Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Bomba la shell lachafua mashamba, mto huko Niger Delta, Nigeria

    Bomba la shell lachafua mashamba, mto huko Niger Delta, Nigeria

    Jun 27, 2023 04:40

    Kusambaa mafuta kwa mara nyingine tena kutoka kituo cha Shell nchini Nigeria kumechafua mashamba na mto, na hivyo kukwamisha shughuli za maisha za wavuvi na wakulima katika jimbo la Niger Delta huko Nigeria, raia ambao kwa muda mrefu wamevumilia uchafuzi wa mazingira unaosababishwa na sekta ya mafuta.

  • Rais wa Nigeria afanya mabadiliko makubwa; apangua safu ya wakuu wa usalama

    Rais wa Nigeria afanya mabadiliko makubwa; apangua safu ya wakuu wa usalama

    Jun 20, 2023 06:40

    Taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Rais wa Nigeria imeeleza kuwa Rais Bola Ahmed Tinubu wa nchi hiyo amewateua makamanda wapya wa vikosi vya jeshi la taifa, wanamaji na jeshi la anga.

  • Watu 13 wauawa katika mapigano kati ya jamii za wafugaji na wakulima, Nigeria

    Watu 13 wauawa katika mapigano kati ya jamii za wafugaji na wakulima, Nigeria

    Jun 19, 2023 08:52

    Jimbo la Plateau katikati ya Nigeria katika wiki za karibuni lilikumbwa tena na machafuko kati ya jamii za wafugaji na wakulima wakigombania umiliki na ardhi na maliasili.

  • Takriban watu 150 wafariki dunia baada ya boti kuzama nchini Nigeria

    Takriban watu 150 wafariki dunia baada ya boti kuzama nchini Nigeria

    Jun 17, 2023 08:18

    Takriban watu 150 wamepoteza maisha baada ya mashua waliyokuwa wamepanda kupinduka katika jimbo la Kwara, magharibi mwa Nigeria.

  • Rais wa Nigeria amsimamisha kazi mkuu wa kupambana na ufisadi

    Rais wa Nigeria amsimamisha kazi mkuu wa kupambana na ufisadi

    Jun 16, 2023 02:29

    Rais Bola Tinubu wa Nigeria amemsimamisha kazi Mkuu wa Kamisheni ya Kupambana na Ufisadi ya nchi hiyo ambaye alikuwa akichunguzwa kwa tuhuma za kutumia vibaya madaraka. Hayo ni kwa mujibu wa taarifa ya serikali ya Nigeria.

  • Rais wa Nigeria awataka wananchi kuwa watulivu kufuatia kuondolewa ruzuku ya mafuta

    Rais wa Nigeria awataka wananchi kuwa watulivu kufuatia kuondolewa ruzuku ya mafuta

    Jun 13, 2023 04:39

    Rais Bola Tinubu wa Nigeria jana aliwatolea wito wananchi kukubali kujitolea zaidi kwa ajili ya uwekezaji wa baadaye baada ya serikali yake kuhitimisha ruzuku ya muda mrefu ya mafuta katika hatua ambayo imesababisha kupanda kwa bei ya petroli, usafiri na vyakula nchini humo.

  • Sheikh Zakzaky: Bado tunahitaji fikra za Imam Ruhullah Khomeini

    Sheikh Zakzaky: Bado tunahitaji fikra za Imam Ruhullah Khomeini

    Jun 04, 2023 06:18

    Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) ametangaza kuwa, licha ya kupita miaka 34 tangu kuaga dunia Imam Ruhullah Khomeini, fikra za mwasisi huyo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran bado ziko hai.

  • Bola Tinubu aapishwa kuwa Rais mpya wa Nigeria

    Bola Tinubu aapishwa kuwa Rais mpya wa Nigeria

    May 29, 2023 10:48

    Bola Ahmed Tinubu ameapishwa kuwa Rais wa tano wa Nigeria tokea kurejea kwa utawala wa demokrasia nchini humo mwaka 1999; huku akiwahijiwa na changamoto nyingi za kiuchumi na kiusalama.

  • Kwa akali watu 30 wameuawa katika mashambulizi kaskazini mwa Nigeria

    Kwa akali watu 30 wameuawa katika mashambulizi kaskazini mwa Nigeria

    May 17, 2023 06:18

    Watu waliokuwa na silaha wameshambulia vijiji kadhaa katika jimbo la Plateau hujko nchini Nigeria na kupelekea mauaji ya watu wasiopungua 30.

  • Watu 15 waaga dunia baada ya boti kuzama Nigeria; 25 hawajulikani walipo

    Watu 15 waaga dunia baada ya boti kuzama Nigeria; 25 hawajulikani walipo

    May 11, 2023 11:23

    Sanusi Abubakar msemaji wa polisi katika jimbo la Sokoto nchini Nigeria ameripoti kuwa watu 15 wamepoteza maisha baada ya boti kuzama Kaskazini Magharibi mwa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS