Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Marekani inaendeleza uhasama dhidi ya Iran

    Marekani inaendeleza uhasama dhidi ya Iran

    Jun 07, 2016 10:00

    Naibu Waziri wa Uchumi wa Iran amesema msingi wa sera za serikali ya Marekani ni kuendeleza sera za uhasama dhidi ya Iran.

  • Ulaya yatofautiana na Marekani kuhusu kuwekewa vikwazo DRC

    Ulaya yatofautiana na Marekani kuhusu kuwekewa vikwazo DRC

    Jun 07, 2016 03:30

    Nchi za bara Ulaya zimetilia shaka hatua ya Marekani kushinikiza kuwekewa vikwazo Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kwa lengo la kumtaka Rais Joseph Kabila wa nchi hiyo asigombee urais kwa muhula wa tatu.

  • Waislamu wa Marekani waendeleza juhudi za kukabiliana na chuki dhidi ya Uislamu

    Waislamu wa Marekani waendeleza juhudi za kukabiliana na chuki dhidi ya Uislamu

    Jun 06, 2016 10:10

    Taasisi moja ya Kiislamu katika jimbo la New Mexico nchini Marekani imetangaza kupanua harakati zake kwa ajili ya kukabiliana na chuki dhidi ya dini hiyo ya mbinguni.

  • Jaberi Ansari: Madai ya Marekani dhidi ya Iran hayana itibari

    Jaberi Ansari: Madai ya Marekani dhidi ya Iran hayana itibari

    Jun 06, 2016 09:35

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ameitaja ripoti iliyotolewa na Marekani ambayo imeiweka Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika orodha ya nchi zinazoyaunga mkono makundi ya kigaidi kuwa isiyo na itibari.

  • 'Marekani ni muungaji mkono mkuu wa ugaidi Mashariki ya Kati na Dunia'

    'Marekani ni muungaji mkono mkuu wa ugaidi Mashariki ya Kati na Dunia'

    Jun 05, 2016 02:04

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema Marekani ndio muungaji mkono mkubwa zaidi wa magaidi wa kundi la ISIS au Daesh na makundi mengine ya kigaidi duniani.

  • Mwanandondi Muhammad Ali aaga dunia akiwa na miaka 74

    Mwanandondi Muhammad Ali aaga dunia akiwa na miaka 74

    Jun 04, 2016 03:31

    Bingwa wa ndondi raia wa Marekani mwenye asili ya Afrika, Muhammad Ali ameaga dunia akiwa na umri wa miaka 74.

  • Iran iko tayari kwa vita vya muda mrefu na Marekani

    Iran iko tayari kwa vita vya muda mrefu na Marekani

    Jun 04, 2016 00:08

    Kamanda mwandamizi wa kijeshi Iran amesema, Tehran iko tayari kwa vita vigumu na Marekani.

  • Nchi za Afrika zaiunga mkono China katika mzozo na Marekani

    Nchi za Afrika zaiunga mkono China katika mzozo na Marekani

    Jun 03, 2016 10:03

    Naibu mwenyekiti wa Umoja wa Afrika (AU) Erastus Mwencha ameunga mkono msimamo wa China katika suala la bahari ya kusini ya China na kutoa wito kwa nchi husika kutoa fursa ya kuanza mazungumzo kwa ajili ya kutatua suala hilo.

  • Msomali aliyefanya jinai za kivita anafanya kazi uwanja wa ndege Marekani

    Msomali aliyefanya jinai za kivita anafanya kazi uwanja wa ndege Marekani

    Jun 02, 2016 23:24

    Imearifiwa kuwa, mtuhumiwa wa jinai za kivita raia wa Somalia anafanya kazi katika uwanja wa ndege wa kimataifa katika mji wa Washington D.C nchini Marekani.

  • Maandamano ya kulaani uingiliaji wa Marekani wa mambo ya ndani ya Yemen

    Maandamano ya kulaani uingiliaji wa Marekani wa mambo ya ndani ya Yemen

    Jun 01, 2016 23:36

    Makumi ya wananchi wa Yemen wamefanya maandamano kaskazini magharibi mwa nchi hiyo kulaani uingiliaji wa Marekani katika masuala ya ndani ya nchi yao.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS