-
Ufilipino yaitaka Marekani iache kuingiza silaha zake nchini humo
Jan 30, 2017 04:22Rais wa Ufilipino Rodrigo Duterte amesema Marekani inahatarisha usalama wa eneo kwa kuendelea kurundika silaha zake katika nchi hiyo.
-
Arab League, Iraq zalaani ubaguzi wa Trump dhidi ya Waislamu
Jan 30, 2017 04:02Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imeeleza wasi wasi wake mkubwa juu ya hatua ya Rais wa Marekani Donald Trump kupasisha sheria ya kuwazuia wakimbizi na raia wa nchi saba za Kiislamu kuingia Marekani.
-
Dunia yalaani hatua ya Trump kuwazuia Waislamu kuingia Marekani
Jan 29, 2017 10:15Hatua ya rais Donald Trump kuwazuia wahamiaji Waislamu kuingia nchini humo inaendelea kulaani na kukoslewa kote duniani na Marekani kwenywe.
-
Marekani wanachunguza kurasa za Facebook za wasafiri
Jan 30, 2017 01:11Maafisa wa idara ya uhamiaji nchini Marekani wanachunguza kursa za kijamii na hasa Facebook ya wasafiri ili kubaini misimamo yao ya kisiasa.
-
Ujerumani yakosoa sheria ya kibaguzi ya Marekani
Jan 30, 2017 01:10Kansela wa Ujerumani amekosoa hatua ya Rais wa Marekani Donald Trump kupasisha sheria ya kuwazuia wakimbizi na raia wa nchi saba za Kiislamu kuingia Marekani.
-
Jeshi la Iran: Marekani ilitaka kutushambulia 1991, 2001 bila mafanikio
Jan 30, 2017 01:08Kamanda wa Jeshi la Nchi Kavu la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, serikali ya Marekani ilitaka kuivamia nchi hii mwaka 1991 na 2001, lakini ikashindwa kutokana na kuwa macho na uwezo wa kujihami taifa hili.
-
Hujuma za Marekani nchini Yemen zaua watu zaidi ya 50
Jan 29, 2017 10:43Makumi ya watu wameuawa katika wimbi jipya la hujuma za ardhini na angani za makomandoo wa Marekani katika mkoa wa Bayda nchini Yemen.
-
Iran yamwita balozi wa Uswisi kulalamikia Marekani kuwapiga marufuku Waislamu
Jan 29, 2017 10:32Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imemuita Balozi wa Usiwis mjini Tehran na kumkabidhi malalamiko rasmi kufuatia hatua ya rais wa Marekani kupitisha sheria za kibaguzi za kuwazuia raia wa Iran na nchi zingine sita za Kiislamu kuingia nchini humo.
-
Spika Larijani: Marekani imesibiwa na hali ya kujihofu yenyewe
Jan 29, 2017 04:28Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran amesema hatua ya karibuni ya serikali mpya ya Marekani ya kufuta utoaji viza kwa raia wa Iran inadhihirisha udhaifu na uduni wa mitazamo na mwenendo wa viongozi wa serikali hiyo.
-
Jaji nchini Marekani azuia kutekelezwa amri ya Trump ya kuwarejesha makwao raia wa kigeni wenye viza
Jan 29, 2017 04:26Jaji wa Mahakama ya Federali nchini Marekani ametoa hukumu ya dharura ya kuzuia kurejeshwa makwao wasafiri wenye viza za kuingia nchini humo wanaozuiliwa kwenye viwanja vya ndege ili kutekeleza amri ya Rais Donald Trump wa nchi hiyo.