-
Mivutano katika uhusiano wa Misri na Saudia
Oct 12, 2016 12:00Inavyoonesha, mgogoro wa Syria utaifanya fungate ya ndoa ya uhusiano wa Misri na Saudi Arabia imalizike kabla ya muda uliotarajiwa.
-
Wanajeshi wa Russia kurejea katika kambi ya Umoja wa Kisovieti nchini Misri
Oct 10, 2016 10:29Baadhi ya duru za habari zimetangaza kuwa Moscow na Cairo zinafanya mazungumzo ili wanajeshi wa Russia warejee katika kambi iliyobaki katika zama za Umoja wa Kisoviet huko Misri.
-
Misri yaanza kusikiliza kesi kuhusu visiwa vya Sanafir na Tiran
Oct 09, 2016 04:24Mahakama moja nchini Misri imeanza kusikiliza rufaa ya serikali ya Cairo ya kupinga uamuzi wa mahakama ya chini ya nchi hiyo wa kutaka Saudi Arabia ipokonywe visiwa vya kistratajia vya Tifan na Sanafir, milki ya nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.
-
Misri yachukizwa na tahadhari iliyotolewa na Marekani
Oct 09, 2016 01:14Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Misri imekosoa vikali tahadhari ya kiusalama iliyotolewa na Marekani kwa raia wake wanaoishi katika nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Mazungumzo ya Marais wa Misri na Sudan
Oct 07, 2016 02:30Misri na Sudan ni nchi mbili jirani zenye mivutano katika masuala mbalimbali. Mivutano hiyo imewafanya viongozi wa nchi hizo kukutana na kutiliana saini hati ya ushirikiano wa kiistratijia kama juhudi za kupunguza mivutano hiyo.
-
Mufti wa Misri awaambia Wamagharibi: Daesh si "Dola la Kiislamu"
Oct 06, 2016 12:17Mufti wa Misri amevitaka vyombo vya habari vya nchi za Magharibi viache kutumia neno "Dola la Kiislamu" kuliarifisha kundi la kigaidi la Daesh.
-
Wafungwa wa kisiasa 2500 wagoma kula huko Misri
Oct 03, 2016 10:29Wafungwa 2500 wa kisiasa nchini Misri wamegoma kula chakula na dawa wakilalamikia hali mbaya katika jela walipofungwa.
-
Magaidi 12 wauawa Sinai Kaskazini nchini Misri
Oct 03, 2016 03:57Duru moja ya kijeshi ya Misri imetangaza habari ya kuuawa magaidi 12 katika mapigano yaliyozuka Sinai Kaskazini kati ya jeshi la nchi hiyo na magaidi hao.
-
Cyprus yakubali kumrejesha Misri mtekaji nyara wa ndege ya EgyptAir
Oct 01, 2016 00:52Mahakam moja nchini Cyprus imetoa hukumu ya kurejeshwa Misri raia mmoja wa nchi hiyo aliyeiteka nyara ndege ya shirika la EgyptAir mwanzoni mwa mwaka huu.
-
Kushtadi mateso dhidi ya wafungwa wa kisiasa Misri
Sep 29, 2016 04:33Watetezi wa haki za binadamu jana walibainisha wasiwasi wao katika ripoti waliyotoa kuhusu hali mbaya waliyonayo wafungwa wa kisiasa huko Misri, khususan wale waliopo katika jela ya Aqrab huko Cairo mji mkuu wa nchi hiyo.