Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Waislamu Nigeria waendelea kuandamana kutaka Sheikh Zakzaky aachiliwe huru

    Waislamu Nigeria waendelea kuandamana kutaka Sheikh Zakzaky aachiliwe huru

    Nov 28, 2018 23:40

    Wananchi Waislamu wa Nigeria wamefanya maandamano ya kutaka kiongozi wa harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo Sheikh Ibrahim Zakzaky aachiliwe huru.

  • Boko Haram yawateka nyara watema kuni 50 Nigeria

    Boko Haram yawateka nyara watema kuni 50 Nigeria

    Nov 23, 2018 04:26

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram limeripotiwa kuwateka nyara makumi ya watu waliokuwa wanatema kuni kaskazini mashariki mwa Nigeria, karibu na mpaka wa nchi hiyo na Cameroon.

  • Jeshi la Nigeria lakosolewa kwa 'kumuua mara mbili' kamanda wa Boko Haram

    Jeshi la Nigeria lakosolewa kwa 'kumuua mara mbili' kamanda wa Boko Haram

    Nov 20, 2018 04:34

    Waandishi wa habari, wakosoaji wa serikali na watumiaji wa mitandao ya kijamii nchini Nigeria wamelijia juu jeshi la nchi hiyo kwa kutangaza kuwa limemuua kamanda mwandamizi wa kundi la kigaidi la Boko Haram, licha ya kutoa taarifa kama hiyo mwaka jana.

  • Waislamu Nigeria waendeleza maandamano kutaka Sheikh Zakzaky aachiliwe

    Waislamu Nigeria waendeleza maandamano kutaka Sheikh Zakzaky aachiliwe

    Nov 17, 2018 23:15

    Waislamu nchini Nigeria wameendeleza maandamano katika mji mkuu, Abuja, kulalamikia kuendelea kushikiliwa kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini humo Sheikh Ibrahim Zakzaky.

  • Wanafunzi Waislamu Nigeria waruhusiwa kuvaa Hijabu shuleni Lagos

    Wanafunzi Waislamu Nigeria waruhusiwa kuvaa Hijabu shuleni Lagos

    Nov 15, 2018 11:56

    Baraza Kuu la Masuala ya Kiislamu Nigeria NSCIA limepongeza agizo la Mahakama ya Juu nchini humo la kuitaka serikali ya jimbo la Lagos kuwaruhusu wanafunzi Waislamu kuvaa Hijabu katika shule za umma katika mji mkuu huo wa kibiashara.

  • Boko Haram yaua wakulima 16 Borno, kaskazini mwa Nigeria

    Boko Haram yaua wakulima 16 Borno, kaskazini mwa Nigeria

    Nov 14, 2018 11:00

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram limeshambulia vijiji kadhaa katika jimbo la Borno, kaskazini mashariki mwa Nigeria na kuua wakulima wasiopungua 16.

  • Waislamu Nigeria waandamana kulaani mauaji yaliyofanywa na jeshi

    Waislamu Nigeria waandamana kulaani mauaji yaliyofanywa na jeshi

    Nov 14, 2018 04:50

    Waislamu Nigeria wameandamana nje ya ofisi za Tume ya Haki za Binaadamu katika mji mkuu Abuja, kulaani mauaji yaliyofanyika kati ya 27 hadi 30 Oktoba mwaka huu.

  • Makumi ya watu waripotiwa kuaga dunia Nigeria kwa kipindupindu

    Makumi ya watu waripotiwa kuaga dunia Nigeria kwa kipindupindu

    Nov 12, 2018 23:22

    Kamisheni ya Wakimbizi ya Norway imetangaza kuwa idadi ya maambukizi ya ugonjwa wa kipindupindu yameshika kasi zaidi huko kaskazini mwa Nigeria ambako makumi ya maelfu ya raia wamelazimika kukimbia makazi yao kutokana na mashambulizi yanayofanywa na kundi la kigaidi la Boko Haram.

  • Mamia ya raia wakimbia baada ya shambulio la Boko Haram Nigeria

    Mamia ya raia wakimbia baada ya shambulio la Boko Haram Nigeria

    Nov 12, 2018 04:16

    Mamia ya wanavijiji juzi jioni walizikimbia nyumba zao huko kaskazini mashariki mwa Nigeria baada ya wanamgambo wa kundi la Boko Haram kuwashambulia.

  • UNHCR: Zaidi ya Wacameroon 30,000 wamekimbilia nchini Nigeria

    UNHCR: Zaidi ya Wacameroon 30,000 wamekimbilia nchini Nigeria

    Nov 10, 2018 10:43

    Msemaji wa Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) amesema kuwa, idadi ya raia wa Cameroon waliokimbilia nchini Nigeria kukwepa machafuko katika nchi yao imeongezeka na kupindukia 30,000.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS