia

    Aug 24, 2017 23:54

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amekosoa vikali mikakati mipya ya Marekani nchini Pakistan na kuitaka Washington iache mara moja kuingilia masuala ya nchi nyingine.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS