-
Qassemi: Iwapo Marekani itajitoa katika JCPOA, itapata pigo kubwa
May 07, 2018 15:29Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, iwapo Marekani itajitoa katika mapatano ya nyuklia yanayojulikana kwa kifupi kama JCPOA, basi madhara yake yataikumba Washington yenyewe kabla ya upande mwingine wowote.
-
Iran: Madai ya Morocco kuwa tunaiunga mkono Polisario hayana msingi
May 02, 2018 15:24Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekadhibisha vikali madai yaliyotolewa na serikali ya Morocco kwamba Tehran inawapatia misaada wapiganaji wa harakati ya Polisario inayopigania kujitenga eneo la Sahara Magharibi.
-
Serikali ya Morocco yatoa sharti kwa POLISARIO la mazungumzo kwa ajili ya Sahara Magharibi
Apr 28, 2018 16:12Mwakilishi wa Morocco katika Umoja wa Mataifa amesema Harakati ya Ukombozi wa Sahara Magharibi POLISARIO itaweza kushiriki kwenye mazungumzo na mchakato wa kisiasa kwa sharti kwamba iondoke kwenye eneo la uzio wa Sahara Magharibi.
-
Morocco yaondoa ndege zake za kivita katika muungano wa Saudia dhidi ya Yemen
Apr 16, 2018 04:11Morocco inapanga kuondoa ndege zake za kivita zilizoko katika muungano wa Saudi Arabia ambao umekuwa ukiihujumu Yemen kwa zaidi ya miaka mitatu sasa.
-
Spika wa Bunge la Morocco alaani ukatili wa Israel Ukanda wa Gaza
Apr 06, 2018 04:35Spika wa Bunge la Morocco amesema kuwa vitendo vya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina ni ukiukaji wa sheria za kimataifa.
-
Morocco yaitaka UN na Algeria kubeba dhima ya harakati za Polisario
Apr 05, 2018 07:36Waziri wa Mambo ya Nje wa Morocco ameutaka Umoja wa Mataifa na taifa la Algeria kubeba dhima ya mashambulizi ya Harakati ya Kupigania Ukombozi wa Sahara Magharibi Polisario.
-
Morocco kuimarisha ulinzi mipakani kukabiliana na magendo ya binadamu na ugaidi
Feb 18, 2018 15:56Vyombo vya habari vya nchini Morocco vimetangaza kuwa, Rabat ina nia ya kuanzisha vituo 10 vipya vya kusimamia na kudhibiti maeneo ya mpakani mwa nchi hiyo na Algeria.
-
Makumi ya miili ya wahajiri yapatikana katika pwani ya Morocco
Feb 04, 2018 16:35Serikali ya Uhispania imetangaza habari ya kupatikana kwa makumi ya maiti za wahajiri katika maji ya pwani ya Morocco.
-
Mpango wa kuwarejesha nyumbani wahajiri wa Morocco kutoka Libya kutekelezwa
Dec 17, 2017 14:22Wahajiri 236 raia wa Morocco wiki ijayo wataanza kurejea nchini kwao.
-
Afrika Kusini na Morocco kuhuisha uhusiano wao wa kidiplomasia
Dec 03, 2017 14:33Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini amesema nchi hiyo itafufua uhusiano wa kidiplomasia na Morocco, baada ya kupita zaidi ya muongo mmoja tangu nchi hiyo ya Kiarabu imuondoe balozi wake mjini Pretoria.