-
Waislamu wa Nigeria waandamana kulaani ukandamizaji wa Mashia Azerbaijan
Dec 11, 2022 12:40Wananchi Waislamu wa Nigeria wameandamana katika mji mkuu wa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika kulalamikia mbinyo na ukandamizaji dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Azerbaijan.
-
Waislamu wa Nigeria waandamana katika hauli ya mashahidi wa Zaria
Dec 10, 2022 12:54Wananchi wa Nigeria wameandamana katika miji mbalimbali ya nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika katika hauli na kumbukumbu ya mashahidi waliouawa katika mauaji yaliyofanywa na vikosi vya usalama katika mji wa Zaria miaka saba iliyopita.
-
Raia 3 wa Nigeria wasalia chini ya meli kwa siku 11 na kufika katika visiwa vya Canary
Nov 30, 2022 03:05Kikosi cha Uokoaji wa Baharini cha Uhispania kimewaokoa watu watatu waliokuwa wamejificha chini ya meli moja ya mafuta iliyopakia kutoka Nigeria ikielekea katika visiwa vya Canary.
-
Boko Haram waua askari 10 wa Chad katika mpaka wa Nigeria
Nov 23, 2022 06:29Wapiganaji wa kundi la kigaidi la Boko Haram wamewaua wanajeshi 10 wa Chad katika eneo la mpakani baina ya nchi hiyo na Nigeria.
-
Magaidi washambulia mji na kambi ya jeshi na kuua askari, raia
Nov 21, 2022 10:52Wanachama wa genge moja la kigaidi wameshambulia kambi ya jeshi na mji mmoja huko kaskazini mashariki mwa Nigeria na kuua idadi kubwa ya raia na maafisa usalama.
-
Wanamgambo waua wanakijiji 12 kaskazini mwa Nigeria
Nov 17, 2022 07:02Watu wenye silaha nchini Nigeria wameshambulia kijiji kimoja na kuwaua watu wasiopungua 12 katika shambulizi jipya huko kaskazini-magharibi mwa nchi hiyo.
-
Vituo viwili vya afya vyashambuliwa kaskazini magharibi mwa Nigeria
Oct 19, 2022 10:32Majambazi waliokuwa na silaha wameshambulia hospitali na kituo cha afya huko kaskazini magharibi mwa Nigeria na kuua watu kadhaa.
-
Wahadhiri wa vyuo vikuu Nigeria wahitimisha mgomo wao wa miezi 8
Oct 14, 2022 13:35Muungano wa Kitaaluma wa Wafanyakazi wa Vyuo Vikuu vya Serikali Nigeria (ASUU) umetangaza leo Ijumaa kuhitimiha mgomo wao wa miezi 8.
-
Mahakama Nigeria yamuondolea mashitaka kiongozi wa harakati ya Biafra
Oct 14, 2022 07:53Mahakama ya Rufaa ya Nigeria imemfutia mashitaka yote Nnamdi Kanu, kiongozi wa Watu wa Asili wa Biafra (IPOB), wanaotaka kujitenga eneo la kusini mashariki mwa nchi hiyo ya Afrika Magharibi.
-
Walioaga dunia kwa mafuriko Nigeria wapindukia 500, Sudan Kusini 62
Oct 13, 2022 10:44Idadi ya watu walioaga dunia kutokana na mafuriko huko nchini Nigeria imeongezeka na kufikia watu 500.