-
Mamdani ala kiapo cha Umeya wa New York kwa kutumia Msahafu wa kihistoria wa karne 2 nyuma
Jan 01, 2026 03:42Zohran Mamdani leo amekuwa Meya wa kwanza wa Jiji kubwa zaidi la Marekani la New York kuapishwa kwa kutumia Kitabu kitakatifu cha Qur'ani ya Msahafu mkongwe na wa kihistoria wa tangu karne mbili zilizopita.
-
Mamdani: Ikiwa Netanyahu atakuja New York katika mkutano ujao wa UNGA nitaamuru akamatwe
Nov 17, 2025 07:19Meya Mteule wa jiji la New York Zohran Kwame Mamdani ameambia televisheni ya ABC News kwamba atatoa hati ya kukamatwa waziri mkuu wa utawala wa kizayuni wa Israel, Benjamin Netanyahu endapo ataingia ndani ya ardhi ya Marekani mwaka ujao kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano Mkuu wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.
-
Mamdani achaguliwa Meya wa kwanza Mwislamu wa Jiji la New York katika ushindi wa kihistoria
Nov 05, 2025 03:40Zohran Mamdani mbunge Muislamu amechaguliwa kuwa Meya wa 111 wa jiji la New York, mtu wa kwanza mwenye asili ya Asia Kusini na wa kwanza aliyezaliwa barani Afrika kuongoza jiji kubwa zaidi nchini Marekani.
-
Rais wa Iran ahitimisha safari yake ya siku tatu ya mazungumzo ya kidiplomasia mjini New York, UN
Sep 26, 2024 03:51Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, ambaye alisafiri kwenda mjini New York kushiriki katika kikao cha 79 cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA), ameondoka mjini humo usiku wa kuamkia leo kurejea Tehran baada ya siku tatu za mikutano na mashauriano ya kina ya kidiplomasia aliyofanya huko.
-
Rais wa Iran aelekea New York kushiriki katika mkutano wa UNGA
Sep 22, 2024 04:17Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameondoka Tehran na kuelekea New York, Marekani kwa lengo la kushiriki katika mkutano wa 79 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa UNGA.
-
Wananchi wa Marekani waandamana kuwatetea raia wanaodhulumika wa Palestina
Sep 03, 2024 08:10Maelfu ya wakazi wa mji wa New York nchini Marekani wamefanya maandamano kulaani jinai za utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza.
-
Marekani chimbuko kuu la matatizo Asia Magharibi
Jul 20, 2024 07:03Kaimu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amekosoa vikali maamuzi na hatua za mabavu na za upande mmoja zinazochukuliwa na Marekani katika masuala mbali mbali ya Asia Magharibi na kubainisha kwamba, hatua hizo ndio chimbuko kuu la matatizo yanayolikumba eneo hili.
-
Amir Abdollahian: Iran imetoa ujumbe na onyo zito kwa Wamarekani
Jan 24, 2024 00:37Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa ujumbe na onyo zito kwa Wamarekani kwamba hatua yao ya pamoja na Waingereza katika Bahari Nyekundu dhidi ya Yemen ni kosa la kistratijia.
-
Diplomasia yenye nguvu na amilifu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuhusu Ghaza; tokea safari za kieneo hadi New York
Oct 28, 2023 04:25Hossein Amirabdollahian, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, katika kuendelea na siasa za diplomasia amilifu na imara kuhusu Ghaza, amesafiri mjini New York ambapo ameshiriki katika kikao cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa na kusisitiza juu ya haja ya kuchukuliwa hatua muhimu za dharura ili kukomesha vita huko Ghaza
-
Rais Raisi aondoka New York na kurejea Tehran
Sep 23, 2022 04:26Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo Ijumaa ameondoka jijini New York, Marekani na kuelekea Tehran baada ya kushiriki katika Mkutano wa 77 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.