Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

New York

  • Askofu Mkuu wa New York: Kashfa za ngono zinavunja imani ya watu kwa kanisa Katoliki

    Askofu Mkuu wa New York: Kashfa za ngono zinavunja imani ya watu kwa kanisa Katoliki

    Sep 14, 2018 19:27

    Askofu Mkuu wa New York nchini Marekani amezungumzia kashfa kubwa ya vitendo vya kuwanajisi watoto katika kanisa Katoliki na kusema kuwa, hali hiyo itaondoa imani ya watu kwa taasisi hiyo ya kidini.

  • Maaskofu wa New York wasailiwa kutokana na kashfa ya ukatili wa kingono

    Maaskofu wa New York wasailiwa kutokana na kashfa ya ukatili wa kingono

    Sep 07, 2018 03:47

    Mwendesha Mashtaka wa New York nchini Marekani amewaita maaskofu wote wakuu wa jimbo hilo kwenda kwake kutokana na ukatili na udhlilishaji wa kingono uliofanywa na viongozi Kanisa Katoliki.

  • Mwendesha Mastaka Mkuu wa New York amfungulia mashtaka Trump na watoto wake

    Mwendesha Mastaka Mkuu wa New York amfungulia mashtaka Trump na watoto wake

    Jun 15, 2018 00:30

    Mwendesha Mashtaka Mkuu wa New York nchini Marekani amemfungulia mashtaka Rais Donald Trump na watoto wake kutokana na shughuli zilizo kinyume cha sheria za taasisi ya misaada ya 'Donald J. Charity Foundation.'

  • Ubalozi mdogo wa Israel wafungwa New York, Netanyahu atishiwa kuuawa

    Ubalozi mdogo wa Israel wafungwa New York, Netanyahu atishiwa kuuawa

    Sep 16, 2017 03:47

    Ubalozi mdogo wa utawala haramu wa Israel mjini New York, Marekani umefungwa baada ya kupokea vitisho.

  • Zarif: Marekani wasifanye wachekwe, kamwe hawawezi kuipindua Jamhuri ya Kiislamu

    Zarif: Marekani wasifanye wachekwe, kamwe hawawezi kuipindua Jamhuri ya Kiislamu

    Jul 18, 2017 03:13

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amejibu matamshi ya kijuba na yaliyo kinyume na misingi ya kimataifa yanayotolewa na viongozi wa Marekani wanaosema kuwa siasa zao kuu ni kufanya mapinduzi nchini Iran na kuiangusha Jamhuri ya Kiislamu.

  • Mazungumzo ya kupiga marufuku silaha za nyuklia yaanza New York, Marekani

    Mazungumzo ya kupiga marufuku silaha za nyuklia yaanza New York, Marekani

    Mar 27, 2017 08:37

    Mazungumzo ya kupiga marufuku silaha za nyuklia yameanza mjini New York Marekani bila ya kuwashirikisha wajumbe kutoka Russia, Marekani, Ufaransa na Uingereza.

  • Wamarekani waendeleza maandamo dhidi ya Trump licha ya onyo kali la serikali dhidi yao

    Wamarekani waendeleza maandamo dhidi ya Trump licha ya onyo kali la serikali dhidi yao

    Jan 26, 2017 03:56

    Mamia ya wakazi wa jiji la New York Marekani wamemiminika mabarabarani katika kutangaza upinzani wao dhidi ya hatua za rais mpya wa nchi hiyo, Donald Trump.

  • Idadi ya watu wasio na makazi wala nyumba yavunja rekodi Marekani

    Idadi ya watu wasio na makazi wala nyumba yavunja rekodi Marekani

    Dec 26, 2016 00:58

    Ripoti iliyotolewa na Muungano wa Taifa kwa Ajili ya Kukomesha Hali ya Kutokuwa na Makazi nchini Marekani (National Alliance to End Homelessness) inaonesha kuwa, idadi ya watu wasio na makazi nchini humo imeongezeka kwa kiasi ambacho hakijawahi kushuhudiwa.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran aelekea New York

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran aelekea New York

    Apr 18, 2016 02:48

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran leo asbuhi ameelekea mjini New York Marekani kwa ajili ya kushiriki katika sherehe za kutiwa saini makubaliano ya Mabadiliko ya Tabia- Nchi katika Umoja wa Mataifa kwa mujibu wa muafaka uliofikiwa mjini Paris Ufaransa.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS