-
White House yakiri, Obama ameshindwa kufunga gereza la Guantanamo
Jan 18, 2017 23:26Ikulu ya Marekani White House imekiri kuwa Rais Barack Obama wa nchi hiyo ameshindwa kufunga gereza la kutisha la Guantanamo mwishoni mwa muhula wake huu wa pili kama alivyoahidi.
-
Zarif: Iran inapinga ushiriki wa Marekani katika mazungumzo ya Astana kuhusu Syria
Jan 18, 2017 03:54Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Muhammad Javad Zarif amesema kuwa, Tehran inapinga ushiriki wa Marekani katika mazungumzo ya stana, mji mkuu wa Kazakhstan kuhusiana na Syria.
-
Araqchi: Marekani na baadhi ya nchi zimekuwa zikikwamisha utekelezwaji wa JCPOA
Jan 15, 2017 11:02Naibu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita, Tehran imekuwa ikikabiliwa na ukiukwaji wa ahadi, kigugumizi, siasa za ucheleweshaji mambo na chuki za Marekani na baadhi ya nchi katika utekelezwaji wa makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).
-
Azikiwe: Kuondolewa Sudan vikwazo na US ni malipo kwa kushirikiana na Saudia
Jan 14, 2017 23:10Abayomi Azikiwe, mchambuzi wa masuala ya kisiasa na mwandishi wa habari wa kiafrika amesema kuwa, uamuzi wa serikali ya Marekani wa kuiondolea Sudan baadhi ya vikwazo ilivyokuwa imeiwekea ni malipo ya Khartoum baada ya kubadili msimamo wake kuhusu nchi za Magharibi na kuimarisha uhusiano wake na Saudi Arabia.
-
Human Rights Watch yataka kusitishwa uuzaji silaha kwa Saudi Arabia
Jan 14, 2017 23:07Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch limetoa ripoti likitaka kusimamishwa haraka iwezekanavyo uuzaji silaha kwa Saudi Arabia. Ripoti hiyo imebainisha kuwa utawala wa Saudia chini ya muungano wa kijeshi unaoungwa mkono na Marekani na Uingereza mwezi Machi mwaka juzi ulianzisha mashambulizi ya kijeshi huko Yemen na kuzishambulia kinyume cha sheria, nyumba, masoko, shule, viwanda na misikiti nchini humo.
-
Obama arefusha hali ya hatari kuhusu Iran
Jan 14, 2017 04:11Rais anayeondoka wa Marekani Barak Obama ametia saini sheria ya kuendelezwa sheria ya kitaifa ya hali ya hatari dhidi ya Iran.
-
HRW: Donald Trump ni tishio kwa haki za binadamu
Jan 13, 2017 04:40Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema kuchaguliwa Donald Trump kuwa Rais wa Marekani ni tishio lisilo na mfano kwa haki za binadamu.
-
Abbas amwandikia barua Trump akimuonya juu ya ubalozi wa Israel
Jan 10, 2017 04:43Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, Mahmoud Abbas amemwandikia barua Rais mteule wa Marekani Donald Trump na kumuonya juu ya taathira hasi za pendekezo lake la kuhamisha ubalozi wa Marekani kutoka Tel Aviv hadi Quds Tukufu.
-
Ukatili wa kutisha wa polisi wa Marekani dhidi ya mwanafunzi wa Kenya
Jan 08, 2017 04:47Kitendo cha ukatili kukiwemo kupigwa vikali na kutusiwa matusi machafu na polisi wa Marekani dhidi ya mwanafunzi mmoja mwenye uraia wa Kenya, kimemlazimu hakimu wa mahakama ya federali kutaka kuchunguzwa kitendo hicho.
-
Kuhamishiwa Quds ubalozi wa US, mstari mwekundu kwa Palestina
Jan 07, 2017 03:42Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, Mahmoud Abbas amemuonya Rais mteule wa Marekani Donald Trump kuhusu pendekezo lake la kuhamisha ubalozi wa Marekani kutoka Tel Aviv hadi Quds Tukufu.