-
60 wauawa, kujeruhiwa katika mapigano ya makundi hasimu ya kigaidi Somalia
Jul 23, 2017 09:19Kwa akali watu 20 wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa baada ya makundi hasimu ya wanamgambo kutandikana yenyewe kwa yenyewe katikati mwa Somalia.
-
Wamisri 292 wafikishwa mahakamani kwa tuhuma ya kutaka kumuua al Sisi
Jul 10, 2017 01:34Watu 292 wa Misri wamefikishwa katika mahakama ya kijeshi ya nchi hiyo kwa tuhuma za kuwa na uhusiano na kundi la kigaidi la Daesh na kupanga njama ya kutaka kumuua Rais wa nchi hiyo, Abdul Fattah al Sisi.
-
Maandamano yafanyika Marekani baada ya kuuawa binti Muislamu
Jun 20, 2017 03:39Habari ya kuuawa msichana mmoja wa Kiislamu nchini Marekani katika shambulizi lililofanywa na mtu mwenye chuki dhidi ya dini ya Uislamu katika jimbo la Virginia imezusha malalamiko na maandamano nchini humo.
-
Mke wa Waziri Mkuu Mpya wa Lesotho auawa kwa kupigwa risasi
Jun 15, 2017 10:56Mke wa Tom Thabane, Waziri Mkuu Mpya wa Lesotho alipigwa risasi na mtu asiyejulikana jana jioni masaa machache baada ya mumewe kuapishwa, kitendo kilichozidisha wasiwasi kuhusu uwezekano wa kuibuka wimbi jipya la ghasia za kisiasa katika nchi hiyo ya kusini mwa Afrika.
-
Watu 12 wauawa na kujeruhiwa kwa risasi Florida, Marekani
Jun 05, 2017 23:00Watu 12 wameuawa na kujeruhiwa katika tukio la ufyatuaji risasi katika wilaya ya Orlando, jimboni Florida nchini Marekani.
-
ICC: Mauaji ya kutisha CAR lazima yakomeshwe
May 24, 2017 03:22Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC amelaani vikali mauaji ya kutisha yanayofanyika Jamhuri ya Afrika ya Kati huku ikitaka mapigano mapya yanayoendelea katika mji wa Bangassou, karibu na mpaka wa nchi hiyo ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo yasitishwe mara moja.
-
Makumi wauawa katika mapigano ya makundi hasimu Libya
May 19, 2017 03:00Makumi ya watu wameuawa baada ya vikosi tiifu kwa makundi hasimu ya kisiasa nchini Libya kukabiliana huko kusini mwa nchi.
-
Msalaba Mwekundu: Waliouawa CAR ni zaidi ya watu 115
May 17, 2017 09:15Wafanyakazi wa Shirika la Msalaba Mwekundu wamegundua miili 115 katika mji wa Bangassou, huko Jamhuri ya Afrika ya Kati, siku chache baada ya genge la waasi wa Kikristo la Anti-Balaka kuvamia mji huo.
-
Waziri auawa 'kimakosa' mjini Mogadishu, Somalia
May 04, 2017 03:07Waziri wa Ujenzi na Ukarabati wa Somalia ameuawa kwa kupigwa risasi kimakosa katika mji mkuu wa nchi hiyo, Mogadishu.
-
Raia 45 wauawa katika mapigano Jamhuri ya Afrika ya Kati
May 02, 2017 12:09Magenge ya waasi wanaobeba silaha katika Jamhuri ya Afrika ya Kati yameua makumi ya raia nchini humo katika kipindi cha miezi mitatu iliyopita.