May 18, 2020 00:40
Ingawa kuna uchujaji mkubwa wa habari lakini pamoja na hayo, takwimu zilizotolewa na jeshi la polisi mjini New York Marekani zinaonesha kuwa, kesi za watu kupigana risasi wakati huu wa corona zimeongezeka sana, kiasi kwamba katika kipindi cha wiki moja tu iliyopita, kesi hizo ziliongezeka mara tatu zaidi ikilinganishwa na mwaka jana.