-
Waliouawa katika mapigano ya kikabila nchini Nigeria wafikia 40
Oct 18, 2016 11:25Duru za hospitali nchini Nigeria zimeripoti ongezeko la watu waliouawa katika mapigano ya kikabila kaskazini mwa nchi hiyo.
-
Boko Haram: Tuko tayari kuwaachia huru wanafunzi wengine 83
Oct 18, 2016 03:27Kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram la Nigeria limeeleza juu ya utayarifu wake wa kuwaachia huru makumi ya wanafunzi wa kike waliowateka nyara zaidi ya miaka miwili iliyopita.
-
Nigeria yamkamata mjumbe wa Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu
Oct 16, 2016 11:10Vikosi vya usalama Nigeria vimemkamata mjumbe wa Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini humo.
-
Wapinzani Nigeria wataka marekebisho ya Katiba
Oct 15, 2016 23:09Vyama vya upinzani nchini Nigeria vimetaka kufanyike mabadiliko ya sheria za chaguzi za miji katika katiba ya nchi hiyo.
-
Kupigwa marufuku shughuli za harakati ya Kiislamu ya Nigeria
Oct 13, 2016 08:40Viongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) wamelaani uamuzi uliopitishwa na Gavana wa jimbo la Kaduna Nasir Ahmed el-Rufai wa kupiga marufuku shughuli za harakati hiyo.
-
Iran yalaani mauaji ya Waislamu siku ya Ashura Nigeria, Afghanistan
Oct 13, 2016 01:10Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali mauaji ya Waislamu wa madhehebu ya Shia waliokuwa wamejumuika kwa ajili ya maombolezo ya Ashura, katika miji ya Kaduna na Funtua nchini Nigeria hapo jana.
-
Waislamu 10 wauawa Nigeria katika kumbukumbu ya Ashura
Oct 12, 2016 12:29Watu wasiopungua 10 wameuawa leo katika mapigano yaliyotokea baina ya jeshi la Nigeria na Waislamu waliokuwa katika maombolezo na kumbukumbu ya mauaji ya mjukuu wa Mtume Muhammad (saw), Imam Hussein bin Ali katika jimbo la Katsina huko kaskazini magharibi mwa Nigeria.
-
Jeshi la Nigeria lawazingira Waislamu wa madehebu ya Shia katika maombolezo ya Imam Hussein AS
Oct 12, 2016 00:54Jeshi la Nigeria limewazingria Waislamu wa madheebu ya Shia waliokuwa wamekusanyika msikitini katika hafla ya maombolezo ya kukumbuka kuuawa shahidi Mjukuu wa Mtume Muhammad SAW, Imam Hussein AS.
-
Ujerumani yazidi kujikita kijeshi nchini Niger
Oct 08, 2016 00:34Ujerumani imeimarisha kuwepo kwake kijeshi nchini Niger kwa kuanzisha kituo cha jeshi la anga katika mji mkuu wa nchi hiyo Niamey.
-
Harakati ya Kiislamu yapigwa marufuku Kaduna, Nigeria
Oct 08, 2016 03:18Harakati ya Kiislamu ya Nigeria inayoongozwa na Sheikh Ibrahim Zakzaky imepigwa marufuku katika jimbo la Kaduna huku Waislamu wakiendelea kukandamizwa nchini humo.