-
HRW yaitaka Misri ichunguze mauaji ya mamia ya watu 2013
Aug 15, 2016 03:36Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limelitaka bunge la Misri lianzishe uchunguzi huru na usioegemea upande wowote juu ya mauaji ya mamia ya waandamanaji mnamo Julai mwaka 2013.
-
Bunge la Misri limewazuia polisi kutoa taarifa kwa vyombo vya habari
Aug 10, 2016 03:02Bunge la Misri Jumanne wiki hii limeidhinisha marekebisho ya sheria yanayowazuia askari polisi wa nchi hiyo kutoa taarifa kwa vyombo vya habari.
-
Rais al Sisi atetea kuongezwa bajeti ya jeshi Misri
Aug 07, 2016 22:18Rais Abdel Fattah al Sisi wa Misri ametetea kuongezwa bajeti ya vikosi vya jeshi la nchi hiyo.
-
Mufti Mkuu wa zamani wa Misri anusurika jaribio la mauaji
Aug 05, 2016 09:27Vyombo vya usalama nchini Misri vimesema Mufti Mkuu wa zamani wa Misri na mwanachuoni mkubwa wa nchi hiyo ambaye amekuwa akikosoa makundi ya kigaidi na kitakfiri ameponea chupuchupu kuuawa katika jaribio la mauaji dhidi yake hii leo.
-
11 wauawa na kujeruhiwa katika shambulizi la kigaidi Misri
Aug 06, 2016 03:20Watu wanne wameuawa na wengine saba kujeruhiwa katika hujuma inayoaminika kuwa ya ulipizaji kisasi katika Peninsula ya Sinai nchini Misri.
-
Hatima ya TV za Ikhwanul Muslimin nchini Uturuki haijulikani
Jul 16, 2016 23:37Vyombo vya habari vya Misri vimetangaza kuwa, hatima ya televisheni za kundi la Ikhwanul Muslimin zilizokuwa zinarusha matangazo yake nchini Uturuki, haijulikani.
-
Iran yamuita balozi wa Misri baada ya wabunge wa nchi hiyo kushiriki kikao cha magaidi wa MKO
Jul 14, 2016 11:23Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran imemuita Balozi wa Misri mjini Tehran kulalamikia hatua ya wabunge wa nchi hiyo ya kushiriki katika mkutano wa kundi la kigaidi la Munafikina (MKO) uliofanyika Paris mji mkuu wa Ufaransa, hivi karibuni.
-
Amnesty: Mamia wametoweka mikononi mwa vyombo vya usalama Misri
Jul 13, 2016 13:59Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeeleza wasiwasi wake juu ya wimbi la kutoweka mamia ya watu wakiwa mikononi mwa vyombo vya usalama nchini Misri tangu mapema mwaka jana.
-
Misri yalalamikia hatua ya Italia ya kukata ushirikiano wake na Cairo
Jul 07, 2016 02:53Wizara ya Mambo ya Nje ya Misri imeelezea kusikitishwa kwake na hatua ya Italia ya kusimamisha ushirikiano wake na Cairo.
-
Miili mingine ya walioaga dunia katika ajali ya EgyptAir yapatikana
Jul 04, 2016 02:52Mabaki mengine ya viwiliwili vya watu waliofariki dunia kwenye ajali ya ndege ya abiria ya shirika la ndege la EgyptAir la Misri yamepatikana katika Bahari ya Mediterania.