-
Marabi wa Kiyahudi wanaoipinga Israel wapeperusha bendera za Palestina nchini Marekani
Apr 30, 2022 03:49Marabi wa Kiyahudi wa dhehebu la Orthodox wanaunga mkono vuguvugu la kuipinga Israel la "Neturei Karta" wameadhimisha Siku ya Kimataifa ya Quds kwa kupeperusha bendera ya Palestina mjini New York, Marekani.
-
Watetezi wa Palestina wafanya maandamano mbele ya ubalozi wa Israel mjini New York
Apr 21, 2022 21:22Makundi ya wapinzani wa utawala ghasibu wa Israel yamefanya maandamano mbele ya ubalozi mdogo wa Tel Aviv mjini New York, Marekani na kutangaza uungaji mkono wao kwa wananchi madhulumu wa Palestina. Maandamano hayo yamefanyika kupinga ukatili na jinai zinazoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel huko katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina.
-
Watu 19 wafariki dunia katika moto mkubwa New York, Marekani
Jan 09, 2022 23:55Watu wasiopungua 19 wamefariki dunia, wakiwemo watoto tisa, na makumi ya wengine kujeruhiwa katika moto uliotokea kwenye jengo la ghorofa katika jiji la New York, nchini Marekani.
-
Wakazi wa New York waendeleza maandamano ya kupinga ubaguzi wa rangi nchini Marekani
Jun 06, 2020 12:46Wakazi wa New York nchini Marekani wameendeleza maandamano ya kupinga ubaguzi na ukatili wa polisi ya nchi hiyo dhidi ya watu weusi.
-
Andrew Cuomo: Ghasia za mitaani nchini Marekani ndilo takwa la Trump
Jun 02, 2020 03:12Gavana wa jimbo la New York nchini Marekani sambamba na kuunga mkono maandamano ya amani dhidi ya ubaguzi wa rangi ambao umekuwa ukiendelea nchini humo kwa mamia ya miaka, amesema kuwa, jumbe za Rais Donald Trump wa nchi hiyo zinabainisha wazi kwamba anapendelea ghasia zisambae na kuenea mitaani.
-
Wamarekani wazidi kutwangana risasi wakati wa corona, mauaji yaongezeka kwa asilimia 200 New York pekee
May 17, 2020 20:10Ingawa kuna uchujaji mkubwa wa habari lakini pamoja na hayo, takwimu zilizotolewa na jeshi la polisi mjini New York Marekani zinaonesha kuwa, kesi za watu kupigana risasi wakati huu wa corona zimeongezeka sana, kiasi kwamba katika kipindi cha wiki moja tu iliyopita, kesi hizo ziliongezeka mara tatu zaidi ikilinganishwa na mwaka jana.
-
Wakazi wa New York walalamikia utendaji kazi mbaya wa WHO
Apr 21, 2020 06:44Wakazi wa mji wa New York nchini Marekani wamelalamikia utendaji kazi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) kuhusu namna lilivyoamiliana na suala zima la kuenea virusi vya Corona.
-
Idadi ya wahanga wa corona huko New York ni zaidi ya wale wa mashambulio ya Septemba 11
Apr 08, 2020 03:25Idadi ya watu walioaga dunia kwa maambukizi ya virusi vya corona katika mji wa New York nchini Marekani ni zaidi ya wale waliofariki dunia katika mashambulizi ya Septemba 11 katika kituo cha kimataifa cha biashara mjini humo.
-
'Siku ya Hussein (as)' yaadhimishwa mjini New York, bendera ya Hussein (as) yapepea
Sep 09, 2019 03:48Waislamu wa mji wa New York nchini Marekani kutoka mataifa mbalimbali yakiwemo ya Iran, India, Pakistan na ya Kiafrika wamefanya maombolezo ya kukumbuka kifo cha Imam Hussein (as) mjukuu wa Mtume Mtukufu (saw), katika mtaa wa Manhattan.
-
Takwimu za mauaji ya watu London zimezidi za mji wa New York, Marekani
Aug 09, 2019 02:02Polisi ya London imetangaza kuwa, takwimu za mauaji yanayofanyika katika mji mkuu huo wa Uingereza zimezidi zile za mauaji yanayofanyika kila siku katika mji wa New York huko Marekani.