-
Makumi ya watoto wengine waliotekwa nyara Nigeria waokolewa
Dec 21, 2020 04:48Jeshi la Polisi la Nigeria limetangaza habari ya kuwanusuru makumi ya wanafunzi waliotekwa nyara na watu waliobeba silaha siku ya Jumamosi.
-
Mamia ya wanafunzi waliotekwa na Boko Haram waachiwa huru
Dec 18, 2020 03:52Vyombo vya usalama vya Nigeria vimetangaza habari ya kuwanusuru karibu wanafunzi wavulana 350 kati ya 520 wa shule ya upili ya eneo la Kankara kaskazini magharibi mwa nchi, waliokuwa wametekwa nyara na kundi la kigaidi la Boko Haram.
-
"Saudia imeipa serikali ya Nigeria mamilioni ya dola imuue Sheikh Zakzaky"
Dec 17, 2020 04:09Wakili wa Sheikh Ibrahim Zakzaky, kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria amesema utawala wa Aal-Saud wa Saudi Arabia umeipa serikali ya Abuja mamilioni ya dola ili imuue mwanaharakati huyo wa Kiislamu anayeshikiliwa kizuizini mwa miaka mitano sasa.
-
Jeshi la Nigeria limefanikiwa kuwakomboa wanafunzi kadhaa waliokuwa wametekwa nyara huko Katsina
Dec 16, 2020 04:41Maafisa wa Nigeria wameeleza kuwa, wanafunzi kadhaa waliokuwa wametekwa nyara na magaidi wa kundi la Boko Haram wamekombolewa.
-
Katibu Mkuu wa UN alaani hujuma dhidi ya shule Nigeria
Dec 15, 2020 23:42Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amelaani vikali hujuma iliyofanywa Ijumaa iliyopita katika shule ya sekondari mkoani Katsina nchini Nigeria, ambapo mamia ya wavulana walitekwa nyara na wahalifu waliokuwa na silaha.
-
Msomi wa Nigeria: Sheikh Ibrahim Zakzaky anashikiliwa kizuizini kwa amri ya Saudi Arabia
Dec 13, 2020 23:25Sheikh Abdul-Hamid Bilo, mmoja wa wanazuoni wa Kishia nchini Nigeria amesema kuwa, Sheikh Ibrahm Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria anashikiliwa kizuizini kwa amri ya watawala wa Kiwahabi wa Saudi Arabia.
-
Kumbukumbu ya mauaji ya Waislamu huko, Zaria kaskazini mwa Nigeria
Dec 12, 2020 03:56Leo Waislamu wa Nigeria wanakumbuka mauaji yaliyotekelezwa na jeshi la nchi hiyo katika mji wa Zaria jimboni Kaduna, dhidi ya wanachama wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria.
-
ICC: Tuna ushahidi wa kutosha wa kuwafungulia mashtaka maafisa wa Nigeria
Dec 11, 2020 23:58Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai, ICC, amesema kuwa, ana ushahidi wa kutosha wa kuweza kuwafungulia mashtaka maafisa wa Nigeria kuhusu mateso na ukandamizaji waliofanyiwa wananchi wa nchi hiyo.
-
Nigeria inatumia vifaa vya kijasusi vya Israel dhidi ya wapinzani
Dec 09, 2020 08:28Ripoti mpya imefichua kuwa, Shirika la Kijasisi la Jeshi la Nigeria (DIA) linatumia programu ya kijasusi ya Israel kudukua na kupeleleza simu na jumbe fupi za simu za wapinzani na raia wengine nchini humo.
-
Serikali ya Nigeria inatumia vibaya programu za ujasusi za Wazayuni dhidi ya raia wa nchi hiyo
Dec 09, 2020 04:10Ripoti iliyotolewa na Chuo Kikuu kimoja cha nchini Canada imeeleza kuwa, serikali ya Nigeria inatumia vibaya programu za utawala wa Kizayuni kufuatilia maongezi na jumbe za wapinzani na raia wengine wa nchi hiyo.