Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Oman

  • Iran na Oman zazidi kuimarisha ushirikiano wao wa baharini

    Iran na Oman zazidi kuimarisha ushirikiano wao wa baharini

    Jun 27, 2018 03:29

    Kikao cha 17 cha kamati ya pamoja ya uchumi baina ya Iran na Oman kimehimiza kuimarishwa ushirikiano wa nchi mbili kupitia bandari ya Chabahar katika mkoa wa Sistan na Baluchistan wa kusini mashariki mwa Iran.

  • Oman yasema haiwezi kuvumilia tena chokochoko za UAE

    Oman yasema haiwezi kuvumilia tena chokochoko za UAE

    Jun 08, 2018 20:53

    Migogoro inazidi kutokota katika Ghuba ya Uajemi baada ya Oman kuuonya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kuwa haiwezi kuvumilia tena wizi wa turathi zake za kitaifia na haki za uvumbuzi.

  • Kimbunga kikali chaua watu 3 Oman, zaidi ya 7 Yemen

    Kimbunga kikali chaua watu 3 Oman, zaidi ya 7 Yemen

    May 26, 2018 10:53

    Watu watatu wamepoteza maisha nchini Oman kufuatia kimbunga kikali ambacho kinaendelea kukumba pwani ya kusini mwa nchi hiyo eneo la Salalah.

  • Uhusiano wa kijeshi wa Iran na Oman wazidi kuimarika

    Uhusiano wa kijeshi wa Iran na Oman wazidi kuimarika

    May 05, 2018 03:24

    Kikao cha 14 cha Kamati ya Pamoja ya Ushirikiano wa Kijeshi na Kiulinzi wa Oman na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kimeanza leo hapa mjini Tehran.

  • Oman yahimiza kuungwa mkono haki za wananchi wa Palestina

    Oman yahimiza kuungwa mkono haki za wananchi wa Palestina

    Mar 28, 2018 11:48

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman ameyahimiza mataifa ya dunia kuunga mkono haki za wananchi wa Palestina na mapambano yao hadi watakapopata ushindi na uhuru wao.

  • Iran na Oman zasisitizia ulazima wa kuimarishwa amani na uthabiti katika eneo

    Iran na Oman zasisitizia ulazima wa kuimarishwa amani na uthabiti katika eneo

    Mar 18, 2018 13:19

    Rais Hassan Rouhani amesisitiza juu ya kuimarishwa na kustawishwa zaidi uhusiano uliopo kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Oman.

  • Larijani: Suala la makombora ya Iran halijadiliki

    Larijani: Suala la makombora ya Iran halijadiliki

    Mar 18, 2018 04:44

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema kuwa nchi za Ulaya hazipasi kuunganisha kadhia ya makombora ya Iran na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA bali zinapasa kushughulikia majukumu yao na ya Marekani kuhusu makubaliano hayo.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman awasili mjini Tehran, aonana na Zarif

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman awasili mjini Tehran, aonana na Zarif

    Mar 17, 2018 00:37

    Yusuf bin Alawi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman jana usiku aliwasili hapa Tehran kwa ajili ya ziara rasmi ya kikazi na tayari ameshaonana na waziri mwenzake wa Iran, Mohammad Javad Zarif.

  • Safari ya Rais wa Misri nchini Oman, Sultan Qaboos  kwa mara nyingine ni mpatanishi

    Safari ya Rais wa Misri nchini Oman, Sultan Qaboos kwa mara nyingine ni mpatanishi

    Feb 05, 2018 09:58

    Rais Abdul Fattah el Sisi wa Misri ametembelea Oman na kukutana na kiongozi wa nchi hiyo, Sultan Qaboos.

  • Larijani: Ni jukumu la nchi za Kiislamu kufanya juhudi za kupunguza hitilafu

    Larijani: Ni jukumu la nchi za Kiislamu kufanya juhudi za kupunguza hitilafu

    Jan 15, 2018 10:56

    Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria njama za maadui waliokula kiapo dhidi ya Uislamu kwa ajili ya kupenya na kuzusha hitilafu miongoni mwa Waislamu na kusisitiza kwamba, ni jukumu la nchi za Kiislamu kuzuia kuenea hitilafu na mizozo katika Ulimwengu wa Kiislamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS