Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Watu 10 wauawa kwa shambulio la Daesh kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Watu 10 wauawa kwa shambulio la Daesh kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Dec 30, 2018 11:06

    Raia 10 wameauawa kaskazini mashariki mwa Nigeria kufuatia shambulio la wanamgambo wanaosadikiwa kuwa wanachama wa kundi la kigaidi la Daesh.

  • Wanajeshi 14 wauawa katika shambulio la Boko Haram nchini Nigera

    Wanajeshi 14 wauawa katika shambulio la Boko Haram nchini Nigera

    Dec 26, 2018 03:54

    Wanajeshi wasiopungua 14 wameuawa nchini Nigeria wameuawa kufuatia shambulio la kkundi la kigaidi la Boko Haram katika jimbo la Yobe kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Boko Haram wafanya shambulizi jingine mashariki mwa Nigeria

    Boko Haram wafanya shambulizi jingine mashariki mwa Nigeria

    Dec 17, 2018 23:56

    Genge la kigaidi na la ukufurishaji la Boko Haram limevamia na kushambulia kijiji kimoja kaskazini mashariki mwa Nigeria na kuchoma moto nyumba za wanakijiji baada ya kuwashambulia kwa risasi.

  • Maandamano makubwa ya kupinga Uzayuni yafanyika nchini Nigeria

    Maandamano makubwa ya kupinga Uzayuni yafanyika nchini Nigeria

    Dec 17, 2018 11:46

    Maelfu ya wananchi wa Nigeria wamefanya maandamano dhidi ya Uzayuni kusini magharibi mwa nchi hiyo na kutangaza himaya na uungaji mkono wao kwa taifa madhulumu la Palestina.

  • Wanajeshi wa Nigeria wasiopungua 12 wameuliwa katika mapigano na kundi la ISWA

    Wanajeshi wa Nigeria wasiopungua 12 wameuliwa katika mapigano na kundi la ISWA

    Dec 16, 2018 23:11

    Wanajeshi wa Nigeria wasiopungua 12 wameuliwa na makumi ya wengine hawajulikani walipo baada ya kukabiliana na wanamgambo waliojitenga na kundi la Boko Haram waitwao ISWA huko kaskazini mashariki mwa jimbo la Borno. Hayo yameelezwa na duru za kijeshi za nchi hiyo.

  • Nigeria yaitimua UNICEF kwa tuhuma za kuwapa mafunzo majasusi wa Boko Haram

    Nigeria yaitimua UNICEF kwa tuhuma za kuwapa mafunzo majasusi wa Boko Haram

    Dec 15, 2018 03:31

    Jeshi la Nigeria limesimamisha shughuli za Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa Kuhudumia Watoto (UNICEF) katika eneo la kaskazini mashariki kwa nchi, kwa tuhuma kuwa maafisa wake wanawapa mafunzo na kushirikiana na majasusi wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Boko Hraram.

  • HRW yataka kushtakiwa askari wanaowakandamiza Waislamu Nigeria

    HRW yataka kushtakiwa askari wanaowakandamiza Waislamu Nigeria

    Dec 12, 2018 09:10

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limetoa mwito wa kufunguliwa mashitaka wanajeshi wa Nigeria wanaowakandamiza Waislamu wa madhehebu ya Shia.

  • Wanajeshi wawili wauawa katika shambulio la Boko Haram kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Wanajeshi wawili wauawa katika shambulio la Boko Haram kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Dec 10, 2018 03:19

    Maafisa usalama wa Nigeria wametangaza kuwa, shambulio lililofanywa na kundi la kigaidi la Boko Haram dhidi ya kambi moja ya jeshi kaskazini mashariki mwa nchi hiyo limepelekea wanajeshi wawili kuuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa.

  • Homa ya Manjano yaua watu 9 nchini Nigeria

    Homa ya Manjano yaua watu 9 nchini Nigeria

    Dec 06, 2018 11:21

    Mripuko wa homa ya manjano nchini Nigeria umesababisha vifo vya watu tisa katika jimbo la Edo kusini mwa nchi hiyo ya Afrika Magharibi.

  • Polisi ya Nigeria yaua 'majambazi' 100 jimboni Zamfara

    Polisi ya Nigeria yaua 'majambazi' 100 jimboni Zamfara

    Dec 01, 2018 04:38

    Polisi ya Nigeria imedai kuwa imefanikiwa kuwaangamiza majambazi 100 katika operesheni iliyofanyika katika jimbo la Zamfara, kaskazini magharibi mwa nchi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS