Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Myanmar

  • Waislamu 300,000 watazamiwa kukimbia mauaji nchini Myanmar

    Waislamu 300,000 watazamiwa kukimbia mauaji nchini Myanmar

    Sep 07, 2017 03:11

    Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuwa Waislamu zaidi ya 300,000 wanatazamiwa kukimbia mauaji na dhulma wanazotendewa nchini Myanmar na kuelekea katika nchi jirani ya Bangladesh.

  • Iran: Mataifa yote yanapaswa kuzuia kutokea maafa ya kibinadamu Myanmar

    Iran: Mataifa yote yanapaswa kuzuia kutokea maafa ya kibinadamu Myanmar

    Sep 07, 2017 00:08

    Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa ameelezea wasiwasi mkubwa alionao kutokana na hali mbaya na ya kusikitisha wanayokabiliwa nayo Waislamu wa Myanmar na kuelezea juu ya kuundwa kundi ma mawasiliano la nchi za Kiislamu katika siku za usoni.

  • Larijani: Tume ya kutafuta ukweli ya UN ichunguze hali ya Myanmar

    Larijani: Tume ya kutafuta ukweli ya UN ichunguze hali ya Myanmar

    Sep 06, 2017 23:51

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran amelaani mauaji ya Waislamu wa Myanmar na kutaka ujumbe wa kutafuta ukweli wa Umoja wa Mataifa utumwe haraka nchini humo kuchunguza hali ya mambo na utumaji misaada ya kibinadamu.

  • ISESCO yataka Aung San Suu Kyi anyang'anywe tuzo ya Nobel, Waislamu waendelea kuuawa Myanmar

    ISESCO yataka Aung San Suu Kyi anyang'anywe tuzo ya Nobel, Waislamu waendelea kuuawa Myanmar

    Sep 06, 2017 07:42

    Shirika la Elimu, Sayansi na Utamasdu la Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (ISESCO) limetangaza kuwa, Mshauri Mkuu wa Serikali ya Myanmar, Aung San Suu Kyi anapaswa kunyang'anywa Tuzo ya Amani ya Nobel kutokana na mauaji ya kutisha yanayoendelea kufanyika nchini humo dhidi ya Waislamu.

  • Myanmar yatega mabomu ardhini katika mpaka na Bangladesh kuwazuia Waislamu kuondoka

    Myanmar yatega mabomu ardhini katika mpaka na Bangladesh kuwazuia Waislamu kuondoka

    Sep 06, 2017 03:27

    Inaarifiwa kuwa serikali ya Myanmar inatega mabomu ya ardhini katika mpaka wa nchi hiyo na Bangladesh ili kuwazuia Waislamu wa kabila la Rohingya kuondoka nchini humo.

  • BHRN: Sio Waislamu wa Rakhine tu wanaouawa Myanmar

    BHRN: Sio Waislamu wa Rakhine tu wanaouawa Myanmar

    Sep 05, 2017 23:19

    Shirika moja la kutetea haki za binadamu nchini Myanmar limetoa ripoti iliyofichua kuwa Waislamu katika maeneo yote ya nchi hiyo wanauawa na kuhujumiwa na wanajeshi wa nchi hiyo na sio wa kabila la Rohingya tu katika mkoa wa Rakhine.

  • Kuendelea jinai dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini Myanmar

    Kuendelea jinai dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini Myanmar

    Sep 04, 2017 22:04

    Idadi kadhaa ya Waislamu wa jamii ya Rohingya wamefariki dunia katika Mto Naf katika mpaka wa Myanmar na Bangladesh walipokuwa wakikimbia ukandamizaji unaofanywa na wanajeshi wa serikali ya nchi hiyo dhidi ya jamii hiyo.

  • Daily Telegraph: Jeshi la Myanmar linawaua kwa umati Waislamu wa Rohingya

    Daily Telegraph: Jeshi la Myanmar linawaua kwa umati Waislamu wa Rohingya

    Sep 03, 2017 09:20

    Gazeti la Daily Telegraph la nchini Uingereza limeandika katika ripoti yake kwamba, jeshi la Myanmar limekuwa likifanya mauaji ya umati dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya.

  • Erdogan: Mauaji ya Waislamu wa Warohingya ni ya kimbari

    Erdogan: Mauaji ya Waislamu wa Warohingya ni ya kimbari

    Sep 02, 2017 03:12

    Rais wa Uturuki Recep Teyyip Erdogan ameyataja mauaji ya mamia ya Waislamu wa kabila la Rohingya huko Myanmar kama mauaji ya kimbari.

  • Waislamu 400 wafariki dunia Myanmar katika kipindi cha wiki moja

    Waislamu 400 wafariki dunia Myanmar katika kipindi cha wiki moja

    Sep 01, 2017 11:12

    Waislamu takribani 400 wamefariki dunia nchini Myanmar katika kipindi cha wiki moja tokea jeshi la nchi hiyo lianzishe kampeni mpya ya kuwakandamiza Waisalmu wa jamii ya Rohingya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS