-
Hizbullah: Marekani haijapata natija yoyote katika mapambano yake dhidi ya muqawama
Jul 27, 2019 23:56Naibu Mkuu wa Baraza la Utendaji katika Harakati ya Hizbullah nchini Lebanon amesisitiza kwamba mashinikizo ya kiuchumi ya Marekani dhidi ya muqawama, yalikuwa na lengo la kufanya muqawama huo uachane na majukumu yake ya kuilinda Lebanon.
-
Sayyid Hassan Nasrullah: Jihadi ya Ujenzi ni sehemu ya muqawama
Jul 27, 2019 02:47Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon Hizbullah amesema kuwa Jihad ya Ujenzi ni moja ya taasisi kongwe zaidi nchini Lebanon ambayo mbali na kutoa huduma za kiuchumi kwa wananchi wa Lebanon, jihadi hiyo inajishughulisha na kuondoa masalia ya mashambulio ya utawala wa Kizayuni nchini humo.
-
Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu; 'Muqawama (ukakamavu)', siri ya ushindi dhidi ya adui
Jun 05, 2019 22:01Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amewaambia viongozi na wananchi wa Iran kutohadaika na ujanja wa kisiasa wa rais wa Marekani.
-
Rouhani: Iran itaendelea na muqawama wake hadi Marekani irejee katika mkondo sahihi
Jun 03, 2019 02:40Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu itaendelea kufungamana na sera yake ya muqawama hadi pale Marekani itakaporejea katika mkondo ulio sahihi na ikiri kuwa ilikuwa imefuata mkondo mbaya.
-
Njia pekee ya taifa la Iran kukabiliana na adui ni kusimama kidete
May 13, 2019 10:55Mkuu wa Vyombo vya Mahakama vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa: "Njia pekee ya kukabiliana na shari, fitina, vita vya kiuchumi, kisaikalojia na kisiasa vya adui ni muqawama na kusimama kidete taifa la Iran.
-
Wapalestina waishukuru Iran kwa kuinua uwezo wa kijeshi wa muqawama
May 09, 2019 00:01Msemaji Rasmi wa Brigedi ya Quds, Tawi la Kijeshi la Harakati ya Jihadul-Islami ya Palestina amesema kuwa utumiwaji wa makombora aina ya Badr 3, unaonyesha ustawi wa uwezo katika sekta ya kijeshi ya muqawama wa Palestina.
-
Utawala wa Kizayuni wakiri kufeli ngao yake ya makombora mbele ya mashambulizi ya muqawama wa Palestina
May 06, 2019 23:43Vyombo vya habari vya utawala haramu wa Israel vimekiri kushindwa ngao ya makombora inayoitwa 'Kuba la Chuma' ya utawala huo mbele ya mashambulizi ya makundi ya muqawama wa Palestina.
-
Hizbullah: Utawala haramu wa Israel ndio chimbuko kuu la ugaidi duniani
Apr 19, 2019 23:54Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah nchini lebanon, Sheikh Naim Qassem amesema kuwa, utawala haramu wa Kizayuni wa Israel ndio chanzo kikuu cha ugaidi na uharibifu katika eneo la Asia Magharibi na duniani kwa ujumla.
-
Sheikh Naim Qassim: Marekani haina ubavu wa kukabiliana na mhimili wa muqawama
Apr 15, 2019 10:12Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa, Marekani inataka kuupigisha magoti mhimili wa muqawama na kuufanya usalimu amri kupitia vikwazo vya kiuchumi, lakini inajidanganya kwani wananchi wa Lebanon katu hawatasalimu amri na muqawama utaendelea.
-
Hizbulllah: Njia pekee ya kuisambaratisha mipango ya Marekani ni muqawanma
Mar 16, 2019 11:32Sheikh Ali Damush, mjumbe wa ngazi za juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, njia pekee ya kusambaratisha mipango ya Marekani katika eneo la Mashariki ya Kati ni kuendeleza muqawama.