-
Al Sisi aanza mikakati ya kurefusha kipindi cha urais Misri
Aug 06, 2018 21:49Rais Abdul Fattah al Sisi wa Misri ameanzisha mikakati ya kurefusha kipindi cha rais wa nchi hiyo kutoka vipindi viwili hadi vitatu.
-
Wanamgambo 52 wauawa Sinai Misri
Aug 05, 2018 11:11Jeshi la Misri limetangaza kuwa limefanikiwa kuua wanamgambo 52 katika siku za hivi karibuni kwenye eneo la kaskazini mwa Rasi ya Sinai.
-
Gazeti la Al-Ahram: Siku zote Trump anaibua mgogoro duniani
Aug 03, 2018 02:52Gazeti la Al-Ahram la nchini Misri limeashiria siasa za Rais Donald Trump wa Marekani duniani kwa kuandika kuwa, daima Trump anazusha migogoro duniani.
-
Askari wa Misri waliotekwa nyara Libya wakombolewa
Jul 31, 2018 09:15Maafisa usalama wa Sudan wametangaza kuwa wanajeshi wa Misri waliokuwa wametekwa nyara katika mpaka wa kusini mwa Libya wamekombolewa.
-
Misri yatoa hukumu ya kunyongwa wafuasi 75 wa Ikhwanul Muslimin
Jul 28, 2018 09:36Mahakama ya Misri leo imetoa hukumu ya kunyongwa wafuasi 75 wa chama cha Ikhwanul Muslimin na sasa hukumu hiyo inasubiri idhini ya mufti wa nchi hiyo kabla ya kutekelezwa.
-
Rais wa Misri asaini sheria inayowapa kinga majenerali wa jeshi
Jul 27, 2018 03:16Rais Abdul Fattah al-Sisi wa Misri ameidhinisha sheria inayowapa kinga ya kufikishwa mahakamani majenerali wa jeshi wanaohusishwa na machafuko yaliyotokea baada ya mapinduzi ya Rais wa kwanza kuchaguliwa kwa njia za kidemokrasia nchini humo; siku 10 baada ya Bunge la nchi hiyo kupasisha kwa kishindo muswada wa sheria hiyo.
-
Magaidi 13 waangamizwa na polisi ya Misri Peninsula ya Sinai
Jul 26, 2018 02:01Jeshi la Polisi la Misri limetangaza habari ya kuua wanachama 13 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) katika eneo la Sinai, kaskazini mwa nchi.
-
Kituo cha Fatwa Misri: Kuna ushahidi kwamba Israel inawasaidia magaidi wa Daesh
Jul 25, 2018 08:42Kituo cha fatwa nchini Misri kimetangaza kwamba, kuna ushahidi madhubuti kwamba utawala haramu wa Israel unalisaidia kundi la kigaidi la Daesh na makundi mengine ya Kiwahabi yanayohusika na machafuko nchini Syria.
-
Bunge la Misri lapasisha sheria inayowapa kinga majenerali wa jeshi
Jul 16, 2018 22:25Bunge la Misri Jumatatu ya jana lilipasisha sheria inayowapa kinga ya kufikishwa mahakamani majenerali wa jeshi wanaohusishwa na machafuko yaliyotokea baada ya mapinduzi ya Rais wa kwanza kuchaguliwa kwa njia za kidemokrasia nchini humo. Maelfu ya raia wa Misri walimiminika mitaani kupinga mapinduzi ya jeshi yaliyomuondoa madarakani Mohamed Mursi.
-
Jeshi la Misri laangamiza magaidi 11 Peninsula ya Sinai
Jul 11, 2018 09:03Jeshi la Misri limetangaza habari ya kuua wanachama 11 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) katika eneo la Sinai, kaskazini mwa nchi.