-
Polisi ya Nigeria yafyatua risasi Siku ya Quds na kuua mtu mmoja
Apr 15, 2023 06:34Mtu mmoja ameripotiwa kuuawa na wengine wengi kujeruhiwa baada ya polisi kufyatua risasi katika maandamano ya kila mwaka ya Siku ya Kimataifa ya Al-Quds katika mji mkuu wa Nigeria, Abuja na mji wa Kaduna.
-
Miaka tisa baada ya utekaji Chibok, UNICEF yataka wanafunzi walindwe Nigeria
Apr 15, 2023 02:10Ikiwa imepiita miaka tisa tangu wasichana 276 watekwe nyara wakiwa katika shule ya bweni huko Chibok, Nigeria, ambapo mpaka sasa 96 bado wapo utumwani, Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) limetaka wadau kusaidia katika kuwekeza zaidi katika usalama wa wanafunzi mashuleni kwani bado vitendo vya utekaji nyara vinaendelea nchini humo.
-
Watoto wa Nigeria watangaza mshikamano wao na watoto wa Palestina
Apr 08, 2023 03:20Watoto wa Nigeria wamekusanyika katika mikoa ya Kaduna na Bauchi na kupiga nara za kuwaunga mkono na kuwatetea watoto wenzao wa Kipalestina, hasa wale wanaoishi katika eneo la Ukanda wa Gaza.
-
Harakati ya Kiislamu Nigeria: Shekh Zakzaky agawa misaada ya chakula kwa wahitaji
Apr 03, 2023 03:21Harakati ya Kiislamu ya Nigeria imetangaza kuwa imegawa vifurushi mbaimbali bidhaa za chakula kwa watu wanohitajia nchini humo.
-
Matokeo ya mashambulizi dhidi ya wafuasi wa Sheikh Zakzaky nchini Nigeria
Mar 20, 2023 02:17Mashinikizo dhidi ya Waislamu wa Nigeria na wafuasi wa Sheikh Ibrahim Zakzaky bado yanaendelea. Kuhusiana na hilo, vikosi vya usalama katika jimbo la Kaduna vimewaua watu wasiopungua 6 katika shambulio dhidi ya wafuasi wa Sheikh Ibrahim Zakzaky, kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria.
-
Wafuasi 5 wa Sheikh Zakzaky wauawa katika hujuma ya polisi, Kaduna, Nigeria
Mar 17, 2023 06:57Askari usalama wa jimbo la Kaduna wamewaua watu wasiopungua 5 katika shambulizi dhidi ya wafuasi wa Sheikh Ibrahim Zakzaky, kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN).
-
Boko Haram yafanya mashambulizi ya kushtukiza na kuua 26 Borno, Nigeria
Mar 10, 2023 07:16Kwa akali watu 26 wameuawa katika jimbo la Borno, kaskazini mashariki mwa Nigeria kufuatia mashambulio ya kushtukiza yaliyofanywa na magaidi wa kundi la Boko Haram.
-
Waislamu Nigeria waadhimisha kumbukumbu ya mazazi ya Imam Mahdi (AF)
Mar 08, 2023 10:26Waislamu wa madhehebu ya Shia na wafuasi na wapenzi wa Ahlu Bait (AS) nchini Nigeria wamejiunga na wenzao kote duniani katika maadhimisho ya kukumbuka kuzaliwa Imam wa Zama, Mahdi (AF).
-
Ushindi wa mgombea wa chama tawala katika uchaguzi wa Nigeria na mustakbali wa nchi hiyo
Mar 01, 2023 14:09Kwa mujibu wa tangazo la Tume Huru ya Uchaguzi ya Nigeria (INEC), "Bola Ahmed Tinubu" aliyekuwa mgombea wa chama tawala cha "All Progressives Congress" ameshinda uchaguzi wa rais wa nchi hiyo.
-
Tinubu wa chama tawala Nigeria atangazwa mshindi wa uchaguzi wa rais
Mar 01, 2023 04:08Mgombea wa chama tawala nchini Nigeria, Bola Tinubu ametangazwa kuwa mshindi wa uchaguzi wa urais uliofanyika Jumamosi iliyopita.