Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

nchi za Magharibi

  • Nchi za Magharibi zina nafasi gani katika kuongezeka ugaidi Afrika? 

    Nchi za Magharibi zina nafasi gani katika kuongezeka ugaidi Afrika? 

    Jan 23, 2025 02:48

    Kuongezeka kwa shughuli za kigaidi katika maeneo mbalimbali ya Afrika kumegeuka kuwa tatizo kubwa katika bara hilo na pia katika mataifa mengi duniani. Hivi sasa, makundi kadhaa ya kigaidi yanaendesha shughuli zao katika maeneo tofauti ya Afrika.

  • Rais wa Iran akosoa uungaji mkono wa US, EU kwa jinai za Israel

    Rais wa Iran akosoa uungaji mkono wa US, EU kwa jinai za Israel

    Oct 08, 2024 12:00

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezikosoa vikali Marekani na nchi za Ulaya kwa kuunga mkono jinai zinazofanywa na utawala khabithi wa Israel.

  • Onyo la Iran kwa waungaji mkono wa Israel; Kaeni mbali na vita

    Onyo la Iran kwa waungaji mkono wa Israel; Kaeni mbali na vita

    Oct 04, 2024 07:52

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amezionya nchi za Magharibi na waungaji mkono wengine wa Israel katika eneo dhidi ya kuingilia mzozo kati ya Jamhuri ya Kiislamu na utawala wa Kizayuni.

  • Bin Salman ahofia kuuawa kwa kufuatilia mpango wa kuanzishwa uhusiano rasmi kati ya Saudia na Israel

    Bin Salman ahofia kuuawa kwa kufuatilia mpango wa kuanzishwa uhusiano rasmi kati ya Saudia na Israel

    Aug 15, 2024 03:45

    Mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia Mohammed bin Salman ameripotiwa kuwa anahofia "kuuawa" kwa sababu ya juhudi zake za kutaka kuhakikisha ufalme huo unaanzisha uhusiano rasmi na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Iran: Nchi za Magharibi zimepoteza utu na heshima katika vita vya Gaza

    Iran: Nchi za Magharibi zimepoteza utu na heshima katika vita vya Gaza

    Aug 06, 2024 13:20

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amesema kuwa, nchi za Magharibi zimepoteza utu na heshima yao katika vita dhidi ya watu wa Ukanda wa Gaza na zimekumbwa na mmomonyoko wa kimaadili na mporomoko wa ustaarabu.

  • Raisi: Mkono wa chuma hauwezi kuzima harakati ya wanachuo Magharibi ya kuunga mkono Palestina

    Raisi: Mkono wa chuma hauwezi kuzima harakati ya wanachuo Magharibi ya kuunga mkono Palestina

    Apr 29, 2024 07:21

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, harakati ya wanafunzi, maprofesa na wasomi wa nchi za Magharibi za kuwaunga mkono wananchi wanaodhulumiwa wa Palestina ni tukio kubwa lenye muelekeo mipana ambalo haliwezi kuzimwa kwa ukandamizaji, vipigo, kamatakamata na vitendo vya utumiaji mabavu.

  • Umoja wa Mataifa walaani njama za kuichafua UNRWA

    Umoja wa Mataifa walaani njama za kuichafua UNRWA

    Feb 07, 2024 02:22

    Maripota wa Umoja wa Mataifa wametangaza kuwa, wanalaani vikali jaribio lolote la kuharamisha na kulichafua Shirika la Umoja wa Mataifa la Misaada na Ajira kwa Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA).

  • Maripota wa Umoja wa Mataifa walaani njama za kuichafua UNRWA

    Maripota wa Umoja wa Mataifa walaani njama za kuichafua UNRWA

    Feb 05, 2024 15:43

    Maripota wa Umoja wa Mataifa wametangaza kwamba wanalaani vikali jaribio lolote la kuharamisha na kuchafua Shirika la Umoja wa Mataifa la Misaada na Ajira kwa Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA).

  • Russia: Amani ya Ukraine inategemea kusimamishwa upelekekaji silaha nchini humo

    Russia: Amani ya Ukraine inategemea kusimamishwa upelekekaji silaha nchini humo

    Jan 15, 2024 13:59

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema kuwa mazungumzo ya amani kwa ajili ya Ukraine yanawezeka tu kwa kusimamishwa upelekaji wa silaha kwa nchi hiyo.

  • Kukosoa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kampeni za chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu

    Kukosoa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kampeni za chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu

    Mar 12, 2023 12:12

    Antonio Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amekosoa uenezaji hofu juu ya Uislamu na chuki za aina mbalimbali dhidi ya Uislamu na Waislamu duniani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS