Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Nchi zisizo za Kiislamu zatakiwa kuheshimu haki za Waislamu

    Nchi zisizo za Kiislamu zatakiwa kuheshimu haki za Waislamu

    Jul 03, 2016 08:51

    Mshauri iwa Rais wa Misri amesema kuwa upo ulazima kwa nchi zisizo za Kiislamu kuheshimu haki za Waislamu.

  • Askari 6 wa Misri wauawa katika mpaka na Libya

    Askari 6 wa Misri wauawa katika mpaka na Libya

    Jul 01, 2016 03:34

    Habari kutoka Cairo, mji mkuu wa Misri zinasema kuwa, kwa akali skari 6 wa jeshi la nchi hiyo wameuawa kwenye makabiliano na kundi la watu wanaofanya magendo ya silaha na mihadarati katika mpaka wa nchi hiyo na Libya.

  • Misri yafungua tena kivuko cha Rafah kwa muda

    Misri yafungua tena kivuko cha Rafah kwa muda

    Jun 29, 2016 09:12

    Misri imefungua tena kivuko cha Rafah, njia pekee inayotumiwa kufikishia misaada ya dharura kwa Wapalestina karibu milioni mbili walio chini ya mzingiro huko Ukanda Gaza tangu mwaka 2007 na kusema kuwa eneo hilo la mpakani litasalia wazi hadi Julai 4.

  • Frontex: Wakimbizi wanazidi kumiminika Ulaya kupitia Misri

    Frontex: Wakimbizi wanazidi kumiminika Ulaya kupitia Misri

    Jun 28, 2016 23:57

    Shirika la Frontex limeripoti kuwa, lina wasiwasi kuhusu ongezeko kubwa la wakimbizi kuingia barani Ulaya kwa kupitia Misri na kwamba wakimbizi hao wanakabiliwa na hatari ya kifo baharini.

  • Angola, Misri kuishawishi UN kuziondolea vikwazo CAR na S/Kusini

    Angola, Misri kuishawishi UN kuziondolea vikwazo CAR na S/Kusini

    Jun 21, 2016 23:34

    Angola na Misri zimesema zitazishawishi nchi wanachama wasio wa kudumu wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa zikubali wazo la kuondolewa vikwazo Jamhuri ya Afrika ya Kati na Sudan Kusini.

  • Mahakama Misri yabatilisha kukabidhiwa Saudia visiwa viwili muhimu

    Mahakama Misri yabatilisha kukabidhiwa Saudia visiwa viwili muhimu

    Jun 21, 2016 10:25

    Mahakama moja nchini Misri imetengua hatua ya serikali ya Rais Abdulfattah al-Sisi wa nchi hiyo ya kuipatia Saudi Arabia visiwa viwili vya kistratejia vya nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Jumuiya ya Haki za Binadamu ya Kiarabu yaituhumu Misri kuwa inakiuka haki za wapinzani

    Jumuiya ya Haki za Binadamu ya Kiarabu yaituhumu Misri kuwa inakiuka haki za wapinzani

    Jun 20, 2016 08:59

    Ripoti iliyotolewa na Jumuiya ya Haki za Binadamu ya Kiarabu imetangaza kuwa hadi sasa Mahakama za Misri zimewahukumu kifo wapinzani 734 wa serikali ya Cairo.

  •  Kiongozi wa Ikhwanul Muslimin Misri ahukumiwa kifungo cha maisha jela

    Kiongozi wa Ikhwanul Muslimin Misri ahukumiwa kifungo cha maisha jela

    May 30, 2016 11:12

    Mahakama ya Misri imemhukumu kifungo cha maisha jela kiongozi wa harakati ya Ikhwanul Muslimin ya nchini humo na kuwahukumu vifungo tofauti jela wanachama wengine wa harakati hiyo iliyopigwa marufuku baada ya kupatikana na hatia ya kuhusika na maandamano yaliyofanywa baada ya kupinduliwa Rais halali wa nchi hiyo Mohamed Morsi.

  • Polisi watatu watiwa mbaroni nchini Misri

    Polisi watatu watiwa mbaroni nchini Misri

    May 30, 2016 00:05

    Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Misri ametoa amri ya kutiwa mbaroni maafisa watatu wa jeshi la polisi la nchi hiyio kwa tuhuma za kumtesa na kumpiga vibaya raia mmoja wa nchi hiyo.

  • Israel, Misri, UAE na Jordan zapanga kumtimua Rais wa Palestina

    Israel, Misri, UAE na Jordan zapanga kumtimua Rais wa Palestina

    May 29, 2016 23:56

    Utawala wa Kizayuni wa Israel na waitifaki wake ikiwemo Misri, Umoja wa Falme za Kiarabu na Jordan zinapanga njama ya kumuondoa madarakani Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina Mahmoud Abbas.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS