Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Video: Mwanamke wa kwanza Muislamu kuvaa sare katika jeshi la polisi la Marekani azungumza

    Video: Mwanamke wa kwanza Muislamu kuvaa sare katika jeshi la polisi la Marekani azungumza

    Aug 27, 2016 07:52

    Afisa wa kwanza wa kike wa polisi wa Marekani, ameanza kazi katika jeshi hilo kwa kuvaa sare ya Hijabu katika mji wa Dearborn kwenye jimbo la Michigan.

  • Kisingizio cha Marekani cha kutaka kuwepo kijeshi Sudan Kusini

    Kisingizio cha Marekani cha kutaka kuwepo kijeshi Sudan Kusini

    Aug 25, 2016 09:38

    Marekani imedai kuwa kuwepo wanajeshi wake huko Sudan Kusini kutasaidia kuhitimisha machafuko ya kisaisa na mashambulizi ya wabeba silaha nchini humo.

  • Ripoti: Mashambulio ya anga yanayoongozwa na Marekani yameua zaidi ya watu 6,000 Syria

    Ripoti: Mashambulio ya anga yanayoongozwa na Marekani yameua zaidi ya watu 6,000 Syria

    Aug 24, 2016 23:48

    Mashambulio ya anga yaliyofanywa na kile kinachoitwa Muungano wa kupambana na Daesh unaoongozwa na Marekani yameua zaidi ya watu 6,000 nchini Syria tangu muungano huo ulipoanzisha operesheni zake hizo mwishoni mwa mwaka 2014.

  • Meya wa Gillette alaani kundi lenye chuki dhidi ya Uislamu kutaka kuchoma moto Qur'an

    Meya wa Gillette alaani kundi lenye chuki dhidi ya Uislamu kutaka kuchoma moto Qur'an

    Aug 23, 2016 23:45

    Meya wa mji wa Gillette katika jimbo la Wyoming nchini Marekani amelaani vikali mpango wa kundi moja lenye chuki dhidi ya dini ya Uislamu kutaka kuchoka moto kitabu kitukufu cha Qur'an katika moja ya maandamano mjini hapo.

  • Mamilioni ya dola zatumika kwenye kampeni za uchaguzi wa rais Marekani

    Mamilioni ya dola zatumika kwenye kampeni za uchaguzi wa rais Marekani

    Aug 21, 2016 11:02

    Vyombo vya habari vya Marekani vimefichua matumizi makubwa kupindukia ya fedha katika kampeni za uchaguzi wa rais wa nchi hiyo.

  • "Silaha za Marekani zinachochea ugaidi Mashariki ya Kati"

    Aug 18, 2016 09:51

    Mgombea wa urais kwa tiketi ya Chama cha Kijani nchini Marekani amesema kuna haja ya kuwekewa vikwazo vya silaha nchi zinazochochea machafuko na ugaidi katika eneo la Mashariki ya Kati na kusisitiza kuwa, Washington imechangia pakubwa hali ya mchafukoge na harakati za ugaidi katika nchi za eneo hilo.

  • Mashambulizi ya anga ya Marekani kaskazini mwa Libya yamegonga mwamba

    Mashambulizi ya anga ya Marekani kaskazini mwa Libya yamegonga mwamba

    Aug 17, 2016 03:31

    Mchambuzi mmoja wa masuala ya Libya ameeleza kuwa mashambulizi ya anga yanayofanywa na Marekani katika mji wa Sirte kaskazini mwa Libya kwa kisingizio cha kupambana na kundi la kigaidi la Daesh hayajazaa matunda.

  • Wafungwa 15 wa Guantanamo wahamishiwa Imarati

    Wafungwa 15 wa Guantanamo wahamishiwa Imarati

    Aug 16, 2016 23:28

    Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) imewahamisha wafungwa 15 wa jela ya kutisha ya Guantanamo na kuwapeleka katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), ukiwa ni uhamisho mkubwa zaidi wa wafungwa hao kufanywa na utawala wa Rais Barack Obama wa Marekani.

  • Imam na msaidizi wake wauawa kwa risasi New York, Marekani

    Imam na msaidizi wake wauawa kwa risasi New York, Marekani

    Aug 14, 2016 02:35

    Imam wa msikiti mmoja katika jimbo la New York nchini Marekani ameuawa kwa kufyatuliwa risasi katika mazingira ya kutatanisha.

  • Erdogan: Marekani ichague ima Fathullah Gulen au Uturuki

    Erdogan: Marekani ichague ima Fathullah Gulen au Uturuki

    Aug 11, 2016 08:57

    Katika kile kinachoonekana kuendelea kuingia doa uhusiano kati ya Ankara na Washington, Rais wa Uturuki ametoa machaguo mawili kwa Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS