Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Matukio

  • Iran yazindua ‘Mji Mkubwa wa Makombora’ chini ya ardhi + Video

    Iran yazindua ‘Mji Mkubwa wa Makombora’ chini ya ardhi + Video

    Mar 26, 2025 11:12

    Kikosi cha Anga cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) kimezindua “mji mkubwa wa makombora" ulioko chinia ya ardhi, ukiwa ni moja kati ya vituo vyake vingi vya aina hiyo.

  • Maelfu waandamana Washington dhidi ya Trump kabla ya kuapishwa tena kuwa rais wa Marekani

    Maelfu waandamana Washington dhidi ya Trump kabla ya kuapishwa tena kuwa rais wa Marekani

    Jan 19, 2025 11:21

    Makumi ya maelfu ya Wamarekani wameandamana katika mji mkuu Washington dhidi ya rais mteule Donald Trump anayetazamiwa kuapishwa kesho Jumatatu.

  • AU yakabidhi kambi nyingine kwa Somalia katika awamu ya 3 ya kuondoka kijeshi

    AU yakabidhi kambi nyingine kwa Somalia katika awamu ya 3 ya kuondoka kijeshi

    Jun 17, 2024 10:49

    Kikosi cha Mpito cha Umoja wa Afrika (AU) nchini Somalia (ATMIS) kimetangaza kwamba kimekabidhi kambi ya kijeshi ya Barire kwa vikosi vya usalama vya Somalia ikiwa ni kuashiria kuanza awamu ya tatu ya kuondoa wanajeshi wake nchini humo.

  • Watu 21 wafariki dunia na kujeruhiwa baada ya basi la kanisa kuteketea kwa moto Zimbabwe

    Watu 21 wafariki dunia na kujeruhiwa baada ya basi la kanisa kuteketea kwa moto Zimbabwe

    Jun 17, 2024 10:47

    Takriban Wakristo saba wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Manicaland waliokuwa wanatoka katika ibada ya kanisa la Bernard Mzeki mjini Marondera wameteketea kwa moja katika ajali mbaya iliyotokea eneo la Gandanzara wilayani Makoni baada ya basi walilokuwa wakisafiria kuwaka moto ghafla.

  • Le Monde: Ususiaji waziathiri vibaya bidhaa za Marekani

    Le Monde: Ususiaji waziathiri vibaya bidhaa za Marekani

    Jun 14, 2024 13:29

    Gazeti la Le Monde la Ufaransa limeripoti kwamba makampuni ya Marekani yako katika kipindi kigumu hivi sasa kwa kususiwa bidhaa zao kutokana na uungaji mkono wao kwa Israel.

  • UNICEF yatoa mwito wa uwekezaji wa elimu kwa watoto Afrika 

    UNICEF yatoa mwito wa uwekezaji wa elimu kwa watoto Afrika 

    Jun 14, 2024 12:37

    Siku ya Mtoto wa Afrika inaadhimishwa kesho Jumapili. Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) limesema kuwa, uwekezaji mkubwa katika elimu ya msingi kwa watoto wa Afrika unahitajika ili kulisaidia bara hilo kutimiza ajenda yake ya muda mrefu ya ustawi na mabadiliko.

  • Ayatullah Khatami: Mirengo yote ina wagombea wao kwenye uchaguzi ujao wa Rais nchini Iran

    Ayatullah Khatami: Mirengo yote ina wagombea wao kwenye uchaguzi ujao wa Rais nchini Iran

    Jun 14, 2024 11:28

    Khatibu wa muda wa Sala ya Ijumaa ya hapa Tehran amesema kuwa, hivi sasa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeimarika mno kiasi kwamba mirengo yote ina wawakilishi wao katika uchaguzi ujao wa Rais humu nchini.

  • Chama kimoja cha siasa Malawi chataka UN kuchunguza ajali ya ndege iliyomuua Makamu wa Rais

    Chama kimoja cha siasa Malawi chataka UN kuchunguza ajali ya ndege iliyomuua Makamu wa Rais

    Jun 14, 2024 11:25

    Chama cha siasa cha Malawi Alliance for Democracy kimemwandikia barua Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres, kikiuomba umoja huo kuingilia kati uchunguzi kuhusu ajali ya ndege iliyotokea Jumatatu na kumuua Makamu wa Rais wa Malawi Saulos Chilima na wengine wanane.

  • Bajeti Afrika Mashariki: Wastaafu watabasamu Tanzania, Uganda kupambana na deni la taifa

    Bajeti Afrika Mashariki: Wastaafu watabasamu Tanzania, Uganda kupambana na deni la taifa

    Jun 14, 2024 04:06

    Mawaziri wa fedha wa Afrika Mashariki wamewasilisha mipango yao ya matumizi kwa mwaka wa fedha wa 2024/2025 huku pakiwa na mazingira magumu ya kiuchumi na kero kubwa la kupanda kwa madeni ya umma.

  • Kamati ya Umoja wa Mataifa: Israel imefanya maangamizi dhidi ya Wapalestina Ukanda wa Gaza

    Kamati ya Umoja wa Mataifa: Israel imefanya maangamizi dhidi ya Wapalestina Ukanda wa Gaza

    Jun 13, 2024 11:36

    Kamati ya kutafuta ukweli ya Umoja wa Mataifa imetangaza kuwa, utawala unaokalia kwa mabavu wa Quds umefanya "maangamizi" ya Wapalestina wakati wa vita dhidi ya Ukanda wa Gaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS