-
Magaidi wanane wa Boko Haram wauawa Nigeria
Nov 02, 2016 10:56Jeshi la Nigeria limetangaza kuwa limewauwa wanachama wanane wa kundi la kigaidi la Boko Haram kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.
-
Uzalishaji mafuta warejea katika hali yake ya kawaida nchini Nigeria
Nov 02, 2016 00:53Waziri wa Mafuta wa Nigeria amesema kuwa, uzalishaji mafuta umerejea katika hali yake ya kwaida nchini humo.
-
Serikali ya Nigeria yatakiwa kuongeza juhudi za kuwapokonya silaha wanamgambo
Oct 30, 2016 00:24Asasi isiyo ya kiserikali ijulikanayo kwa jina la Mercy Corps imeitaka serikali ya Nigeria kuunganisha nguvu zake na kuzitumia kwa ajili ya kuwapokonya silaha wanamgambo na kufanya juhudi za kuandaa mazingira mazuri ya kuwafanya wanamgambo hao wanaopokonywa silaha wakubalike katik ajamii.
-
Mamia ya watoto waachiwa huru kutoka korokoro za serikali, Nigeria
Oct 29, 2016 01:17Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetangaza kuwa mamia ya watoto wameachiwa huru kutoka kwenye korokoro za serikali ya Nigeria.
-
Nigeria yaanzisha miradi ya miundo msingi kuzuia uasi Niger Delta
Oct 28, 2016 10:21Serikali ya Nigeria imezindua miradi ya miundo msingi itakayogharimu dola bilioni 10 katika eneo linalokumbwa na uasi la Niger Delta ili kumaliza uasi huo.
-
UN: Nigeria inakabiliwa na hali mbaya zaidi ya kibinadamu barani Afrika
Oct 27, 2016 07:24Kaimu Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anayehusika na uratibu wa misaada ya kibinadamu ameonya kuwa Nigeria ni nchi inayokabiliwa na hali mbaya zaidi ya kibinadamu barani Afrika ambapo watoto wapatao 400,000 wanataabika kwa njaa huku raia wakiteseka kwa kupata kiwango kidogo au kukosa kabisa ulinzi, usalama, chakula au hata maji safi.
-
Waasi wa Niger Delta: Tumeshambulia bomba la mafuta la kampuni ya Chevron
Oct 25, 2016 13:08Kundi la wanamgambo wanaojiita Walipizaji Kisasi wa Niger Delta limetangaza kuwa limeshambulia bomba la mafuta katika eneo la uzalishaji nishati hiyo kusini mwa Nigeria na kuyaonya makampuni ya kigeni ya mafuta kutoyafanyia matengenezo mabomba hayo yaliyoharibiwa.
-
Makumi ya watu wapoteza maisha kwa ugonjwa wa malaria ndani ya siku 30 nchini Nigeria
Oct 22, 2016 11:43Maafisa wa idara ya afya nchini Nigeria wametangaza kuwa makumi ya watu wamepoteza maisha kutokana na ugonjwa wa malaria.
-
Harakati ya Kiislamu Nigeria kotini kupinga marufuku dhidi yake
Oct 21, 2016 10:31Harakati ya Kiislamu ya Nigeria imeelekea mahakamani kukata rufaa dhidi ya uamuzi wa serikali kupiga marufuku shughuli za harakati hiyo katika jimbo la Kaduna.
-
IHRC: Saudia inashiriki kukandamiza Harakati ya Kiislamu Nigeria
Oct 20, 2016 23:53Kamisheni ya Haki za Binadamu za Kiislamu (IHRC) yenye makao yake mjini London Uingereza imetangaza kuwa, nyaraka zilizofichuliwa na mtandao wa WikiLeaks zinathibitisha kwamba Saudi Arabia inashiriki katika kukandamiza Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria.